Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Aisee poleni sana kwa BAN ilikuwaje mkapigwa BAN mlizozana na mtu nini?Yeah napenda kuwasalimu marafiki zangu wote humu katika hili jukwaa
Nataka kuelezea kidogo kuhusu siku 4 ndefu za kifungo cha humu jukwaani JF baada ya kuenda kinyume na utaratibu
Sikufungwa peke yangu hichi kifungo kilitupana na rafiki yangu NAHUJA sijui kama nae yupo huru mda huu ninaoongea
Ila siku hizo zilikuwa chungu ndefu kuisha nilikuwa natamani mda ufike nijumuike tena na maswahiba zangu .
Naomba kuwasilisha
Naomba mtambue uwepo wangu
ASANTENI.