Mwalimu wa Jamii
Senior Member
- Mar 9, 2023
- 162
- 373
Huu do ukweli mkuu, wanaume tukiendekeza papuchi walai hatutomboiHuyo Natafuta Ajira ni kiboko ya Malaya wa JF, ndomaana nyuzi zake vidada vya kimalaya malaya huwa havisogei, Jadda mwenyewe hagusagi nyuzi za jamaa.
Sasa wangapi huwa wanazishika kwenye umri mdogo kama kama uyo beiber, hapa tunaongelea mtiririko wa kawaida wa hatua za kimaisha.Justin beiber yule pale alizishika kwenye umri mdogo na alitoka mpaka na kina kim kardashian kiufupi hayana muongozo
Haya mambo yanaeleweka ni watu kama nyie tu ndio mnataka kufanya yaonekane magumu. Kwamba mwanaume mwenye mali na ambae masikini wanathaminika sawa kwenye jamii?Motivational speaker ni Wengi Sana leo kwenye mitandao na bahati mbaya wanatumia Hisia kumotivate watu na Sio facts
Thamani ya MWANAMKE ni mwili wake seriously? Mwili hu wa nyama na damu uliofanywa kwa mavumbi ya nchi na ni wa muda mfupi tu (i.e base Time)
Kuingia katika NDOA kwa Kutazama physical appearance ya MTU ni HATARI Sana kwa ukuaji na ustawi wa NDOA na Ndio maana NDOA nyingi hazifiki mahali B'se Msingi wa hizo NDOA ni mapenzi (i.e mwili hu wa Nyama na damu )
Kuangalia muonekano wa mwili wa nje na vitu vyote vinavyoambatana na mwili hu kama mali na fedha kama kigezo cha kumpa MTU thamani na kuingia nae katika NDOA ni Upumbavu na mwisho wake sio mzuri chunguza utaona
Mpende MTU kama wewe unavyojipenda, kamwe usithubutu kumpenda MTU kama alivyo B'se people change 🔑
Popular.Kwa maana hiyo baba yako alitapeliwa ukazaliwa wewe?
Even a fool learns something once it hits him.Upo sahihi kabisa mkuu huyu jamaa inaonyesha ni kati ya wanaume wengi walioanza kuwajua wanawake kipindi wamefika chuo,
kiufupi dizani ya huyo jamaa huwa wanakuwaga ni malimbukeni wa mapenzi ndomaana yupo tayari kutoa comment ya kufurahisha wadada wachache ila awakosoe wanaume wenzake wengi wanaosema ukweli.
Dr habari yako .Wanaume wengi hasa African men are very weak.
Wanaume wengi wakiafrika ni dhaifu Sana linapokuja swala la wanawake.
Nimpende kama navyojipenda mmi are we serious..?Motivational speaker ni Wengi Sana leo kwenye mitandao na bahati mbaya wanatumia Hisia kumotivate watu na Sio facts
Thamani ya MWANAMKE ni mwili wake seriously? Mwili hu wa nyama na damu uliofanywa kwa mavumbi ya nchi na ni wa muda mfupi tu (i.e base Time)
Kuingia katika NDOA kwa Kutazama physical appearance ya MTU ni HATARI Sana kwa ukuaji na ustawi wa NDOA na Ndio maana NDOA nyingi hazifiki mahali B'se Msingi wa hizo NDOA ni mapenzi (i.e mwili hu wa Nyama na damu )
Kuangalia muonekano wa mwili wa nje na vitu vyote vinavyoambatana na mwili hu kama mali na fedha kama kigezo cha kumpa MTU thamani na kuingia nae katika NDOA ni Upumbavu na mwisho wake sio mzuri chunguza utaona
Mpende MTU kama wewe unavyojipenda, kamwe usithubutu kumpenda MTU kama alivyo B'se people change 🔑
Huwa unapitia kweli nyuzi zake zote au ndio umeamua kuandika ili mradi kujifurahisha tu, katika wanaume wa jf ambao nawaogopa kwa hoja zao huyo wala hayupo na hatawahi kuwepo, mara nyingi sana huwa anakimbia hoja zangu kwa kisingizio kwamba naandika magazeti hivyo hasomi wala hajibu, kwahiyo nami nimeamua kuachana naye lakini yeye mwenyewe anajua akitaka battle na mimi hoja kwa hoja nani atamkimbia mwenzake, kwa kifupi jamaa huwa hana hoja zozote zaidi ya kulialia tu kila siku kuhusu wanawakeHuyo Natafuta Ajira ni kiboko ya Malaya wa JF, ndomaana nyuzi zake vidada vya kimalaya malaya huwa havisogei, Jadda mwenyewe hagusagi nyuzi za jamaa.
Kuna tofauti kati ya kukimbiwa na kupuuzwa. Unatoka nje ya context, unataka ligi, unaandika mambo ambayo hayana uhalisia halafu unataka mimi nijishughukishe na wewe. Siwezinkupoteza muda wangu nitakachokifanya ni kukupuuza tu.Huwa unapitia kweli nyuzi zake zote au ndio umeamua kuandika ili mradi kujifurahisha tu, katika wanaume wa jf ambao nawaogopa kwa hoja zao huyo wala hayupo na hatawahi kuwepo, mara nyingi sana huwa anakimbia hoja zangu kwa kisingizio kwamba naandika magazeti hivyo hasomi wala hajibu, kwahiyo nami nimeamua kuachana naye lakini yeye mwenyewe anajua akitaka battle na mimi hoja kwa hoja nani atamkimbia mwenzake, kwa kifupi jamaa huwa hana hoja zozote zaidi ya kulialia tu kila siku kuhusu wanawake
Huu uziungekuja wakati wangu..nisingeangaika nayale mangumbale..yakanirudisha nyuma namna ile..ilabado mda upo kupitia nyuz hiiLeo nakufungulia hii code. Thamani za mwanaume na mwanamke zinaangaliwa katika vigezo tofauti. Thamani ya mwanaume ni mali/uwezo wa kifedha na thamani ya mwanamke ni mwili wake yaani ile purity.
Mwanamke anaingia kwenye soko la mahusiano around miaka 15 hivi akiwa na thamani kubwa, hiki ni kipindi ambacho mwanamke anakua kwenye kilele chake cha ubora wa mwili na urembo.
Hapa ego yake inakua juu, ndizo nyakati anakua na vigezo vingi anavyovitaka kutoka kwa mwanaume, in most cases vigezo hivi huwa vinakua unrealistic.
Wakati mwanamke huyu age mate wako anamtafuta uyo fantasy man aliemchora kwenye fikra zake(tall, handsome, rich, cared, good in bed, six park, God fearing, romantic, muelewa, mtanashati, msomi n.k) na miaka nayo inaenda.
Thamani yake itadumu mpaka late 20s, akifika 30s ubora wake kuanzia urembo na mwili mfano ufanisi wa kushika mimba unaingia kwenye declining stage. Hapa thamani ya mwanamke imepolomoka.
Hali inakua mbaya zaidi stage hii ikimkuta akiwa single mother, hiki ndicho kipindi atahitaji mwanaume yoyote ambae anapumua tu. Time is very cruel to women.
Thamani ya mwanaume inaangaliwa kwa uwezo wake wa kifedha hii ndio maana mwanaume anaingia kwenye soko la mahusiano akiwa hana thamani kwa sababu katika kipindi hicho around miaka 16 bado ni mwanafunzi, jobless na asiye na uwezo wa kumgharamia mwanamke.
Ukiwa katika hii hatua kubaliana na ukweli kwamba wakati wako wa kufanya fujo bado haujafika. Ukilazimisha kwenda sambamba na standards za yule mwanamke age mate wako iyo ni movement ya hatari sana kwa afya yako ya akili na mustakabali wa uchumi wako.
Kumbuka huyu age mate wako tayari anayo thamani sokoni ni suala la kukutana tu na mwanaume wa kuwekeza kwenye thamani yake. Kama akikutana na uyo mwekezaji basi nusu saa tu inatosha kuyabadilisha maisha yake (na kama alikua demu wako atakuacha bila kujiuliza hata mara moja),
lakini wewe hauna thamani ndio upo kwenye mchakato wa kuitengeneza, maintain your focus.
Nielewe vizuri hapa, simaanishi uwe simp, uogope wanawake au uwe womanizer. If you got a girlfriend then treat her right not nice. Love her but not with your money on the line.
Katika kipindi hichi focus yako iwe kwenye kujiongezea thamani kwa kuanzisha miradi ya kibiashara, kujifunza ujuzi mpya, kujiongeza kimasomo n.k. In most cases hustles za mwanaume zinaanza kujibu akiwa 30s.
Kumbuka hapo kwenye 30s ambapo mwanaume unakua kwenye kilele chako cha ubora yule age mate wako unakutana nae yeye akiwa kwenye declining stage ya ubora wake, na hapa ndipo wanaume wengi wanatapeliwa.
Sasa kosa kubwa wanalolifanya wanaume hapa ni kukulupuka baada ya kupewa presha za kuoa na jamii matokeo yake anaoa yule age mate wake ambae ashachoka na katika peak yake alimfungia vioo. Biashara ya kitapeli hii.
During her peak she was determined and ruthless to reject you, she didn't settle for less. How comes you pity her in your peak?. She spent her peak years partying and sex with multiple men in the name of having fun and stay away from you by far, because she thought you can't sponser her lifestyle.
Now she hit the time wall and realize age is catching up she can't attract attention like before, then she pretend to be a wife material, she decorates her traumas and countless bodycount with a title of a mature woman and wait for an innocent nice guy to save her. Don't be that dump fool to fall for that trap.
Ukifika kwenye peak yako usikimbilie kuoa au ukiamua kuoa angalao usiwe retirement plan ya malaya mstaafu. Kwenye peak yako hiki ni kipindi cha kupanga mipango yako na kufurahia hustle zako. Wekeza, talii maeneo unayapenda, tengeneza connections na networks na watu wa maana, wajali wazazi wako n.k
Wale age mates wako wanaojileta hili wapate kipande cha keki ya mafanikio yako watumie kwa starehe tu. Mwanamke ambae sikushauri kabisa kuachana nae(kama tayari unae) ni yule ambae alikua loyal, submisive na productive kwako katika safari yako yote ya kuitengeneza thamani yako.
Sasa, ukisha enjoy vya kutosha sasa unaona kuna haja ya kutulia na mwanamke mmoja then go for a young, fresh and innocent woman. Fair play.
Wakina baba na kaka zetu wa kizazi cha nyuma kutoka tulichopo kuna sehemu waliyumba kidogo katika kutu-coach watoto na wadogo zao wa kiume. Ndio maana tumefika hapa kwenye kizazi cha vijana wa kiume legelege, wasiojua wajibu wao na wamekubali kuzishuka thamani zao kwa kumezwa na mfumo jike.Huu uziungekuja wakati wangu..nisingeangaika nayale mangumbale..yakanirudisha nyuma namna ile..ilabado mda upo kupitia nyuz hii
Haya mambo yanaeleweka ni watu kama nyie tu ndio mnataka kufanya yaonekane magumu. Kwamba mwanaume mwenye mali na ambae masikini wanathaminika sawa kwenye jamii?
Huwa nashangazwa sana na watu kama nyie mnataka kupindisha ukweli ili ndo muonekane wema au wastaarabu.
Unajua tukiongelea hulka ya binadamu bila shaka wengi wetu tuna msukumo wa kufanya mema. Hata kulinganisha thamani za watu kwa mali sio uungwana lakini ndio jamii tunayoishi iyo inabidi tujipachike tu hapo kwenye mfumo.MKUU sipingi mantiki yako Kwamba MWANAUME mwenye kipato ana thamani kubwa kwa DUNIA kuliko asie kua na mali, Lakini Kama utakua mtu wa kumfanya tafiti kuhusu maswala ya kijamii hasa NDOA utagundua kwamba NDOA nyingi zinavunjika huku MWANAUME akiwa na kipato na still NDOA inavunja
Kua na kipato/mali bila HEKIMA ni Upumbavu na mwisho wake ni kuangamia, kua na kipato/mali + HEKIMA utaishi kwa wingi wa siku na kufurahia MAISHA ya NDOA na familia
Kamwe Mali haiwezi kukufikisha Mahali, bali hali Ndio itakufikisha Mahali👉 take this in your mind and it gonna help u alot
Umeshawahi kujua wanayopitia wanaume masikini usiombe ni manyanyaso bila tumaini bila msaada usiombe kabisa umasikini hakuna binadamu atayekujali ukiwa katika hiyo hali zaidi ya Mungu tu na wazazi wakoMKUU sipingi mantiki yako Kwamba MWANAUME mwenye kipato ana thamani kubwa kwa DUNIA kuliko asie kua na mali, Lakini Kama utakua mtu wa kumfanya tafiti kuhusu maswala ya kijamii hasa NDOA utagundua kwamba NDOA nyingi zinavunjika huku MWANAUME akiwa na kipato na still NDOA inavunja
Kua na kipato/mali bila HEKIMA ni Upumbavu na mwisho wake ni kuangamia, kua na kipato/mali + HEKIMA utaishi kwa wingi wa siku na kufurahia MAISHA ya NDOA na familia
Kamwe Mali haiwezi kukufikisha Mahali, bali hali Ndio itakufikisha Mahali👉 take this in your mind and it gonna help u alot
Dunia haijali chochote kuhusu mwanaume. Tumetungiwa mpaka misemo ya kitanda hakizai haramu, mwanaume kaumbwa mateso n.k hii yote ni kualalisha unyonyaji, ukandamizaji, ubaguzi, ulaghai na mateso ya kisaikolojia anayopitia mwanaume.Umeshawahi kujua wanayopitia wanaume masikini usiombe ni manyanyaso bila tumaini bila msaada usiombe kabisa umasikini hakuna binadamu atayekujali ukiwa katika hiyo hali zaidi ya Mungu tu na wazazi wako