Siku 4 za machozi, Jasho, na Damu

Aisee poleni sana kwa BAN ilikuwaje mkapigwa BAN mlizozana na mtu nini?
 
Noma sana unakuja kushtuka tu kuwa tayar umeshalambwa

Dah iliniuma saaana yani.Kila nikitupia pasword hamna kitu.Halafu nikaona watu flani wanapost upupu ndo nazidi kupata hasira.Atleast basi wawe wanatupa warning kabla ya kupiga ban.
 
Dah iliniuma saaana yani.Kila nikitupia pasword hamna kitu.Halafu nikaona watu flani wanapost upupu ndo nazidi kupata hasira.Atleast basi wawe wanatupa warning kabla ya kupiga ban.
Ukiwa ban unakuwa na mzuka kinoma yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…