Ivi huu mda wa kupiga picha na mapozi kabisa kaweka wanapata wapi?Alitaka vifaa wakaufyata afu eti ofa ya kutoroshwa? Stupid zao Bora afe akipambana sanjali na jeshi lake ambalo limekataa uasi.
Urusi kaaibika na leo kashindwa kuangusha Serikali [emoji116]
View attachment 2131480
View attachment 2131481
View attachment 2131482
View attachment 2131483
Bonge la kidume akimbie amuachie nani?bonge la spirit!!!Raisi wa Ukraine ni mwanaume,mwingine angekuwa keshakimbia
Mqanaume sibgedanganywa kizembe hivyo na NATOHuyu ndio mwanaume.
Siku ya tatu leo Russia hajaiangusha serikali ya Ukraine licha ya kuwa na jeshi dhaifu.porojo
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16]Mbona tunaye huku Tegeta tunakunywa naye supu? Jamaa mcheshi sana
Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
Hapo itabidi Russia atumie gharama kubwa ku restore amani ya Ukraine huku akilazimika kutumia gharama kubwa ya kulinda mipaka yake kwakuwa amani isipokuwepo Ukraine ni rahisi maadui kujificha Ukraine nakusababisha wasiwasi kwa Russia.porojo
Hawa wajeda wa Ukraine waliosalimu amri kwa majeshi ya Russia, wanasafirishwa kuingia Crimea
mtu chake Kabila yupo wapi sikuizi?Unapambana mpk mwisho.hkn kusanda
Hawa wavamizi ni WA kuua tuu sio kuwaacha hai.Vita siyo jambo jema. Werevu husema vita huwa havina macho. Hawa nao vipi umewasikia?
Kama wale wa Ukraine wa kisiwani walivyofanywa baada ya kukataa kujisalimishaHawa wavamizi ni WA kuua tuu sio kuwaacha hai.
Rais ndiye roho ya nchi, akiwa hai vita havitaisha kwani ataendesha uasi kwa wale wanaomtii
Haifai kuua mateka kwa sheria za kimataifa.Hawa wavamizi ni WA kuua tuu sio kuwaacha hai.
Yule wa Afghanistan 🇦🇫 alikimbia kabla hata jamaa hawajaingia mjiniRaisi wa Ukraine ni mwanaume,mwingine angekuwa keshakimbia
Kapiga picha za kutupia kwenye mitandao tu ila hama msaada wowote huyu kwa wanaokufa frontline kwasababu ya upumbavu wakeAlitaka vifaa wakaufyata afu eti ofa ya kutoroshwa? Stupid zao Bora afe akipambana sanjali na jeshi lake ambalo limekataa uasi.
Urusi kaaibika na leo kashindwa kuangusha Serikali 👇
View attachment 2131480
View attachment 2131481
View attachment 2131482
View attachment 2131483
Ssa kma anatka silaha c wampe. Wengine vitatunaziona kweny move2 ssa hii ya sasa hiv itakuwa liveMarekani imepiga hesabu zake imeona kuwa Putin atamdaka Rais wa Ukraine ndani ya siku chache mno. Kufuatia hivyo, imeona bora imchukue kibaraka wake huyo (rais wa Ukraine) kwa kumtorosha toka Ukraine ili kumuepushia kifo.
Rais wa Ukraine bwana Zelensky amekataa ofa ya Marekani ya kutaka kumtorosha toka mji mkuu wa Ukraine, Kyiv, uliozingirwa na majeshi ya Putin (Russia) yeye (Zelensky) akiwa ni target Namba 1. Rais huyo wa Ukraine amewajibu Marekani kuwa yeye anataka silaha za vita, sio ndege ya kumtorosha toka Ukraine.
Waswahili walinena SIKIO LAKUFA HALISIKII DAWA
===
Zelensky declines US offer to evacuate Kyiv: 'I need ammunition, not a ride'
Ukrainian President Volodymyr Zelensky was asked to evacuate Kyiv at the behest of the US government but turned down the offer.
Zelensky said in response: “The fight is here; I need ammunition, not a ride,” according to a senior American intelligence official with direct knowledge of the conversation, who described Zelenskyy as upbeat.
Invading Russian forces closed in on Ukraine’s capital on Saturday, in an apparent encircling movement after a barrage of airstrikes on cities and military bases around the country.
Hata Sadam Hussein alipata offer za kutoroshwa ila alikataa,alisema napigania nchi yangu na ikibidi nitafia kwenye nchi yangu.Raisi wa Ukraine ni mwanaume,mwingine angekuwa keshakimbia
Bora kabisaHata Sadam Hussein alipata offer za kutoroshwa ila alikataa,alisema napigania nchi yangu na ikibidi nitafia kwenye nchi yangu.