Tetesi: Siku 7 Zijazo Mbunge Mwingine wa Babati kutimkia CCM

Tetesi: Siku 7 Zijazo Mbunge Mwingine wa Babati kutimkia CCM

Status
Not open for further replies.
Sijapata hoja yako ni nn?Kwamba ni halali kwa wabunge wa upinzani kujiuza kama nyanya kisa ccm waliuza nchi au hoja ni nn?Sasa kama watu tunaowategemea wawe mbadala wa ccm lkn nao wanakuwa na tabia za ccm kuna umuhim kweli wa kuitoa ccm madarakani?Kwanini tusiendelee kuichagua ccm kwa kutumia methali ya zimwi likujualo halikuli likakumaliza?
maoni yako huenda yakawa sawa lakini baadhi ya watu ni wadhaifu kuliko wanavyonekana na hivyo msemo ya kizungu 'ukishindwa kupambana nao jiunge nao huenda unashika nafasi kumbuka jamii nzima iko kirushwa rushwa tu, wako huku kusaka nafasi na baada ya hapo matumbo huridhishwa kwanza.
 
Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM

Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
Tegeni Camera,
Mtengeneze viflash
Kisha muite press conference
Muanike hadharani
Sio mkiona hamuelewani humo ndani...., mnakimbilia mitandaoni kujihami.
Napata tabu na dhana ya kuhongwa, kwani value ya mbunge sasa ni billioni, je mnataka kutuambia kuwa wanapewa kiasi hicho...
Na kama wanapewa je credibility ya wanachama wenu iko wapi...

Nimegundua leo kuwa tatizo sio tume bali ni umasikini na rushwa baaaas
Kama mtu anayejielewa
Mwenye thaman ya mamia ya mamilioni anahongwa na akahongeka...
Itakuwaje kwa mbumbumbu asiye mbele wala nyuma
Mwenye thamani ya viroba, sigara au bangi ...?
Huyu kwangu ni wa kusukuma kama mlevi.
 
Sipati picha kama hiki chama kingepewa nchi,halafu kati ya wabunge wanaodai kununuliwa mmoja angekuwa waziri wa ulinzi,mwingnne waziri wa mambo ya ndani,sijui Tanzania ingekuwa wapi kwa mfano.
inavyoonekana kuna vyama haviandai wanachama wao kuwa viongozi,na wanapopata uongozi bado hawbndaliwa kuwa viongozi.
ni hatari sana kwa nchi kuwa na watu wanaonunulika huku vyama vyao vikiwaamini.
kama mnataka nchi basi andaeni kizazi kipya cha viongozi.
kuweni na wanachama chipukizi watakaolelewa ktk misingi na itikadi ya kuamini vyama vyao.
SIASA NI KUJIPANGA,UKIKOSEA MCHEZO UMELIWA.
Anaenunua vipi au huyo yuko sawa kabisa kwa mtazamo wako?
 
Sipati picha kama hiki chama kingepewa nchi,halafu kati ya wabunge wanaodai kununuliwa mmoja angekuwa waziri wa ulinzi,mwingnne waziri wa mambo ya ndani,sijui Tanzania ingekuwa wapi kwa mfano.
inavyoonekana kuna vyama haviandai wanachama wao kuwa viongozi,na wanapopata uongozi bado hawbndaliwa kuwa viongozi.
ni hatari sana kwa nchi kuwa na watu wanaonunulika huku vyama vyao vikiwaamini.
kama mnataka nchi basi andaeni kizazi kipya cha viongozi.
kuweni na wanachama chipukizi watakaolelewa ktk misingi na itikadi ya kuamini vyama vyao.
SIASA NI KUJIPANGA,UKIKOSEA MCHEZO UMELIWA.
naungana na wewe ifike wakati CHADEMA waseme wametumia haki yao ya kidemokrasia waache wahame badala ya kulalamika kuwa wananunuliwa hata kama ni kweli malalamiko yanachangia kuonyesha kuwa chama hakikuandaa viongozi wazuri ambao wako tayari kujitoa kwa ajili ya wananchi.
 
ni bora chama kibaki na watu wachache wanaoweza kuwa waaminifu kwa wananchi na hii inatokana na utaratibu mbovu wa kuwapata hawa viongozi mkubali msikubali dhambi ya kupendeleana ndio inayoitafuna chama kikubwa cha upinzani chadema.
hebu kijipange upya na kisimame kama mwanzo kimeyumbushwa na wakuja na matokeo yake yamekuwa ya hovyo sana.
 
Du,kuanzia leo siiamin chadema kamwe,,hawa viongoz wake nirahis sana kuuza nchi wakipewa madaraka ukiona chama kina kiongoz ngaz ya ubunge ananunulika kipumbavu namna hii pamoja nakua ameshapewa shangingi namakorombwezo yakutosha,sasa huyo siku akiwa wazir wamadin sindoatatuuza mpaka ss wanachi,,?hawa watu hawafai kabisa
Unaweza ukakuta hata hawanunuliwi ila wamechoka na yaliyopo huko.
 
80% ya viongozi wa upinzani walitokea sisiemu so wakirudi sio issue wala sio kununuliwa. Ni sasa na mwanamke, akiwa kwako fresh tu ila akikuacha ili kupoza maumivu unaanza kumvumishia malaya. Kikubwa upinzani waandae viongozi wao. How come akitoka ccm mnasema kamanda anapigania demokrasia ila akirudi kwao msaliti.? Malofa wakubwa, amkeni nyie. Ujinga umewaganda kama ........! Mapimbi wakubwa, hv mnajitia ujuha msiokuwa nao kuwa hamjui hawa walikuwa wapi? Pumbavu sana nyinyi.
 
Kwani waliofanya ufisadi wa kutisha nchi hii na kuingia mikataba ya kifisadi ya rasilimali mbali mbali za nchi ni wa chama gani vile!?
Basi kwa akili yako hapo utasema waliokuwa ukawa wote wasafi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa dharaaaaau. Umesahau hata historia ya vyama vya siasa tz na hao viongozi wako. Akili za kuambiwa ...................!
 
Acha kukurupuka na kuropoka pumba. Ukiingia mahali tulizana ili ujue kwa kina yale yanayojiri badala ya kuonyesha ujuha wako hadharani.

Basi kwa akili yako hapo utasema waliokuwa ukawa wote wasafi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa dharaaaaau. Umesahau hata historia ya vyama vya siasa tz na hao viongozi wako. Akili za kuambiwa ...................!
 
Sipati picha kama hiki chama kingepewa nchi,halafu kati ya wabunge wanaodai kununuliwa mmoja angekuwa waziri wa ulinzi,mwingnne waziri wa mambo ya ndani,sijui Tanzania ingekuwa wapi kwa mfano.
inavyoonekana kuna vyama haviandai wanachama wao kuwa viongozi,na wanapopata uongozi bado hawbndaliwa kuwa viongozi.
ni hatari sana kwa nchi kuwa na watu wanaonunulika huku vyama vyao vikiwaamini.
kama mnataka nchi basi andaeni kizazi kipya cha viongozi.
kuweni na wanachama chipukizi watakaolelewa ktk misingi na itikadi ya kuamini vyama vyao.
SIASA NI KUJIPANGA,UKIKOSEA MCHEZO UMELIWA.
Ilikuepo hiyo chadema enzi za kina John Mnyika, Mdee etc ila toka walipoanza kuchukua mamluki toka CCM wakiongozwa na Ngoyai ndo tena....
 
Du,kuanzia leo siiamin chadema kamwe,,hawa viongoz wake nirahis sana kuuza nchi wakipewa madaraka ukiona chama kina kiongoz ngaz ya ubunge ananunulika kipumbavu namna hii pamoja nakua ameshapewa shangingi namakorombwezo yakutosha,sasa huyo siku akiwa wazir wamadin sindoatatuuza mpaka ss wanachi,,?hawa watu hawafai kabisa
Naukiona chama au serekali inahangaika nakununua watu ujuwe sekali hiyo muumba haridhiki nayo na haipotayari kutumikia wananchi pia haijuwi nini wananchi wanataka imekosa dira haijui hatamaendeleo ni nini hivi hawa wapinzani nani angewasikiliza kama serekali ingetimiza wajibu wake angalau nusu ya matarajio?ushauri wangu nikuendelea kuchagua upinzani hao wanaowanunua sio wapiga kura ni wachaguliwa kwa mfano ndugu zangu ukifanya biashara wakati mungine huwa kuna hasara lakini suluhisho siokuacha biashara nikuendelea upowakati utapata faida kama ndugu zangu wamahindi mwaka Jana walipata faida sasa mwaka huu ndio hivyo tena tuendelee kuchagua upinzani tutapata watu safi na pia wanunuzi wa wachaguliwa watachoka
 
duh mnyeti ndani ya mkoa mpya kashamnunua yule mdada duh. maisha haya shida. yaani mbunge mzima unanunulika kama bidhaa...
 
nasikua pale magogoni kuna kitengo maalumu cha kununua viongozi wa upinzani. bajeti hutengwa na serikali. hakika ni aibu kubwa sana kwa kweli....
 
Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM

Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
UWEKEZAJI VIWANDANI...!!!!!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom