Du,kuanzia leo siiamin chadema kamwe,,hawa viongoz wake nirahis sana kuuza nchi wakipewa madaraka ukiona chama kina kiongoz ngaz ya ubunge ananunulika kipumbavu namna hii pamoja nakua ameshapewa shangingi namakorombwezo yakutosha,sasa huyo siku akiwa wazir wamadin sindoatatuuza mpaka ss wanachi,,?hawa watu hawafai kabisa
Mpeni mapesa anayoyataka mumtwae keshakuwa bidhaa huyo!Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM
Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
kodi za wananchi zinatumika ndivyo sivyoHizi siasa za kimalaya kamwe hazitajenga viwanda
Sipati picha kama hiki chama kingepewa nchi,halafu kati ya wabunge wanaodai kununuliwa mmoja angekuwa waziri wa ulinzi,mwingnne waziri wa mambo ya ndani,sijui Tanzania ingekuwa wapi kwa mfano.
inavyoonekana kuna vyama haviandai wanachama wao kuwa viongozi,na wanapopata uongozi bado hawbndaliwa kuwa viongozi.
ni hatari sana kwa nchi kuwa na watu wanaonunulika huku vyama vyao vikiwaamini.
kama mnataka nchi basi andaeni kizazi kipya cha viongozi.
kuweni na wanachama chipukizi watakaolelewa ktk misingi na itikadi ya kuamini vyama vyao.
SIASA NI KUJIPANGA,UKIKOSEA MCHEZO UMELIWA.[/QUOT
Shida hapa sio chama but ni simplicity & cheapness ya watanzania kwa sasa!! Prof na PHD wananunulika, in fact every Tanzanian kwa sasa ananunulika kirahisi tu la Tundulis au Mbowe watashindikana. We jamaa ni wa ajabu sana!!!! Unashangaa nini?? Kwani wale wabunge wote wa chama walionunuliwa kwa 10 m kupitisha mswada, mawaziri wa mambo ya ndani na nje hawakuwemo?
Sio wa Chama gani,we Sema wazi tu kuwa ni Lowassa.Kwani waliofanya ufisadi wa kutisha nchi hii na kuingia mikataba ya kifisadi ya rasilimali mbali mbali za nchi ni wa chama gani vile!?
ok sawa vipi na tajari hasanali mdhamini wenu kanunuliwa sh. ngapi?Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM
Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
Kama wananunulika hao siyo viongozi. Ina maana Chadema si chama cha kuaminika tena maana viongozi wake wote wananunulika.Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM
Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
Sio wa Chama gani,we Sema wazi tu kuwa ni Lowassa.
Unafichaficha nini?
Inasikitisha kuona chadema inajivunia kufanya dhambi za kiccm.Kwani waliofanya ufisadi wa kutisha nchi hii na kuingia mikataba ya kifisadi ya rasilimali mbali mbali za nchi ni wa chama gani vile!?
Inasikitisha kuona chadema inajivunia kufanya dhambi za kiccm.
Tuwatofautisheje?
Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM
Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
Leo ni tarehe 8 January 2018, ramli zimegoma?Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM
Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea