Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 2196026
Kwa mwendo huu awamu ya 5 ilikuwa ina ufisadi mwingi kuliko awamu zote au ukijumlisha ufisadi wa awamu zote ndio unapata ufisadi wa awamu ya 5
Kwahiyo wewe kilichokuuma ni kuwapiga pini vyama vya upinzani na sio maendeleo aliyoleta ndani ya nchi?Alikuwa bize kuua upinzani kuliko kuwa bize kuziba nyumba inatoboka
SHida ni kwamba kuna mwamba alituaminisha kuwa wakati wake hatukuwa tunapigwa...!!Hakuna awamu watu hawapigi, hata sasa kuna raia wanapiga na utakuja kujua baadaye...
Sasa kusingekuwa na upigaji mbona alikuwa anatumbua majibu nanukuu yake " Ufisadi ni tabia ya watanzania wengi kama ambavyo tunavyotumia njia kupambana na mafisadi ndipo nao wanatumia njia zao kuendelea na upigaji" so ungeelewa hicho wala usingecomment hivyoSHida ni kwamba kuna mwamba alituaminisha kuwa wakati wake hatukuwa tunapigwa...!!
Aliowatumbuwa wengine nafasi moja alisababisha alipe mishahara miwili kwa mwaka mzima.. aliyetumbuliwa alilipwa na aliyewekwa naye alilipwaSasa kusingekuwa na upigaji mbona alikuwa anatumbua majibu nanukuu yake " Ufisadi ni tabia ya watanzania wengi kama ambavyo tunavyotumia njia kupambana na mafisadi ndipo nao wanatumia njia zao kuendelea na upigaji" so ungeelewa hicho wala usingecomment hivyo
Kuwa bize for nothing ambacho hakina madhara kwa watz then anaacha kupambana na majiziKwahiyo wewe kilichokuuma ni kuwapiga pini vyama vya upinzani na sio maendeleo aliyoleta ndani ya nchi?
SHida ni kwamba kuna mwamba alituaminisha kuwa wakati wake hatukuwa tunapigwa...!!
Huyo naye ni mwekezaji?Rais Samia akutana na baba wa Rihana huko Marekani