Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,094
- 37,314
Ishaalah kwa uwezo wa Allah haitatokeaPumba tupu, utasubiri sana kuona maiti mtaani na utabiri wako wa kishetani huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ishaalah kwa uwezo wa Allah haitatokeaPumba tupu, utasubiri sana kuona maiti mtaani na utabiri wako wa kishetani huo.
Hayo mabaya yalitabiriwa ila Afrika ilisimama na tukawa na rekodi ndogo sana ya vifo vya Covid-19.Ishaalah kwa uwezo wa Allah haitatokea
We nae bure kabisaKwani mamlaka ya Hali ya hewa wakitabiri kesho kutakuwa na mvua kubwa inaweza kuua watu kuna kosa ?
Mbona watanzania elimu yetu duni inawafanya mnakuwa Inferior hivyo. Tangu lini mtu kufanya speculation iwe ni kutabiri mabaya.
Mungu hutazama duniani amuone mwenye imani hata mmoja enzi hizo alimuona Magufuli na sisi watu wake basi kwa kuwa yeye asemi uongo akalitimiza neno Lake.Kwa hiyo @santoshi Mungu ni mbaguzi sio, Tanzania ndio inapendwa zaidi
Huko kwa wenzetu walijitahidi tahadhari na iliwabamiza mbayaHayo mabaya yalitabiriwa ila Afrika ilisimama na tukawa na rekodi ndogo sana ya vifo vya Covid-19.
Mbona hujafa mpaka sasa hivi?Unaambiwa koroma inauwa ww unasema unamtegemea Mungu huoni ni kichekesho hicho
Natamani sana kujua imani yakoMungu hutazama duniani amuone mwenye imani hata mmoja enzi hizo alimuona Magufuli na sisi watu wake basi kwa kuwa yeye asemi uongo akalitimiza neno Lake. wazungu wanapasuka kichwa na watu wengine duniani kwanini sisi Tuko salama huyo ndio Mungu sio mbaguzi ila anatazama walomlilia sio wanaokimbilia chanjo na kujifungia Kama yeye hayupo
Kwa hiyo unataka nimtegemee ShetaniUnaambiwa koroma inauwa ww unasema unamtegemea Mungu huoni ni kichekesho hicho
😀😀😀😀kwa kweliMbona hujafa mpaka sasa hivi?
fanya kazi kijana uchawi hautakusaidia kitu
Mpuuzi tu wewe. Wakati wa JPM kuna tahadhari yoyote mlichukua? Mbona watu walikuwa wanaendelea na maisha yao kama kawaida. Kwenye wimbi la kwanza la Covid-19 unataka kusema Tanzania ilikuwa na tahadhari kuliko USA, ITALIA, BRAZIL n.kMagufuli aliwaaribu sana dah!!
Kuna hatari kubwa sana mbele yetu. Hatua za lazima za tahadhari inapaswa zichukuliwe. Suala la kusema tuchukue tahadhari wakati mambo yanafanyika kimazoea yatatuletea vifo vya covid hadi tushangaeTanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.
Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi...
Mpuuzi tu wewe. Wakati wa JPM kuna tahadhari yoyote mlichukua? Mbona watu walikuwa wanaendelea na maisha yao kama kawaida. Kwenye wimbi la kwanza la Covid-19 unataka kusema Tanzania ilikuwa na tahadhari kuliko USA, ITALIA, BRAZIL n.k...