Kabinti ka ludilo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 409
- 468
- Thread starter
-
- #21
Magonjwa Mtambuka sio peke yako unae kipenda chama. Hata mie nakipenda. Ila wizi na kuficha maovu sio desturi yetu. Harafu CCM ile ya zamani ilikuwa ni kusema kweli. Fitna ilikuwa mwiko. Ila sasa hivi makodi kibao... mikopo kausha damu ... mawaziri wanajibu fyoko bungeni tukae tusifie tuu. Piga Lisasi mijizi hiyo si sheria imekuwa kipofu!Unawambia nani; mbona hujaanza kuuiga huo mfano?
Ila wa hehe kwa kuwataja nyuki (Bee) kwenye maongezi yenu hamjambo.Ndi nkafu twambombo.
Kamwene bee makasi
Uwudesi beeIla wa hehe kwa kuwataja nyuki (Bee) kwenye maongezi yenu hamjambo.
Bunge halitumii umeme wa TANESCONdauli.
Basi baada ya ile ripoti ya kuonyeshwa mapesa yamechotwa ovyo.
Basi yule montress akasema mada hiyo itajadiliwa mwezi wa saba huko.
Wananchi huko india wamempiga risasi mbele ya TV mbunge mmoja kwa madai ya kupora mali na tabia za ubabe ubabe.
Tukio hilo lilirushwa mubashara kwenye televisheni.
Watanzania tuacheni molimoli tuamke jamani hii nchi mwe inaboa.
View attachment 2623085
Atiquee mohamed mwanaume mdutu mkomi swela wamempiga lisasi mwizi huyu. Inasadikika wanaume nusu dazani wamempiga kwa lisasi mbwa huyu.
NB. Januari unamatilioni yetu ya umeme haraf umeme unakatika bungeni.
Kiki kikwendelela kuchanya huko?
Toa mfano jombi,nakuaminia mwanangu!Huu ni mfano wa kuigwa.
Kwani Januari ni waziri wa TANESCo au waziri wa nishati? Msaada nikumbushweBunge halitumii umeme wa TANESCO
Fing'ang'a m****siUwudesi bee
Usinijumlishe tafadhali.Magonjwa Mtambuka sio peke yako unae kipenda chama...
Henda hata suala la kukatika umeme ili bunge liahirishwe ni mbinu ya kukwepa mjadala kukolezwa na baadhi ya wabunge.Ndauli.
Basi baada ya ile ripoti ya kuonyeshwa mapesa yamechotwa ovyo.
Basi yule montress akasema mada hiyo itajadiliwa mwezi wa saba huko.
Wananchi huko india wamempiga risasi mbele ya TV mbunge mmoja kwa madai ya kupora mali na tabia za ubabe ubabe.
Tukio hilo lilirushwa mubashara kwenye televisheni.
Watanzania tuacheni molimoli tuamke jamani hii nchi mwe inaboa.
View attachment 2623085
Atiquee mohamed mwanaume mdutu mkomi swela wamempiga lisasi mwizi huyu. Inasadikika wanaume nusu dazani wamempiga kwa lisasi mbwa huyu.
NB. Januari unamatilioni yetu ya umeme haraf umeme unakatika bungeni.
Kiki kikwendelela kuchanya huko?
Wi sakiza mbwa mmadete hahaa nikutafsirie unafukuzia mbwa kwenye matete kwanini usiingie wewe?Toa mfano jombi,nakuaminia mwanangu
Kwanza ulimtamwa kichwani hukooo mi ni bishane na wewe nini. Acheni wizi chama chetu mbona kizuri tuuUsinijumlishe tafadhali.
Ndauli.
Basi baada ya ile ripoti ya kuonyeshwa mapesa yamechotwa ovyo.
Basi yule montress akasema mada hiyo itajadiliwa mwezi wa saba huko.
Wananchi huko india wamempiga risasi mbele ya TV mbunge mmoja kwa madai ya kupora mali na tabia za ubabe ubabe.
Tukio hilo lilirushwa mubashara kwenye televisheni.
Watanzania tuacheni molimoli tuamke jamani hii nchi mwe inaboa.
View attachment 2623085
Atiquee mohamed mwanaume mdutu mkomi swela wamempiga lisasi mwizi huyu. Inasadikika wanaume nusu dazani wamempiga kwa lisasi mbwa huyu.
NB. Januari unamatilioni yetu ya umeme haraf umeme unakatika bungeni.
Kiki kikwendelela kuchanya huko?
Itakuwa Waziri wa TPDC , jamaa kuti kavu alilokalia liko na stay ngumu mno si kwa madongo anayopigwa hayo.Kwani Januari ni waziri wa TANESCo au waziri wa nishati? Msaada nikumbushwe
Nimeshakuambia usinijumuishe; mbona husikii?Kwanza ulimtamwa kichwani hukooo mi ni bishane na wewe nini. Acheni wizi chama chetu mbona kizuri tuu
Harafu huu uzi nimeanzisha mm nawe anzisha wako basiNimeshakuambia usinijumuishe; mbona husikii?
Una hoja usikilizweWaTz utawakuta kwenye mada za ngono tuu ila kwenye kupambana kama hivi utajikuta uko pekee ako
TANESCO ni subset ya NishatiKwani Januari ni waziri wa TANESCo au waziri wa nishati? Msaada nikumbushwe