wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Toa uharo wako hapa blalifuuMagufuli aliwaaribu sana dah!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa uharo wako hapa blalifuuMagufuli aliwaaribu sana dah!!
Aliyeyatamka maneno kama haya ya kwako ndiyo akafanyika mbuzi wa kafara korona ikamwondoa akazimika kama mshumaa.Itakua zaidi ya India kijijini kwenu na sio Tanzania! Walikuwepo wengi tu waliotutabiria mabaya lakini tumeuona mkono wa Mungu ukiwa pamoja nasi. Siku 60 zijazo zitakua kama siku 60 zilizopita tu!
Huyu jamaa bhana yaani anafikiri India ni TanzaniaPumba tupu, utasubiri sana kuona maiti mtaani na utabiri wako wa kishetani huo.
Sijajazwa ujinga hata kidogo na mtu yeyote. Nimejisomea kwa upana mkubwa nafahamu mengi. JPM atabaki kwenye historia ya nchi hii kama mtu aliyejengea UJASIRI watu wake kwenye nyakati mgumu kabisa. JPM ulitusaidia sana. JPM kalale salama baba.Pile sana kww kujazwa ujinga na mwendazake
Matatizo yanaanzia kwa rais mwenyewe.anafanya mikutano huku akijua corona IPO tena kwa wingi tuu.anawavalisha watu barakoa na wanakaa karibukaribu.anatumia mic moja huku amevua barakoa.hapo unategemea mwananchi wa kawaida afanye nn?.Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.
Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.
Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.
Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.
Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?
Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
KabisaMatatizo yanaanzia kwa rais mwenyewe.anafanya mikutano huku akijua corona IPO tena kwa wingi tuu.anawavalisha watu barakoa na wanakaa karibukaribu.anatumia mic moja huku amevua barakoa.hapo unategemea mwananchi wa kawaida afanye nn?.
Unahisi nani hafahamu kuwa covid ipo na huyo presenter wako ndio muhuri wa uwepo wa covid au uko na maana gani?
Kwa hiyo kisa Jabir Saleh kapata ndio tufunge mtaa? Wewe hujawahi kuumwa tangu umezaliwa kwanini usituletee taarifa za kuumwa kwako hapa?Huwa mnasema nani kwenu aliyepata ,kwahiyo kwetu aliyepata ni Jabir Saleh.
Heshima tafadhali. Our president knows better.Matatizo yanaanzia kwa rais mwenyewe.anafanya mikutano huku akijua corona IPO tena kwa wingi tuu.anawavalisha watu barakoa na wanakaa karibukaribu.anatumia mic moja huku amevua barakoa.hapo unategemea mwananchi wa kawaida afanye nn?.
Ushindwe na ulegee wewe ni binadamu kama binadamu muachie mungu muweza wa yote kikubwa ni kuendelea kumwomba mungu na kuchukua tahadhali sio kuitisha jamii wee sio mungu.Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.
Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.
Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.
Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.
Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?
Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.
Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.
Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.
Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.
Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?
Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
Nyie ndiyo mnao lipwa na mabeberu kusambaza hofu isiyo na uhalisia ili wao wafanye biashara,ilitushindwa ya mwaka jana ije iwe hii?Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.
Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.
Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.
Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.
Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?
Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka
Kwa hiyo kisa Jabir Saleh kapata ndio tufunge mtaa? Wewe hujawahi kuumwa tangu umezaliwa kwanini usituletee taarifa za kuumwa kwako hapa?
na wewe utakuwa umeshayeyaTanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.
Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi.
Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.
Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.
Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?
Wekeni alama huu uzi mtakuja kunikimbuka