Siku 4 za machozi, Jasho, na Damu

Siku 4 za machozi, Jasho, na Damu

Yeah napenda kuwasalimu marafiki zangu wote humu katika hili jukwaa

Nataka kuelezea kidogo kuhusu siku 4 ndefu za kifungo cha humu jukwaani JF baada ya kuenda kinyume na utaratibu

Sikufungwa peke yangu hichi kifungo kilitupana na rafiki yangu NAHUJA sijui kama nae yupo huru mda huu ninaoongea

Ila siku hizo zilikuwa chungu ndefu kuisha nilikuwa natamani mda ufike nijumuike tena na maswahiba zangu .

Naomba kuwasilisha
Naomba mtambue uwepo wangu
ASANTENI.
Aisee poleni sana kwa BAN ilikuwaje mkapigwa BAN mlizozana na mtu nini?
 
Back
Top Bottom