Siku chache baada ya Ripoti ya CAG wananchi nchini India wampiga Risasi Mbunge na kaka yake mtaani

Sisi Watanzania tunabishana zaidi Simba na Yanga na ndiyo maana hata viongozi wetu wamegundua Uzuzu huo,ili kuongeza ubishi na kusahau mambo ya msingi Kuna goli la Mama kampeni ya Msigwa,vijiwe vyote ni kubishana tu nani amepata hela nyingi,mambo ya afya, Elimu na mengine huwezi kusikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…