Siku chache baada ya Ripoti ya CAG wananchi nchini India wampiga Risasi Mbunge na kaka yake mtaani

Siku chache baada ya Ripoti ya CAG wananchi nchini India wampiga Risasi Mbunge na kaka yake mtaani

Unawambia nani; mbona hujaanza kuuiga huo mfano?
Magonjwa Mtambuka sio peke yako unae kipenda chama. Hata mie nakipenda. Ila wizi na kuficha maovu sio desturi yetu. Harafu CCM ile ya zamani ilikuwa ni kusema kweli. Fitna ilikuwa mwiko. Ila sasa hivi makodi kibao... mikopo kausha damu ... mawaziri wanajibu fyoko bungeni tukae tusifie tuu. Piga Lisasi mijizi hiyo si sheria imekuwa kipofu!
 
Ndauli.

Basi baada ya ile ripoti ya kuonyeshwa mapesa yamechotwa ovyo.

Basi yule montress akasema mada hiyo itajadiliwa mwezi wa saba huko.

Wananchi huko india wamempiga risasi mbele ya TV mbunge mmoja kwa madai ya kupora mali na tabia za ubabe ubabe.

Tukio hilo lilirushwa mubashara kwenye televisheni.

Watanzania tuacheni molimoli tuamke jamani hii nchi mwe inaboa.
View attachment 2623085

Atiquee mohamed mwanaume mdutu mkomi swela wamempiga lisasi mwizi huyu. Inasadikika wanaume nusu dazani wamempiga kwa lisasi mbwa huyu.

NB. Januari unamatilioni yetu ya umeme haraf umeme unakatika bungeni.
Kiki kikwendelela kuchanya huko?
Bunge halitumii umeme wa TANESCO
 
Ndauli.

Basi baada ya ile ripoti ya kuonyeshwa mapesa yamechotwa ovyo.

Basi yule montress akasema mada hiyo itajadiliwa mwezi wa saba huko.

Wananchi huko india wamempiga risasi mbele ya TV mbunge mmoja kwa madai ya kupora mali na tabia za ubabe ubabe.

Tukio hilo lilirushwa mubashara kwenye televisheni.

Watanzania tuacheni molimoli tuamke jamani hii nchi mwe inaboa.
View attachment 2623085

Atiquee mohamed mwanaume mdutu mkomi swela wamempiga lisasi mwizi huyu. Inasadikika wanaume nusu dazani wamempiga kwa lisasi mbwa huyu.

NB. Januari unamatilioni yetu ya umeme haraf umeme unakatika bungeni.
Kiki kikwendelela kuchanya huko?
Henda hata suala la kukatika umeme ili bunge liahirishwe ni mbinu ya kukwepa mjadala kukolezwa na baadhi ya wabunge.
Hii nchi ngumu sana kuishi.
 
Ndauli.

Basi baada ya ile ripoti ya kuonyeshwa mapesa yamechotwa ovyo.

Basi yule montress akasema mada hiyo itajadiliwa mwezi wa saba huko.

Wananchi huko india wamempiga risasi mbele ya TV mbunge mmoja kwa madai ya kupora mali na tabia za ubabe ubabe.

Tukio hilo lilirushwa mubashara kwenye televisheni.

Watanzania tuacheni molimoli tuamke jamani hii nchi mwe inaboa.
View attachment 2623085

Atiquee mohamed mwanaume mdutu mkomi swela wamempiga lisasi mwizi huyu. Inasadikika wanaume nusu dazani wamempiga kwa lisasi mbwa huyu.

NB. Januari unamatilioni yetu ya umeme haraf umeme unakatika bungeni.
Kiki kikwendelela kuchanya huko?

Yuva de.
 
Siku ikimtokea kiongozi mmoja akatolewa kafala namna hyo nadhani viburi vitapungua
 
Back
Top Bottom