Siku 21 za maombolezo ya kifo cha Rais Magufuli zafika ukingoni

Ndio hivyo si unajua unafiki wa wabongo? Wanaenda na mdundo tu,kama maombolezo na wao wanaenda hivyo hivyo kimaombolezo yakiisha tu wanaweka KAPUNI.
He he he wabongo wana stress mpaka stress zenyewe zinawakoma[emoji16]
 
Kule kwetu msiba ikitokea ng'ombe, mbuzi na kondoo wanachinjwa na watu wanakula na mboga iliyoenda shule. Pia pombe inakuwepo kwa wingi na nyama za kuchoma.
Kumbe kitaifa Ni tofauti.
 
Mtu yoyote anaecha mazuri na mabaya pia hawez sahaulika kamwe wapo watakao mkumbuka kwa mazuri yake na wapo watakao mkumbuka kwa mabaya yake

RIP JPM nitakukumbuka daima
 
wiki izi mbili kila ukienda ATM kuchukua hela unakutana na fedha mpyaaa mpyaa
 
18,19,20,21,22,23,24 - Week 01
25,26,27,28,29,30,31 - Week 02
01,02,03,04,05,06,07 - Week 03
Afadhali zimeisha. Tulikuwa tumeboreka mno. Tulilazimika kuzima TV zetu hasa TBC.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…