Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
Hapana bebe ukuje pm nikuelekezeSitbath hii unanunua kwa mtu au unafanyaje dear
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bebe ukuje pm nikuelekezeSitbath hii unanunua kwa mtu au unafanyaje dear
Ooh thank youHapana bebe ukuje pm nikuelekeze
Mkuu tupambane sana, wenzetu wana magari na michepuko wanaipangishia nyumba!!! Na wanapata muda wa kutype thread ndefu kama hizi... Mm na ww tu ndo tunapuyanga[emoji2]Hivi inamaana members wote wa JF mna magari? Duh!
Mbona mimi sina?
Maake nyuzi nyingi za sasa gari halikosekani!!
sio kweliLishe duni.
kweli, sio kitu cha ajabu sanaPole mkuu, hiyo hali ilishawahi kunikuta kwa wakati fulani ila mie ni tofauti kidogo na wewe mie huwa cha kwanza napata baada ya dakika 20 - 50 ila cha pili mara nyingi huwa nakosa kabsa, yani nafanya hadi naghairisha kutokana na kelele za mwanamke kuchoka au kuumia.
Sina mawasiliano yake, nikienda Maeneo ya Ferry nitakutafutiaKama hutojali,
Ntaomba uNisaidie mawasiliano yake[emoji120]
😳maji ya bamiaAfanye sitbath walau mara 3 kwa wiki, anywe mtindi , aloweke bamia awe anakunywa maji yake kama ataweza, apples b4 kumdinyua n.k
shemeji yetu huwa ni muhanga nini?Pumzika kidogo,utakuwa sawa
Kapime tezi dume inaweza ikawa sababu.KINGINE,
[emoji117]Sio kwamba hivi karibuni ndo nmeanza kufanya mapenzi mfulurizo, bali huwa nafanya mapenz sana kila mara nnapopata muda, ila haiwezi kupita zaidi ya siku 2 sijafanya mapenzi. Siku 3 na zaidi kupita sijafanya mapenzi labda Itokee dharula kubwa Sana Kama safari,migogoro ya kimahusiano n.k. Napo Ni nadra Sana.
[emoji117]Hii Hali ya kubana mbegu zisitoke nmekua naifanya kila Mara nnapohisi mwenza wangu Yuko siku za hatar kuepusha kummwagia kumpa mimba.
Hofu yangu Ni kwamba hali Hii isije kua imeuathiri moja kwa moja mwili wangu mbegu zisitoke kabisa au ni kwamba mbegu uko chini ndo Sasa hivi zimeisha?[emoji848]
[emoji117]Hali hii niliyonayo Sasa ni nikiingiwa tu na hamu ya mapenz,uume unasimama HARAKA Sana na unakazamisuli mpk unaniuma sana. NAFUU yake labda nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale au Nikafanye mapenzi
[emoji117]Hivi Sasa Nna maumivu makali kiunoni, miguuni na mabegani. Bado makovu mabichi ya kwenye viwiko na ulimi kujing'ata kutokana na kufanya mapenzi mfulurizo.
Kiufupi mwili wote sasa umechoka,
ila Sasa nnapokua na hamu ya kufanya, uchovu wote sehem nyingine unakua Hauna Tena maana kwangu.
Na maumivu yote yanaamia kwenye uume tu na najikuta narudi kule kule kwenye kufanya Ili angalau niisugue Sana nipate nafuu au ninywe maji mengi nilazimishe nipate mkojo wa kawaida nikakojoe ndo ilale.
Inabidi utumie sea food Sana kuanzia saizi, pia kama una nafasi Kuna samaki anaitwa sea horse (farasi wa baharini)huyo pichani anasaidia kutibu magonjwa ya Maumivu ya mwili,uchovu,mgongo. Unaweza ukawa unamloweka kwenye juisi,maji,chai,supu au pombe Kisha unakunywa asubuhi na jioni. Unaweza mtumia hata mwaka au ukakata vipande ukamla. Huyo samaki anatumiwa Sana na wachina (Chinese herbs). Dar ukienda kivukoni pale ferry unaweza kumpata ingawa anavuliwa bahari kuu maeneo ya Kilwa au Mafia Bei kuanzia 15000 mpaka 20,000 Kwa mmoja yupo Sawa na kidole Cha mkono.
View attachment 2192408
Angalizo Kuna wafilipino walikuwa Bongo wakawa wanamtumia huyo kwenye pombe wao wanasema wanapata hamasa zaidi kama Yako kufanya kazi za kibailojia.
0718526503 Namba yake Hiyo mchekiKama hutojali,
Ntaomba uNisaidie mawasiliano yake[emoji120]
Utakua umekufa hujijuiWana jf naombeni msada nina mwaka mmoja sasa karibia na nusu sijafanya mapenz lakini hisia zinakuja lakini sana mara kwa mara jomon nisaidieani why
JomonUtakua umekufa hujiju