Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,897
Jf ht ukiwa na stress lazima ziishe.hahahahaaaaaJaribu siku 1 kabla ya kulala nae ule mayai ya kuchemshwa ka manne hivi ushushie na supu ya maharage na nusu lita ya maziwa ya mtindi.Hii itakusaidia sana kutojamba,badala yake kijambo kitatoka kama pumzi tamu kinywani.
haahhaahaahaahaahaahaahaahaahaahaa! Jamba tu tena ule wa yusuuufuu!WanaJF nina tatizo linanikabili sijui kama na wenzangu mnalo,nimekuwa siko free na nashindwa kujiachia kulala na mpenzi wangu mpaka asubuhi kwasababu naogopa nikijamba usiku atanielewaje,nakosa amani kwa kweli kwasababu usiku huwa nikiachia yanatoa sauti sana,kuepusha shari na fedheha nimekuwa nikikwepa kulala naye kitu ambacho mwenzangu bado anaking'ang'ania,nisaidieni hata ushauri namna ya kufanya niwe na amani mwenzenu.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Mamdenyi I Miss u u know.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Aaah! Simpatii picha huyo Mr.Strong... Me huwa najiachia tu but wife hapendi ila yeye ndie hodari wa kulipua mabomu.
Mhhh hizi savanah zenu nyie ma sister duuh noma!Demu wangu akinywa savanah anajamba kweli kweli tena yananuka mno!
Isha zoea sasa akinywa savanah najua leo hatulali ahahahaha
Nadhani hata yeye hayuko huru coz kuna siku nilijitahidi nikalala naye huwa analala kwa kuotea hana amani sana nikifumbua macho naye anafumbua kuonyesha hayuko huru sana nadhani na yeye anaogopa kuachia,mi huwa najitahidi nikeshe ila nazidiwa ukiona nimelala nimepitiwa tu bt nikistuka huwa naogopa sana nisije nikawa nimeachia.
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Teh teh vijana wa siku hizi mna mapenzi ya paka, mimi enzi zangu nilikojoa mkojo kwenye kibuyu kama nusu lita huku kishtobe wangu akiniangalia nikamwambia kama unanipenda kunywa huu mkojo akaunywa wote sasa wewe unaogopa kupiga honi tu.
Wewe lala nae tena mjifunike shuka moja, achia kitu ukimiona anatoa kichwa nje ujue hakupendi lol
jifunge ant-sound
ziko mliman city