Sikiliza kijana, mapenzi ni utapeli kwa mwanaume

Sijasoma ila nasema hivi: KATAA NDOA.
 
Sahihi kabisa
 
kuna wanaokuvumilia huku anakunyanyasa anavojua yeye. hatari sana umakini muhimu sana
UNakuta mwanamke anajishikiza tu kwako huku anasikilizia potential yako yaani ni kama anabet tu. Wanawake kama hawa mara nyingi wanafanya ivyo kwa sababu hawana option nyingine, siku atakapopata iyo option ndo utajua ujui
 
Sasa jamaa si bora huyo wa miaka 30's utoto umepungua na akili imekaa sawa , hawa watoto hawana cha maana zaidi utakufa mapema tu .
Kuna tofauti kubwa sana ya mwanamke ambae akili yake imekomaa na mwanamke ambae ana-pretend ili apate sehemu ya kutua baada ya kutumia miaka mingi kuruka ruka.
 
Wanaume wengi hasa African men are very weak.


Wanaume wengi wakiafrika ni dhaifu Sana linapokuja swala la wanawake.
Hata usipokua dhaifu bado sheria zitakunyong'onyeza. Linapokuja suala la mahusiano tuna sheria kali sana za kumdhibiti mwanaume wakati huo mwanamke anaachiwa nafasi ya kufanya anachokitaka bila kuwajibishwa.
 
Utakuta Mwanaume unayesema hivi hata hapo Zambia tu hujawahi kufika,

Tupilia mbali huko China ambapo hadi Mabaamedi wanaweza kwenda hata kesho.
Hao ni wale ambao bado hawajaingia kwenye 18 za wanawake. Mtu kama huyu angekua ametalakiana na mkewe huku akipoteza nyumba yake na 50% ya mali zake zote asingekuja hapa kutoa comment kama aliyoiandika.

It always an enjoyable and controlled game untill it comes your turn to face pains
 
Upo sahihi kabisa mkuu huyu jamaa inaonyesha ni kati ya wanaume wengi walioanza kuwajua wanawake kipindi wamefika chuo,

kiufupi dizani ya huyo jamaa huwa wanakuwaga ni malimbukeni wa mapenzi ndomaana yupo tayari kutoa comment ya kufurahisha wadada wachache ila awakosoe wanaume wenzake wengi wanaosema ukweli.
 
Justin beiber yule pale alizishika kwenye umri mdogo na alitoka mpaka na kina kim kardashian kiufupi hayana muongozo
 
Motivational speaker ni Wengi Sana leo kwenye mitandao na bahati mbaya wanatumia Hisia kumotivate watu na Sio facts


Thamani ya MWANAMKE ni mwili wake seriously? Mwili hu wa nyama na damu uliofanywa kwa mavumbi ya nchi na ni wa muda mfupi tu (i.e base Time)


Kuingia katika NDOA kwa Kutazama physical appearance ya MTU ni HATARI Sana kwa ukuaji na ustawi wa NDOA na Ndio maana NDOA nyingi hazifiki mahali B'se Msingi wa hizo NDOA ni mapenzi (i.e mwili hu wa Nyama na damu )


Kuangalia muonekano wa mwili wa nje na vitu vyote vinavyoambatana na mwili hu kama mali na fedha kama kigezo cha kumpa MTU thamani na kuingia nae katika NDOA ni Upumbavu na mwisho wake sio mzuri chunguza utaona


Mpende MTU kama wewe unavyojipenda, kamwe usithubutu kumpenda MTU kama alivyo B'se people change 🔑
 
Isitoshe kusema kwasasa huyu mwamba,
Mademu na vikongwe vya jf vinamwogopa hatari...
na havimpendi kabisa......
Kwasababu huwa hatoi boko hata kidogo!!
Endelea kutusanua jombii,tumechoka kufanywa madaraja
Isitoshe kusema kwasasa huyu mwamba,
Mademu na vikongwe vya jf vinamwogopa hatari...
na havimpendi kabisa......
Kwasababu huwa hatoi boko hata kidogo!!
Endelea kutusanua jombii,tumechoka kufanywa madaraja
Huyo Natafuta Ajira ni kiboko ya Malaya wa JF, ndomaana nyuzi zake vidada vya kimalaya malaya huwa havisogei, Jadda mwenyewe hagusagi nyuzi za jamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…