Siku 16 nafanya mapenzi mfululizo na ni Siku ya 8 sijafika kileleni kabisa

Hivi inamaana members wote wa JF mna magari? Duh!
Mbona mimi sina?
Maake nyuzi nyingi za sasa gari halikosekani!!
Mkuu tupambane sana, wenzetu wana magari na michepuko wanaipangishia nyumba!!! Na wanapata muda wa kutype thread ndefu kama hizi... Mm na ww tu ndo tunapuyanga[emoji2]
 
Hauko peke yako mkuu..... kwa uzoefu ni kwamba una nguvu nyingi(za kiume) na kwa kipindi hiki zimekuwa nyingi zaidi.
Jitahidi kujiepusha kufanya mapenzi kwa muda walau wiki mbili(naelewa kwamba si rahisi kwani hata mimi napenda sana mbususu lakini nilijufunza kushinda hisia).
Kama ni mtu wa mazoezi punguza mazoezi kwa hizo wiki mbili na ule vyakula vyenye mafuta.
Ikishidikana kawaone wataalamu.
 
Angalia njia zako Mpalange unautumia na unatumia live au kivipi, Nenda maeneo ya mlimani city kuna clinic ya wachina opposite na stend ya kutoka mwenge wanavipimo full utajua everything kukuhusu
 
kweli, sio kitu cha ajabu sana
 
Kapime tezi dume inaweza ikawa sababu.
 
 
Ilo ni tatizo kama matatizo mengine ya Nguvu za kiume. Gari kuhunguruma kwa sauti isiyo Kuwa ya kawaida haimaanishi ndio imekuwa na nguvu sana zisizo za kwake.

Jivune ila Soon mishipa italala mazima na hapo itakuwa sio riziki tena
 
Wana jf naombeni msada nina mwaka mmoja sasa karibia na nusu sijafanya mapenz lakini hisia zinakuja lakini sana mara kwa mara jomon nisaidieani why
 
Hayo mambo ya kuwachanganya akina mama/dada tena watu wenyewe waswahili hawa jiangalie vizuri. Siku hizi wakiona mtu mwenyewe hueleweki wana mchezo wanakuhamishia network tu. Angalia usije ukawa umeshafanyiwa hiyo michezo ya kiswahili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…