OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Kwa mwendo huu awamu ya 5 ilikuwa ina ufisadi mwingi kuliko awamu zote au ukijumlisha ufisadi wa awamu zote ndio unapata ufisadi wa awamu ya 5
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wamjua Kamishina Jenerali Dr. Makakala na connection zake na Sengerema, aki Magufuli naye angeifilisi hii Nchi.View attachment 2196026
Kwa mwendo huu awamu ya 5 ilikuwa ina ufisadi mwingi kuliko awamu zote au ukijumlisha ufisadi wa awamu zote ndio unapata ufisadi wa awamu ya 5
Nchi inatafunwa haswaView attachment 2196026
Kwa mwendo huu awamu ya 5 ilikuwa ina ufisadi mwingi kuliko awamu zote au ukijumlisha ufisadi wa awamu zote ndio unapata ufisadi wa awamu ya 5
Hii awamu wanapakua kabisa na siyo kupigaHqkuna awamu watu hawapigi, hata sasa kuna raia wanapiga na utakuja kujua baadaye...
Nchi inaenda kufa kabisaSi wamjua Kamishina Jenerali Dr. Makakala na connection zake na Sengerema, aki Magufuli naye angeifilisi hii Nchi.
Lakini jiwe alitia fora na kuvunja rekodi. Yeye alikuwa anacheza na matrilion tu.Hqkuna awamu watu hawapigi, hata sasa kuna raia wanapiga na utakuja kujua baadaye...
Hii awamu wanapakua kabisa na siyo kupiga
Hahahaaaa....... Naona umeshakata tamaa!Nchi inaenda kufa kabisa
Nimekuelewa sana bwashee!Sasa hii ya kuchezea mifumo ni tatizo la JPM au tabia yetu ya wizi na udokozi ambayo ni kama ndio kielelezo cha ufanyaji kazi wetu?
Tukatae haya yote kwa kushinikiza katiba mpya, hatuwezi kuendelea hivi.View attachment 2196026
Kwa mwendo huu awamu ya 5 ilikuwa ina ufisadi mwingi kuliko awamu zote au ukijumlisha ufisadi wa awamu zote ndio unapata ufisadi wa awamu ya 5
Mnaitafuna vizuri snHahahaaaa....... Naona umeshakata tamaa!
Watu wa hovyo snSubiri miaka ya awamu zake ziishe ndipo wananzengo watakuja kusema bora wale awamu zile nyingine zilizopita...
Huwezi tenganisha masikini na ulafi, Waafrika ni walafi sana...
Baraza kuu linaketi lini manka?Mnaitafuna vizuri sn
11/05/2022Baraza kuu linaketi lini manka?
Ya 5 hadi mwendazake alikuwa mpigaji hatare sana !Hakuna awamu watu hawapigi, hata sasa kuna raia wanapiga na utakuja kujua baadaye...
Nukuu ya Magufuli " Ufisadi ni tabia ya mtu kama ambavyo tunatumia njia kupigana na mafisadi wao pia wanatumia njia zao waendelee na upigaji"Ngoja watetea legasi waje kumtetea kiongozi wa malaika mbinguni.