Sikilizeni CHADEMA hakuna aliewakataza kushiriki katika michezo

Sikilizeni CHADEMA hakuna aliewakataza kushiriki katika michezo

Mimi sio jamaa,mimi ni Mtanganyika mzalendo wajinga wajinga wote wanashobokea udini siwapendi wewe ukiwemo.
Tanganyika inaibuka na hoja na inapotea kwenye karatasi kila mwaka. Litakapomaliza suala la DP World na Tanganyika inakwenda kupotea.

Ni hoja yenye msingi wa watu waliokula kuku sana wakati wa JPM na alipoondoka wakajikuta wakipoteza umuhimu na ushawishi serikalini.
 
Tanganyika inaibuka na hoja na inapotea kwenye karatasi kila mwaka. Litakapomaliza suala la DP World na Tanganyika inakwenda kupotea.

Ni hoja yenye msingi wa watu waliokula kuku sana wakati wa JPM na alipoondoka wakajikuta wakipoteza umuhimu na ushawishi serikalini.
Hao ni maarufu kama sukuma gang
 
Kwa taarifa yako kwa sasa pesa iko mbele ya hizo dini za michongo. Ukiendekeza huo ukhanithi wa dini unaishia kuonekana mshirikina tu. Ungekuwa ni muumini wa dini kweli usingekesha hapa kuendesha uhasama wa kipuuzi, maana wala dini haifundishi utoto unaoletaga hapa.
Mwambie huyu Mzee wa upinde mjinga sana,hana maana udini umemtia ujinga.
 
we nae umeanza vizuri umeanza kuattack watu personally Matkle yakle
 
FaizaFoxy na mjomba wake The Boss wao mwarabu na Uilsam ni kila kitu.

Leo wakiambiwa Mt Kilimanjaro apewe mwarabu kwa raha kweli kweli.Ujinga mzigo.
Tunawaelewa ninyi, hamtupi shida.

Qur'an 2:
120.
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu. 120
 
Tunawaelewa ninyi, hamtupi shida.

Qur'an 2:
120.
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu. 120
Ushaanza unafiki wako wenye udini.
 
Ushaanza unafiki wako wenye udini.
Qur'an 3:
19.
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19
 
Qur'an 3:
19.
Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu. 19
Naona leo umeamua kueneza udini wako vilivyo
 
Fursa kwa mjinga aliyeshindwa kujibu hoja za watanganyika kuhusu ule mkataba wa hovyo wa bandari, badala yake akaamua kuwazibia masikio.

Sasa ndio ameamua kujitokeza mbele za watu kama pambo, akiwa amejipaka make up na wanja, anaenda kujichekesha pale uwanjani akijidanganya harakati za kukomboa bandari zetu zitaishia pale, hajui akitoka uwanjani atakutana na moto ule ule.
Kama unaona wivu kuhusu make up na wanja,na wewe paka hizo make up na wanja tukuone,una akili fupi kama mkia wa mbuzi,

Kumbe lile tukio lilikuumiza kiasi hicho! endelea kuteseka na maisha yako ya chuki za kijinga,angalia tu usije ukapata vidonda vya tumbo.
 
Akirudi nishtue
Kama unaona wivu kuhusu make up na wanja,na wewe paka hizo make up na wanja tukuone,una akili fupi kama mkia wa mbuzi,

Kumbe lile tukio lilikuumiza kiasi hicho! endelea kuteseka na maisha yako ya chuki za kijinga,angalia tu usije ukapata vidonda vya tumbo.
 
Inasikitisha kwa ME kuwa na wivu mpaka ktk kupaka wanja na make up
Kama unaona wivu kuhusu make up na wanja,na wewe paka hizo make up na wanja tukuone,una akili fupi kama mkia wa mbuzi,

Kumbe lile tukio lilikuumiza kiasi hicho! endelea kuteseka na maisha yako ya chuki za kijinga,angalia tu usije ukapata vidonda vya tumbo.
 
Back
Top Bottom