Siku 180 mabilioni yapigwa Uhamiaji, maofisa 32 wamehusika

Siku 180 mabilioni yapigwa Uhamiaji, maofisa 32 wamehusika

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Screenshot_20220422-072241_Chrome.jpg

Kwa mwendo huu awamu ya 5 ilikuwa ina ufisadi mwingi kuliko awamu zote au ukijumlisha ufisadi wa awamu zote ndio unapata ufisadi wa awamu ya 5
 
Watu badala mpigie kelele solution, nawaona mnazidi kupigia kelele matatizo.

Tena nikiwasoma vizuri ni kama mnashangilia kwa mshangao, bado mko honey moon ya kifo cha marehemu.

Mkija kutoka huko mtakuta hawa siafu wa sasa wamemaliza kila kitu, halafu mshangae tena.
 
Back
Top Bottom