Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

Hivi inamaana members wote wa JF mna magari? Duh!
Mbona mimi sina?
Maake nyuzi nyingi za sasa gari halikosekani!!
Mkuu tupambane sana, wenzetu wana magari na michepuko wanaipangishia nyumba!!! Na wanapata muda wa kutype thread ndefu kama hizi... Mm na ww tu ndo tunapuyanga[emoji2]
 
Hauko peke yako mkuu..... kwa uzoefu ni kwamba una nguvu nyingi(za kiume) na kwa kipindi hiki zimekuwa nyingi zaidi.
Jitahidi kujiepusha kufanya mapenzi kwa muda walau wiki mbili(naelewa kwamba si rahisi kwani hata mimi napenda sana mbususu lakini nilijufunza kushinda hisia).
Kama ni mtu wa mazoezi punguza mazoezi kwa hizo wiki mbili na ule vyakula vyenye mafuta.
Ikishidikana kawaone wataalamu.
 
Angalia njia zako Mpalange unautumia na unatumia live au kivipi, Nenda maeneo ya mlimani city kuna clinic ya wachina opposite na stend ya kutoka mwenge wanavipimo full utajua everything kukuhusu
 
Pole mkuu, hiyo hali ilishawahi kunikuta kwa wakati fulani ila mie ni tofauti kidogo na wewe mie huwa cha kwanza napata baada ya dakika 20 - 50 ila cha pili mara nyingi huwa nakosa kabsa, yani nafanya hadi naghairisha kutokana na kelele za mwanamke kuchoka au kuumia.
kweli, sio kitu cha ajabu sana
 
KINGINE,
[emoji117]Sio kwamba hivi karibuni ndo nmeanza kufanya mapenzi mfulurizo, bali huwa nafanya mapenz sana kila mara nnapopata muda, ila haiwezi kupita zaidi ya siku 2 sijafanya mapenzi. Siku 3 na zaidi kupita sijafanya mapenzi labda Itokee dharula kubwa Sana Kama safari,migogoro ya kimahusiano n.k. Napo Ni nadra Sana.
[emoji117]Hii Hali ya kubana mbegu zisitoke nmekua naifanya kila Mara nnapohisi mwenza wangu Yuko siku za hatar kuepusha kummwagia kumpa mimba.
Hofu yangu Ni kwamba hali Hii isije kua imeuathiri moja kwa moja mwili wangu mbegu zisitoke kabisa au ni kwamba mbegu uko chini ndo Sasa hivi zimeisha?[emoji848]
[emoji117]Hali hii niliyonayo Sasa ni nikiingiwa tu na hamu ya mapenz,uume unasimama HARAKA Sana na unakazamisuli mpk unaniuma sana. NAFUU yake labda nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale au Nikafanye mapenzi
[emoji117]Hivi Sasa Nna maumivu makali kiunoni, miguuni na mabegani. Bado makovu mabichi ya kwenye viwiko na ulimi kujing'ata kutokana na kufanya mapenzi mfulurizo.

Kiufupi mwili wote sasa umechoka,
ila Sasa nnapokua na hamu ya kufanya, uchovu wote sehem nyingine unakua Hauna Tena maana kwangu.

Na maumivu yote yanaamia kwenye uume tu na najikuta narudi kule kule kwenye kufanya Ili angalau niisugue Sana nipate nafuu au ninywe maji mengi nilazimishe nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale.
Kapime tezi dume inaweza ikawa sababu.
 
Inabidi utumie sea food Sana kuanzia saizi, pia kama una nafasi Kuna samaki anaitwa sea horse (farasi wa baharini)huyo pichani anasaidia kutibu magonjwa ya Maumivu ya mwili,uchovu,mgongo. Unaweza ukawa unamloweka kwenye juisi,maji,chai,supu au pombe Kisha unakunywa asubuhi na jioni. Unaweza mtumia hata mwaka au ukakata vipande ukamla. Huyo samaki anatumiwa Sana na wachina (Chinese herbs). Dar ukienda kivukoni pale ferry unaweza kumpata ingawa anavuliwa bahari kuu maeneo ya Kilwa au Mafia Bei kuanzia 15000 mpaka 20,000 Kwa mmoja yupo Sawa na kidole Cha mkono.

View attachment 2192408
Angalizo Kuna wafilipino walikuwa Bongo wakawa wanamtumia huyo kwenye pombe wao wanasema wanapata hamasa zaidi kama Yako kufanya kazi za kibailojia.
 
Ilo ni tatizo kama matatizo mengine ya Nguvu za kiume. Gari kuhunguruma kwa sauti isiyo Kuwa ya kawaida haimaanishi ndio imekuwa na nguvu sana zisizo za kwake.

Jivune ila Soon mishipa italala mazima na hapo itakuwa sio riziki tena
 
Wana jf naombeni msada nina mwaka mmoja sasa karibia na nusu sijafanya mapenz lakini hisia zinakuja lakini sana mara kwa mara jomon nisaidieani why
 
Hayo mambo ya kuwachanganya akina mama/dada tena watu wenyewe waswahili hawa jiangalie vizuri. Siku hizi wakiona mtu mwenyewe hueleweki wana mchezo wanakuhamishia network tu. Angalia usije ukawa umeshafanyiwa hiyo michezo ya kiswahili.
 
Back
Top Bottom