Sikiliza kijana, mapenzi ni utapeli kwa mwanaume

Sikiliza kijana, mapenzi ni utapeli kwa mwanaume

Sasa jamaa si bora huyo wa miaka 30's utoto umepungua na akili imekaa sawa , hawa watoto hawana cha maana zaidi utakufa mapema tu .
Mtoa mada anamaanisha ukichukua wa 30+ atakuwa kapiga bingo mara mbili wakati wewe ujakutana na brand new maishani mwako. Anamaanisha nawewe chukua mashine mpya ije izengue kwa wengine. Inamaana we ukichukua used wakati wewe uko mpya ni kosa
 
Leo nakufungulia hii code. Thamani za mwanaume na mwanamke zinaangaliwa katika vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali/uwezo wa kifedha na thamani ya mwanamke ni mwili wake yaani ile purity.

Mwanamke anaingia kwenye soko la mahusiano around miaka 15 hivi akiwa na thamani kubwa, hiki ni kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye kilele chake cha ubora wa mwili na urembo.

Hapa ego yake inakua juu, ndizo nyakati anakua na vigezo vingi anavyovitaka kutoka kwa mwanaume, in most cases vigezo hivi huwa vinakua unrealistic.

Wakati mwanamke huyu age mate wako anamtafuta uyo fantasy man aliemchora kwenye fikra zake(tall, handsome, rich, cared, good in bed, six park, God fearing, romantic, muelewa, mtanashati, msomi n.k) na miaka nayo inaenda.

Thamani yake itadumu mpaka late 20s, akifika 30s ubora wake kuanzia urembo na mwili mfano ufanisi wa kushika mimba unaingia kwenye declining stage. Hapa thamani ya mwanamke imepolomoka.

Hali inakua mbaya zaidi stage hii ikimkuta akiwa single mother, hiki ndicho kipindi atahitaji mwanaume yoyote ambae anapumua tu. Time is very cruel to women.

Thamani ya mwanaume inaangaliwa kwa uwezo wake wa kifedha hii ndio maana mwanaume anaingia kwenye soko la mahusiano akiwa hana thamani kwa sababu katika kipindi hicho around miaka 16 bado ni mwanafunzi, jobless na asiye na uwezo wa kumgharamia mwanamke.

Ukiwa katika hii hatua kubaliana na ukweli kwamba wakati wako wa kufanya fujo bado haujafika. Ukilazimisha kwenda sambamba na standards za yule mwanamke age mate wako iyo ni movement ya hatari sana kwa afya yako ya akili na mustakabali wa uchumi wako.

Kumbuka huyu age mate wako tayari anayo thamani sokoni ni suala la kukutana tu na mwanaume wa kuwekeza kwenye thamani yake. Kama akikutana na uyo mwekezaji basi nusu saa tu inatosha kuyabadilisha maisha yake (na kama alikua demu wako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja),
lakini wewe hauna thamani ndio upo kwenye mchakato wa kuitengeneza, maintain your focus.

Nielewe vizuri hapa, simaanishi uwe simp, uogope wanawake au uwe womanizer. If you got a girlfriend then treat her right not nice. Love her but not with your money on the line.

Katika kipindi hichi focus yako iwe kwenye kujiongezea thamani kwa kuanzisha miradi ya kibiashara, kujifunza ujuzi mpya, kujiongeza kimasomo n.k. In most cases hustles za mwanaume zinaanza kujibu akiwa 30s.

Kumbuka hapo kwenye 30s ambapo mwanaume unakua kwenye kilele chako cha ubora yule age mate wako unakutana nae yeye akiwa kwenye declining stage ya ubora wake, na hapa ndipo wanaume wengi wanatapeliwa.

Sasa kosa kubwa wanalolifanya wanaume hapa ni kukulupuka baada ya kupewa presha za kuoa na jamii matokeo yake anaoa yule age mate wake ambae ashachoka na katika peak yake alimfungia vioo. Biashara ya kitapeli hii.

During her peak she was determined and ruthless to reject you, she didn't settle for less. How comes you pity her in your peak?. She spent her peak years partying and sex with multiple men in the name of having fun and stay away from you by far, because she thought you can't sponser her lifestyle.

Now she hit the time wall and realize age is catching up she can't attract attention like before, then she pretend to be a wife material, she decorates her traumas and countless bodycount with a title of a mature woman and wait for an innocent nice guy to save her. Don't be that dump fool to fall for that trap.

Ukifika kwenye peak yako usikimbilie kuoa au ukiamua kuoa angalao usiwe retirement plan ya malaya mstaafu. Kwenye peak yako hiki ni kipindi cha kupanga mipango yako na kufurahia hustle zako. Wekeza, talii maeneo unayapenda, tengeneza connections na networks na watu wa maana, wajali wazazi wako n.k

Wale age mates wako wanaojileta hili wapate kipande cha keki ya mafanikio yako watumie kwa starehe tu. Mwanamke ambae sikushauri kabisa kuachana nae(kama tayari unae) ni yule ambae alikua loyal, submisive na productive kwako katika safari yako yote ya kuitengeneza thamani yako.

Sasa, ukisha enjoy vya kutosha sasa unaona kuna haja ya kutulia na mwanamke mmoja then go for a young, fresh and innocent woman. Fair play.
Pole sana
Leo ni jumapili
Jitahid upate muda wa kupumzika
 
Mtoa mada anamaanisha ukichukua wa 30+ atakuwa kapiga bingo mara mbili wakati wewe ujakutana na brand new maishani mwako. Anamaanisha nawewe chukua mashine mpya ije izengue kwa wengine. Inamaana we ukichukua used wakati wewe uko mpya ni kosa
Fair play
 
Huwa unapitia kweli nyuzi zake zote au ndio umeamua kuandika ili mradi kujifurahisha tu, katika wanaume wa jf ambao nawaogopa kwa hoja zao huyo wala hayupo na hatawahi kuwepo, mara nyingi sana huwa anakimbia hoja zangu kwa kisingizio kwamba naandika magazeti hivyo hasomi wala hajibu, kwahiyo nami nimeamua kuachana naye lakini yeye mwenyewe anajua akitaka battle na mimi hoja kwa hoja nani atamkimbia mwenzake, kwa kifupi jamaa huwa hana hoja zozote zaidi ya kulialia tu kila siku kuhusu wanawake
Huyo janaa ana hoja aisee tuwe tu wakweli.
 
Umeshawahi kujua wanayopitia wanaume masikini usiombe ni manyanyaso bila tumaini bila msaada usiombe kabisa umasikini hakuna binadamu atayekujali ukiwa katika hiyo hali zaidi ya Mungu tu na wazazi wako


Naelewa Mkuu haya uliyosema ni ya Kweli yote na kiukweli MWANAUME usipopitia haya mapito ya kudharauliwa na kusemwa B'se huna kitu mafanikio yako hayawezi kuwa dhabiti 👉mapito yetu hasa magumu Ndio ngazi ya Kesho yetu iliyo Njema, ukilijua na kulifahamu hili kamwe huwezi kuwachukia wale wanaokudharau ukiwa huna kitu B'se unakua unaiona Kesho yako iliyo njema NDANI yako na ukifanikiwa huwezi kuwaacha wale waliokudharau na kukubedha wakati ulipo kuwa huna kitu na ukiwa na Maono dhabiti wakati wa kudharauliwa na kuchekwa wewe utafurahi Moyoni kwani unaiona kesho yako iliyo Njema


Yusufu moja ya MTOTO pendwa wa Yakobo sio alichekwa au kudharauliwa huyu alichukiwa na ndugu zake hata kutaka kumuua akiwa hana kitu chochote isipokuwa Kesho ambayo MUNGU alikuwa amemuonesha na Yeye kwenda kuwaambia Ndugu zake na wazazi wake na wakamchukia hata kumuuza na alipita katika mapito magumu Sana ila kwasababu aliiona Kesho yake iliyo njema hakutaharika na badae akaja kuwa Mkuu wa nchi ya misri na wale Ndugu zake walikuwa wanataka kumuua na wakaishia kumuua aliwasaidia wala hakuwachukia


Mapito yako hasa magumu ni shahada ya shangwe furahi katika nyakati hizo kwani huwa si za kudumu ni msingi wa kesho yako iliyo njema hata Msingi wa nyumba IMARA huanza kujengwa kwa mawe na sio tofali
 
It always an enjoyable and controlled game untill it comes your turn to face pains
The line we should lean on like a shoulder..
We should cry watching it daily not to forget.
Every body has the power to fist the wall to pieces untill the hand is brocken and it no longer holds even a paper.

Thanks bro Natafuta Ajira Devil two..
"Ushetani uendelee" by devil one promax..
 
Motivational speaker ni Wengi Sana leo kwenye mitandao na bahati mbaya wanatumia Hisia kumotivate watu na Sio facts


Thamani ya MWANAMKE ni mwili wake seriously? Mwili hu wa nyama na damu uliofanywa kwa mavumbi ya nchi na ni wa muda mfupi tu (i.e base Time)


Kuingia katika NDOA kwa Kutazama physical appearance ya MTU ni HATARI Sana kwa ukuaji na ustawi wa NDOA na Ndio maana NDOA nyingi hazifiki mahali B'se Msingi wa hizo NDOA ni mapenzi (i.e mwili hu wa Nyama na damu )


Kuangalia muonekano wa mwili wa nje na vitu vyote vinavyoambatana na mwili hu kama mali na fedha kama kigezo cha kumpa MTU thamani na kuingia nae katika NDOA ni Upumbavu na mwisho wake sio mzuri chunguza utaona


Mpende MTU kama wewe unavyojipenda, kamwe usithubutu kumpenda MTU kama alivyo B'se people change 🔑
One of the biggest thing I've noticed in your comment is the brain you possess..




A very dull brain,, and this is powered by brainwashing attained from SHOGALIC EDUCATION from western zones.
 
Mkuu mwanamke NI Kama mavi ya ngo'mbe hajulikani anataka nini mavi ya ngo'mbe ukiyaona njiani Kama yamekauka tia mguu ndo utajua hakuna rangi utaacha kuona
Hivi kwanza akili yako imewaza nini kurelate hawa viumbe na hayo mavi ya ng'ombe?
Ujue nimecheka kijinga sana..
Maana ni kitu practical nishaifanya yaani kwa wanawake na hiyo ya mavi ya ng'ombe..
 
1730300863802.png
 
Hao ni wale ambao bado hawajaingia kwenye 18 za wanawake. Mtu kama huyu angekua ametalakiana na mkewe huku akipoteza nyumba yake na 50% ya mali zake zote asingekuja hapa kutoa comment kama aliyoiandika.

It always an enjoyable and controlled game untill it comes your turn to face pains
Umeandika kweli!

Wanaume wengi tunabadilisha mitazamo juu ya wanawake baada ya kupigwa matukio.

Na ikikutokea hiyo huwezi kuwaangalia kwa huruma. Unaishi nao kimkakati kweli.
 
Leo nakufungulia hii code. Thamani za mwanaume na mwanamke zinaangaliwa katika vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali/uwezo wa kifedha na thamani ya mwanamke ni mwili wake yaani ile purity.

Mwanamke anaingia kwenye soko la mahusiano around miaka 15 hivi akiwa na thamani kubwa, hiki ni kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye kilele chake cha ubora wa mwili na urembo.

Hapa ego yake inakua juu, ndizo nyakati anakua na vigezo vingi anavyovitaka kutoka kwa mwanaume, in most cases vigezo hivi huwa vinakua unrealistic.

Wakati mwanamke huyu age mate wako anamtafuta uyo fantasy man aliemchora kwenye fikra zake(tall, handsome, rich, cared, good in bed, six park, God fearing, romantic, muelewa, mtanashati, msomi n.k) na miaka nayo inaenda.

Thamani yake itadumu mpaka late 20s, akifika 30s ubora wake kuanzia urembo na mwili mfano ufanisi wa kushika mimba unaingia kwenye declining stage. Hapa thamani ya mwanamke imepolomoka.

Hali inakua mbaya zaidi stage hii ikimkuta akiwa single mother, hiki ndicho kipindi atahitaji mwanaume yoyote ambae anapumua tu. Time is very cruel to women.

Thamani ya mwanaume inaangaliwa kwa uwezo wake wa kifedha hii ndio maana mwanaume anaingia kwenye soko la mahusiano akiwa hana thamani kwa sababu katika kipindi hicho around miaka 16 bado ni mwanafunzi, jobless na asiye na uwezo wa kumgharamia mwanamke.

Ukiwa katika hii hatua kubaliana na ukweli kwamba wakati wako wa kufanya fujo bado haujafika. Ukilazimisha kwenda sambamba na standards za yule mwanamke age mate wako iyo ni movement ya hatari sana kwa afya yako ya akili na mustakabali wa uchumi wako.

Kumbuka huyu age mate wako tayari anayo thamani sokoni ni suala la kukutana tu na mwanaume wa kuwekeza kwenye thamani yake. Kama akikutana na uyo mwekezaji basi nusu saa tu inatosha kuyabadilisha maisha yake (na kama alikua demu wako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja),
lakini wewe hauna thamani ndio upo kwenye mchakato wa kuitengeneza, maintain your focus.

Nielewe vizuri hapa, simaanishi uwe simp, uogope wanawake au uwe womanizer. If you got a girlfriend then treat her right not nice. Love her but not with your money on the line.

Katika kipindi hichi focus yako iwe kwenye kujiongezea thamani kwa kuanzisha miradi ya kibiashara, kujifunza ujuzi mpya, kujiongeza kimasomo n.k. In most cases hustles za mwanaume zinaanza kujibu akiwa 30s.

Kumbuka hapo kwenye 30s ambapo mwanaume unakua kwenye kilele chako cha ubora yule age mate wako unakutana nae yeye akiwa kwenye declining stage ya ubora wake, na hapa ndipo wanaume wengi wanatapeliwa.

Sasa kosa kubwa wanalolifanya wanaume hapa ni kukulupuka baada ya kupewa presha za kuoa na jamii matokeo yake anaoa yule age mate wake ambae ashachoka na katika peak yake alimfungia vioo. Biashara ya kitapeli hii.

During her peak she was determined and ruthless to reject you, she didn't settle for less. How comes you pity her in your peak?. She spent her peak years partying and sex with multiple men in the name of having fun and stay away from you by far, because she thought you can't sponser her lifestyle.

Now she hit the time wall and realize age is catching up she can't attract attention like before, then she pretend to be a wife material, she decorates her traumas and countless bodycount with a title of a mature woman and wait for an innocent nice guy to save her. Don't be that dump fool to fall for that trap.

Ukifika kwenye peak yako usikimbilie kuoa au ukiamua kuoa angalao usiwe retirement plan ya malaya mstaafu. Kwenye peak yako hiki ni kipindi cha kupanga mipango yako na kufurahia hustle zako. Wekeza, talii maeneo unayapenda, tengeneza connections na networks na watu wa maana, wajali wazazi wako n.k

Wale age mates wako wanaojileta hili wapate kipande cha keki ya mafanikio yako watumie kwa starehe tu. Mwanamke ambae sikushauri kabisa kuachana nae(kama tayari unae) ni yule ambae alikua loyal, submisive na productive kwako katika safari yako yote ya kuitengeneza thamani yako.

Sasa, ukisha enjoy vya kutosha sasa unaona kuna haja ya kutulia na mwanamke mmoja then go for a young, fresh and innocent woman. Fair play.
Hakika nawaambieni,
Kila mwenye sikio na asikie
 
Back
Top Bottom