Siku 180 mabilioni yapigwa Uhamiaji, maofisa 32 wamehusika

Siku 180 mabilioni yapigwa Uhamiaji, maofisa 32 wamehusika

Ukurasa wa mbele wa gazeti la Raia Mwema la Leo Ijumaa ya Aprili 22, 2022

Front.jpg
 
Watawalea as usual kama mnavyojua...hawa waliwaweka kwenye kundi la ukamataji. Sasa ili ikifika wakati wa msaada hili kundi litaebeba vote kwenye mabegi....watakaa kimyaa tu na upepo utapita...kiulaini...Mbinu kuu ya kuongoza ni pamoja na kuhakksha kundi lenye magobole linakula urefu wa kamba zao.
Ili ukifika wakati waTumike kwa uaminifu.
 
Watawalea as usual kama mnavyojua...hawa waliwaweka kwenye kundi la ukamataji. Sasa ili ikifika wakati wa msaada hili kundi litaebeba vote kwenye mabegi....watakaa kimyaa tu na upepo utapita...kiulaini...Mbinu kuu ya kuongoza ni pamoja na kuhakksha kundi lenye magobole linakula urefu wa kamba zao.
Ili ukifika wakati waTumike kwa uaminifu.
Sure ndiyo imeisha hivyo watu wanatafuna haswa
 
Gawio wanapokea aki na nani? Royal tour ikianza kuleta neema system ndo itachezewa zaidi.
 
kati ya watu wanakula kiulaini ni hao majamaa ya uhamiaji
 
Sasa hii ya kuchezea mifumo ni tatizo la JPM au tabia yetu ya wizi na udokozi ambayo ni kama ndio kielelezo cha ufanyaji kazi wetu?
Sisi lazima tupige sababu Hatujafikia level ya maturity kama weupe.
Huwezi kuta mweupe anapiga wala kujilimbikizia kodi za umma.
 
Hakuna awamu watu hawapigi, hata sasa kuna raia wanapiga na utakuja kujua baadaye...
Lakini awamu ya tano ilijinadi awamu safi isiyo na wapigaji cha ajabu ikazima vyombo vya habari na kupambana na vyama vya upinzani.
 
Subiri miaka ya awamu zake ziishe ndipo wananzengo watakuja kusema bora wale awamu zile nyingine zilizopita...

Huwezi tenganisha masikini na ulafi, Waafrika ni walafi sana...
Mwafrika ndie species inayojua kutafuna na sio kulima.
Mama hana meno yaani watazitafuna haswaa kufidia gap la magu.
Anaedhani kuna siku tutaendelea inatakiwa awekewe ubongo bandia
 
Nukuu ya Magufuli " Ufisadi ni tabia ya mtu kama ambavyo tunatumia njia kupigana na mafisadi wao pia wanatumia njia zao waendelee na upigaji"
Alikuwa bize kuua upinzani kuliko kuwa bize kuziba nyumba inatoboka
 
WANANCHI TUKISEMA POLISI WANATUKAMATA NCHI ya AJABU sana RAIS Samia anazunguka kutafuta Pesa za Maendeleo WATENDAJI wanazipiga tu

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Tena kaenda watengenezea dili kabisa watalii wakiongezeka wanaongezekea kwenye mifuko yao.
Ilitakiwa yeyeto alae kodi yetu hata maji asiombe ndo wafanyavyo wenzetu weupe
 
Back
Top Bottom