Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

Ooh wow
Hiyo ya rose petals ni nzuri eeh ?
Ndo hizo wanazoweka kwenye yoni me nilinunuaga sehemu dried rose petals kwa matumizi mengine ndo nikaelekezwa na hiyo ya kufanya kama yoni kwa dada K sema nafanya mara 1 au mbili per year nna uvivu😅😅
 
Yes !!! Nakazia apa kwa asilimia zote ajaribu kutafuta pisi mpya aone kwanza
 
Hivi mkuu DeepPond ushawahi kumgusa mkeo kweli ukiachana na fungate? mana kwny ratiba zote kwenye episode zako zote sijaona ratiba ya mke au yeye na migegedo wamepishana ndo mana ratiba zote ni kwa michepuko??
 
Duh!!!,Aisee samaki huyo mbona ana mwonekano mbaya sana!,dah, siwezi nikala.
 
Ndo hizo wanazoweka kwenye yoni me nilinunuaga sehemu dried rose petals kwa matumizi mengine ndo nikaelekezwa na hiyo ya kufanya kama yoni kwa dada K sema nafanya mara 1 au mbili per year nna uvivu[emoji28][emoji28]
Bora unatengeneza mwenyewe maana hizi online nasikia kuna fake aisee ..
Ooh unafanya mara chache ndo vizuri sio wale wanaambia watumie yoni kila mwezi .
 
Yes !!! Nakazia apa kwa asilimia zote ajaribu kutafuta pisi mpya aone kwanza
Hii Kitu nahisi inaweza kuniletea Tena mlolongo wa mahusiano mapya,
ambayo siko tayar nayo kwasasa mkuu
 
Hivi mkuu DeepPond ushawahi kumgusa mkeo kweli ukiachana na fungate? mana kwny ratiba zote kwenye episode zako zote sijaona ratiba ya mke au yeye na migegedo wamepishana ndo mana ratiba zote ni kwa michepuko??
Huwa namgusa,
Sema miez Hii 5 tangu aende likizo ya mimba,kujifungua pamoja na kunyonyesha tendo limekua changamoto Sana mkuu.
 
Shukran,
Ntajaribu Hii mkuu[emoji106]
 
Bora unatengeneza mwenyewe maana hizi online nasikia kuna fake aisee ..
Ooh unafanya mara chache ndo vizuri sio wale wanaambia watumie yoni kila mwezi .
Eeh walau sitbath ndo nafanya mara kwa mara
 
Hii Kitu nahisi inaweza kuniletea Tena mlolongo wa mahusiano mapya,
ambayo siko tayar nayo kwasasa mkuu
Unapima tu Kama utaweza maliza tatizo kwa kujaribu ladha mpya au tatizo litabaki palepale yani ni endelevu

Issue si mahusiano mapya ni kuchek tu tatizo lipo vipi kwa k ingne tofauti na ao wawili uliowazoea
 
Unapima tu Kama utaweza maliza tatizo kwa kujaribu ladha mpya au tatizo litabaki palepale yani ni endelevu

Issue si mahusiano mapya ni kuchek tu tatizo lipo vipi kwa k ingne tofauti na ao wawili uliowazoea
Najaribu vipi k tofauti bila kuingia kwenye mahusiano mapya, au unamaanisha nikanunue kahaba?
 
Kama ukipona na ukaendekeza ngono namna hiyo, siku za kuishi si nyingi ndgu.

Hapo una matatizo ya nguvu za kiume, nenda hospitali sijajua kwanini umeiweka jf hii ishu yako wakati ni serious issue ya kwenda hospital kabisa bila kuchelewa.

Kuna dogo mwaka 2017 alitangazwa bbc alikua na shida kama yako, sema yeye ngoma ilikua hailali kabisa. Alienda hospital akatibiwa.

Kwa maana hiyo we jamaa huwezi kutungisha mimba kwa sasa. Fanya uende hospital usije kua mgumba milele ndgu.
 
Hiyo hali yako inatokana na sababu kuu mbili
1. Kufanya mapenzi mfululizo bila kuacha nafasi ya siku atleast wiki
2. Kujichua(punyeto) na kuangalia sana filamu za ngono mpaka unapata addiction.

Mimi pia nilikuwa mhanga wa hali hiyo ila nashukuru nimejitibu kisaikolojia baada ya kupewa ushauri na maelekezo niwe na lifestyle gani na kwasasa mwili umekuwa sawa.

Nimesoma Tangu ile post yako ya mamaJ mpaka kununua BarMaid, bro Una tatizo la kisaikolojia kama ambalo nilikuwa nalo.
Usimtafute mchawi wala ujarogwa, itibu akili yako, jiwekee limitations na fanyia mazoezi kuziishi. taratibu utazoea na utakaa sawa
Pia jitahidi uwe Unakula vyakula vinavyoongeza sperms count hasa zile siku utakazoamua kupumzika kusexiana na huyo MamaJ au Rose wako.

Usiache kwenda hospitali. Ukiweza tembelea wataalam wa saikolojia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…