#COVID19 Siku 60 zijazo Tanzania inaweza kuwa zaidi ya India kwenye suala la COVID-19

#COVID19 Siku 60 zijazo Tanzania inaweza kuwa zaidi ya India kwenye suala la COVID-19

Kuna hatari kubwa sana mbele yetu. Hatua za lazima za tahadhari inapaswa zichukuliwe. Suala la kusema tuchukue tahadhari wakati mambo yanafanyika kimazoea yatatuletea vifo vya covid hadi tushangae
Kama unampenda kufa anza kufa wewe
 
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.

Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi...
Hizo siku 60 zijazo nitakukumbusha ili unipe takiwimu corona imeua watu wangapi katika familia yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania nchi ya mzaha mzaha kwenye kila kitu. Watanzania wengi ni watu wasiojali, yani hawajali chochote kiwe hatari au faida.

Watanzania hao hao kwenye kualalamika wanaongoza baada ya kupata madhara tayari ila ni wazito sana kufanya maamuzi..
Hivi unawazaje kuandika mambo kama haya kuwatabiria Watanzania wenzako hata wanadamu wenzako mabaya. Watu kama nyie mnaitwa PSYCHOPATHS au WATU WENYE ROHO MBAYA. Hatufi tuna kinga nzito kutokana na nguvu ya Mwenyezi Mungu aliyotuumba nayo. Tunaamini katika UKUU wa Meenyezi Mungu
 
Hivi unawazaje kuandika mambo kama haya kuwatabiria Watanzania wenzako hata wanadamu wenzako mabaya. Watu kama nyie mnaitwa PSYCHOPATHS au WATU WENYE ROHO MBAYA. Hatufi tuna kinga nzito kutokana na nguvu ya Mwenyezi Mungu aliyotuumba nayo. Tunaamini katika UKUU wa Meenyezi Mungu
Wanaokufa hawaamini huo ukuu?
 
Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?
Maisha yanaenda kasi sana, makundi haya uliyotaja ndio yalikuwa yanamuandama Hayati kuhusu tahadhari pamoja na juhudi alizofanya, lakini leo wako kimya kama hamna tena tatizo la upumuaji!
 
Pamoja na wizara ya afya kutangaza idadi ya waathirika wa covid bado kama vile hakuna kilichotokea, lakini je kutangaza idadi ya wagonjwa ndio itawachochea watu kuchukua tahadhari? Jibu ni HAPANA.

Kwani mwanzoni ikiwezekana vipi? Hapa nampa sifa sana Makonda akiwa RC wa Dar. Tunakumbuka hatua alizotangaza zilisaidia sana.

Kwa sasa raia ana mkutano na taasisi fulani kajaza watu zaidi ya 100 hakuna umbali wa kukaa barakoa sio lazma afu unawaambia "jihadharimi na corona, ipo na tuna wagongwa" nani anakusikiliza? Makanisa yanajaa kama kawaida, misikiti kama dawa, vikao mikutano kwenye usafiri hakuna tahadhari inayochukuliwa mnategea nini baada ya siku 60?
Mwakajana tulifanikiwa kwakuwa kila mtu aliwajibika ipasavyo, lakini ustaarabu ulivurugwa baadaye tulipoambiwa na watu walewale tena viongozi wataalamu wa afya wabobezi "...HAKUNA UGONJWA" leo hii mwananchi kuambiwa na watu walewale kuna ugonjwa wanaona kama wanachezeshwa twist
 
Back
Top Bottom