Tetesi: Siku 7 Zijazo Mbunge Mwingine wa Babati kutimkia CCM

Tetesi: Siku 7 Zijazo Mbunge Mwingine wa Babati kutimkia CCM

Status
Not open for further replies.
Sipati picha kama hiki chama kingepewa nchi,halafu kati ya wabunge wanaodai kununuliwa mmoja angekuwa waziri wa ulinzi,mwingnne waziri wa mambo ya ndani,sijui Tanzania ingekuwa wapi kwa mfano.
inavyoonekana kuna vyama haviandai wanachama wao kuwa viongozi,na wanapopata uongozi bado hawbndaliwa kuwa viongozi.
ni hatari sana kwa nchi kuwa na watu wanaonunulika huku vyama vyao vikiwaamini.
kama mnataka nchi basi andaeni kizazi kipya cha viongozi.
kuweni na wanachama chipukizi watakaolelewa ktk misingi na itikadi ya kuamini vyama vyao.
SIASA NI KUJIPANGA,UKIKOSEA MCHEZO UMELIWA.
mm sijui nimlaumu mnunuzi au bidhaa....yani wanachama wa chadma.
 
Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM

Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
Hayawani Gekule sio gunia kama hao magunia mliowanunua fisi wewe
Hiyo turn-up ni ndogo, siku saba zote mtu mmoja!
 
Du,kuanzia leo siiamin chadema kamwe,,hawa viongoz wake nirahis sana kuuza nchi wakipewa madaraka ukiona chama kina kiongoz ngaz ya ubunge ananunulika kipumbavu namna hii pamoja nakua ameshapewa shangingi namakorombwezo yakutosha,sasa huyo siku akiwa wazir wamadin sindoatatuuza mpaka ss wanachi,,?hawa watu hawafai kabisa
unawashangaa wabunge chadema kuuza ubunge wakati ccm waliuza migodi yote kwa wageni kwa hasara kubwa kwa nchi,leo Magu anaonekana mkombozi kwa kudai madini yawanufaishe watz wakati ccm ndiyo iliyogawa kirushwa rushwa.
 
Biashara yoyote ina MTEJA ama mnunuzi PIA MUUZAJI ama mwenye bidhaa SASA HAPA ANYENUNUA MIMI NAMJUA niambieni MNUNUZI ni nani ?
 
ni yule dada wa viti maalum aliepewa ubunge wa CHADEMA wakati bado yuko CCM?.....Paulina Gekul sio rahisi kuhama
 
Huu ni ufisadi wa aina yake,lakini kwasababu unafanyika ndani ya kasri ya mfalme hatuna jinsi
 
Sipati picha kama hiki chama kingepewa nchi,halafu kati ya wabunge wanaodai kununuliwa mmoja angekuwa waziri wa ulinzi,mwingnne waziri wa mambo ya ndani,sijui Tanzania ingekuwa wapi kwa mfano.
inavyoonekana kuna vyama haviandai wanachama wao kuwa viongozi,na wanapopata uongozi bado hawbndaliwa kuwa viongozi.
ni hatari sana kwa nchi kuwa na watu wanaonunulika huku vyama vyao vikiwaamini.
kama mnataka nchi basi andaeni kizazi kipya cha viongozi.
kuweni na wanachama chipukizi watakaolelewa ktk misingi na itikadi ya kuamini vyama vyao.
SIASA NI KUJIPANGA,UKIKOSEA MCHEZO UMELIWA.
Na hata wanaokununua hawatakuamini tena. Wanajiua kisiasa. Anyway nina hamu ya kuona UPINZANI NDANI YA CCM. Nausubiri KWA HAMU SANA
 
Kuna waandishi na wachangiaji wengine humu wanashangilia hamahama hii ya viongozi wa kuchaguliwa kwa furaha ya ajabu! Wanasahau jambo moja la maana sana kuwa uchaguzi ni gharama na gharama hizo hazibebwi na mwingine bali walipakodi maskini wa nchi hii. Badala ya kukemea tabia hii ya kipuuzi inayowanyima ndugu zetu maji safi, barabara na dawa mahospitalini tunachekelea na kushangilia as if hazina yetu imeongezewa chochote!
Hawa wanaohama walitakiwa kushtakiwa kwa kuitia nchi hasara kwani naamini hakina bajeti yao.
Tuwazodoe ili waache ulimbukeni wao!
 
Msikurupuke ngojeni yatimie ndio mseme mnalolitaka. Pengine mleta mada anajifurahisha
 
Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM

Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
acha porojo wewe hakuna mtu wa hivyo babati naona unataka attention tu
 
Simlaumu anayenunua bali anayenunuliwa. Chama kina viongozi ambao wananunulika harafu munataka tuwaamini kutulindia rasilimali zetu? hapana.
 
Kuna Taarifa tunaendelea kuzifatilia zinasema Mbunge mwingine wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema Ameshafikia Bei La fungu na Mandalizi ya Mwisho yanaendelea na Ndani ya siku Saba kwanzia Leo atatimkia CCM

Tunaendelea kufatilia Tutawajuza nini Kinaendelea
Hu nao ni uongo ka uongo mwingine ngoja tuone isije ikawa yaaaaaaaaaaaa.
 
Du,kuanzia leo siiamin chadema kamwe,,hawa viongoz wake nirahis sana kuuza nchi wakipewa madaraka ukiona chama kina kiongoz ngaz ya ubunge ananunulika kipumbavu namna hii pamoja nakua ameshapewa shangingi namakorombwezo yakutosha,sasa huyo siku akiwa wazir wamadin sindoatatuuza mpaka ss wanachi,,?hawa watu hawafai kabisa
Mpumbavu atailaumu chadema
Ila mwerevu ataidharau Ccm
Badala ya pesa kutumika kwenye shughuli za maendeleo zinatumika kunufaisha wachache

Huu ni ufisadi Mamboleo
 
huyo atakuwa ni yule mbunge mwene kiti tu...tuendelee kusubiri
 
Du,kuanzia leo siiamin chadema kamwe,,hawa viongoz wake nirahis sana kuuza nchi wakipewa madaraka ukiona chama kina kiongoz ngaz ya ubunge ananunulika kipumbavu namna hii pamoja nakua ameshapewa shangingi namakorombwezo yakutosha,sasa huyo siku akiwa wazir wamadin sindoatatuuza mpaka ss wanachi,,?hawa watu hawafai kabisa
Hebu fikiria kwa makini mkuu..wakulaumiwa hapo ni Cdm au mbunge?..chama hakiwezi kuwa na uwezo wa kuhakiki mioyo ya watu inawaza nni!Lawama kubwa ni kwa mnunuaji ..maana ni sawa na kumrubuni mwanamke mzr wa mwenzio..kweli atakuja kwako lkn unauhakika utadumu naye maana akitokea jamaa mwingine anayekuzidi atamchukua!Kibaya zaidi eti ccm inawateua tena hao malaya kugombea..anyway endeleeni kuvurugana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom