Siku Chief Adam Sapi Mkwawa alipojiunga na TANU mwaka wa 1955

Siku Chief Adam Sapi Mkwawa alipojiunga na TANU mwaka wa 1955

Askofu wa kwanza Jimbo Katoliki la Iringao(Kwa maana ya Muafrika) alitokea Kalenga,Ukoo wa Mgulunde ambaye alikuwa moja ya wanandugu wa Chief Mkwawa,Aliitwa Mario Abdalah Mgulunde...huyu ndie Askofu wa kwanza mkatoliki mweusi wa Iringa baada ya Francesco Caligliero(tamka Caliero) ambaye alikuwa Padre mlezi wa jimbo kabla ya kuja Askofu Attilio Betlamino aliyekuwa mtaliano.

Askofu Mario Abdalah Mgulunde alitoka ktk familia ya Kiislamu na alikulia ktk uislam mpaka pale Wamisionary wa shirika la Consolata walioingia Iringa mwaka 1897 walipomchukua na kumpeleka shule za mission na kumbatiza.Wahehe Waislam wanapatikana Kalenga ktk mkoa wa Iringa,japo kiukweli wapo wachache,na wengine wapo eneo la Pawaga Itunundu.Uislam Kalenga uliletwa na Waarabu waliokuwa wanafanya biashara na Mkwawa,na kwa sbb Wazungu walikuwa "waonezi" na wauwaji,Mtwa Mkwavinyika Mkwawa akaamua kujiunga na Muarabu na akafuata dini hiyo na watu wake akawaamuru kufuata dini hiyo.

Wamisionary walikuja baadae sana,wakaja kuomba ardhi kwa Mkwawa,sbb Mkwawa alikuwa hataki wakae pale akawapa mlima wenye mawe sana ambao alijua kwa ukubwa wa mawe yale Wamisionari Wabenedictin toka Ujerumani watakata tamaa na kuondoka.Wajerumani wakapokea eneo na kuanza kucharanga mawe na kuyatupa pembeni,ndio maana eneo hilo Wahehe wakaliita "Tosa-Maganga" maanake "Tupa Mawe".Walijenga majengo juu ya miamba ya mawe,mpaka leo ukienda unayakuta.Hapo sasa ndio Ukristo ukaanza kuenea eneo la Iringa.Hivyo Ukristo Ukatoliki uliukuta Uislam umeshaenezwa eneo la Uhehe
 
Napenda sana watu wanapohoji na kuchangia kwa fact zinazoeleweka,hongera kwenu nyote,ikiwa hivi hakika tanganyika yetu tutaijua vyema bila kujali itikadi zetu.
 
Historia ya Tanganyika naona kuna watu waliamua kuifuta kwa makusudi na kwa faida zao maana hata vita ya maji-maji namna tulivyojifunza shule na uhalisia ni tofauti
 
Askofu wa kwanza Jimbo Katoliki la Iringao(Kwa maana ya Muafrika) alitokea Kalenga,Ukoo wa Mgulunde ambaye alikuwa moja ya wanandugu wa Chief Mkwawa,Aliitwa Mario Abdalah Mgulunde...huyu ndie Askofu wa kwanza mkatoliki mweusi wa Iringa baada ya Francesco Caligliero(tamka Caliero) ambaye alikuwa Padre mlezi wa jimbo kabla ya kuja Askofu Attilio Betlamino aliyekuwa mtaliano.

Askofu Mario Abdalah Mgulunde alitoka ktk familia ya Kiislamu na alikulia ktk uislam mpaka pale Wamisionary wa shirika la Consolata walioingia Iringa mwaka 1897 walipomchukua na kumpeleka shule za mission na kumbatiza.Wahehe Waislam wanapatikana Kalenga ktk mkoa wa Iringa,japo kiukweli wapo wachache,na wengine wapo eneo la Pawaga Itunundu.Uislam Kalenga uliletwa na Waarabu waliokuwa wanafanya biashara na Mkwawa,na kwa sbb Wazungu walikuwa "waonezi" na wauwaji,Mtwa Mkwavinyika Mkwawa akaamua kujiunga na Muarabu na akafuata dini hiyo na watu wake akawaamuru kufuata dini hiyo.

Wamisionary walikuja baadae sana,wakaja kuomba ardhi kwa Mkwawa,sbb Mkwawa alikuwa hataki wakae pale akawapa mlima wenye mawe sana ambao alijua kwa ukubwa wa mawe yale Wamisionari Wabenedictin toka Ujerumani watakata tamaa na kuondoka.Wajerumani wakapokea eneo na kuanza kucharanga mawe na kuyatupa pembeni,ndio maana eneo hilo Wahehe wakaliita "Tosa-Maganga" maanake "Tupa Mawe".Walijenga majengo juu ya miamba ya mawe,mpaka leo ukienda unayakuta.Hapo sasa ndio Ukristo ukaanza kuenea eneo la Iringa.Hivyo Ukristo Ukatoliki uliukuta Uislam umeshaenezwa eneo la Uhehe
Umesimulia vyema sana.... Huko ndiko wanakotokea Akina Abas Kandoro (former RC Mwanza)

Lakini uislamu Iringa japo ulitangulia umefifia sana.
 
Umesimulia vyema sana.... Huko ndiko wanakotokea Akina Abas Kandoro (former RC Mwanza)

Lakini uislamu Iringa japo ulitangulia umefifia sana.
Ni kweli @lusungo,kina Abbas Kandoro wanatokea Eneo la Kalenga kwa maana ya Jimbo la utawala wa Kisiasa..lkn ukoo wa kina Kandoro upo eneo la Mgama/Lungeemba pembezoni mwa njia kuu ya Iringa na Mbeya!!Uislam umefifia sana,hata hapo Kalenga umebaki kwa Wazee ambao wanaenda kuisha,sehemu kubwa ya watu wa Iringa ni Wakristo Wakatoliki...Wamisionari wa Consolata ndio waliotamalaki ktk Iringa na kueneza Ukristo
 
Naskia Chief Mkwawa alikua akishirikiana na waarabu katika biashara ya watumwa" ila hii ilifichwa sana katika historia yake
 
Naskia Chief Mkwawa alikua akishirikiana na waarabu katika biashara ya watumwa" ila hii ilifichwa sana katika historia yake
Na alishirikiana nao si tu kuwauza watumwa,bali hata kuuziana nao pembe za ndovu...Kuna koo huko Iringa ambazo Mkwawa alizitumia kwa kubadilishana na Waarabu na bidhaaa toka Pwaniu
 
Na alishirikiana nao si tu kuwauza watumwa,bali hata kuuziana nao pembe za ndovu...Kuna koo huko Iringa ambazo Mkwawa alizitumia kwa kubadilishana na Waarabu na bidhaaa toka Pwaniu
Sasa nashindwa kuelewa kwann katika historia yake hiv vinafichwa.
 
kujua kiarabu haimaanishi yeye ni muislamu, huenda ndio alikua anatumia kwa mawasiliano,kwani hao ndio watu kwanza kufanya nao biashara na shughuli zingine!!!!!!
Nafikiri unaugojwa wa "UNYANI" Epidome....!
 
image.jpeg


Naskia Chief Mkwawa alikua akishirikiana na waarabu katika biashara ya watumwa" ila hii ilifichwa sana katika historia yake
Mkuu BansenBurner na lusungo hii picha sasa ndio inathibitisha kuwa umisionari huko Iringa ulikuja baadae sana baada ya Uislamu kutamalaki.
Picha hii ni Parokia ya Tosamaganga yenye historia kama nilivyoeleza hapo juu,na nyumba hiyo nyeupe ndio ilikuwa ya mwanzo iliyojengwa kwa ajili ya Mafrateli Wazalendo(yaani weusi,Frateli ni kijana anayelelewa kuja kuwa Padre) na ilijingwa miaka ya mwanzo ya 1900 mpaka sasa ipo.Kushoto kwake ni Kanisa Kuu la Tosamaganga ambalo ndio yalikuwa makao makuu ya Jimbo la Iringa kabla ya kuhamishiwa Kihesa Iringa Mjini.

Huo mnara pembeni ulijengwa mwaka 1997 kwa ajili ya kumbukumbu ya Mapadre Wazungu na Waswahili(Wazalendo) tokea kazi ya umisionari ianze jimboni Iringa.Mpaka sasa Tosamaganga ni kati ya Parokia chache za Jimbo la Iringa zinazoendelea kukaliwa na Wamisionari wa Consolata wa kutoka Italia,parokia nyingine zinaendelea kuongozwa na mapadre waafrika wa Jimbo hilo.Hivyo Mzee Mohamed Said yupo sahihi katika uchambuzi wake,mimi kama mkristo mkatoliki ninakubaliana na uchambuzi wake kuhusu eneo hili.
Namuomba na FaizaFoxy maeneo ya kukubaliana na ukweli awe anakubali kama wenzake
 
View attachment 331564


Mkuu BansenBurner na lusungo hii picha sasa ndio inathibitisha kuwa umisionari huko Iringa ulikuja baadae sana baada ya Uislamu kutamalaki.
Picha hii ni Parokia ya Tosamaganga yenye historia kama nilivyoeleza hapo juu,na nyumba hiyo nyeupe ndio ilikuwa ya mwanzo iliyojengwa kwa ajili ya Mafrateli Wazalendo(yaani weusi,Frateli ni kijana anayelelewa kuja kuwa Padre) na ilijingwa miaka ya mwanzo ya 1900 mpaka sasa ipo.Kushoto kwake ni Kanisa Kuu la Tosamaganga ambalo ndio yalikuwa makao makuu ya Jimbo la Iringa kabla ya kuhamishiwa Kihesa Iringa Mjini.

Huo mnara pembeni ulijengwa mwaka 1997 kwa ajili ya kumbukumbu ya Mapadre Wazungu na Waswahili(Wazalendo) tokea kazi ya umisionari ianze jimboni Iringa.Mpaka sasa Tosamaganga ni kati ya Parokia chache za Jimbo la Iringa zinazoendelea kukaliwa na Wamisionari wa Consolata wa kutoka Italia,parokia nyingine zinaendelea kuongozwa na mapadre waafrika wa Jimbo hilo.Hivyo Mzee Mohamed Said yupo sahihi katika uchambuzi wake,mimi kama mkristo mkatoliki ninakubaliana na uchambuzi wake kuhusu eneo hili.
Namuomba na faiza Foxy maeneo ya kukubaliana na ukweli awe anakubali kama wenzake

Uzuri wa historia huwa haipingwi... Nawashangaa watu wanaohangaika kupingana nayo.... Si Iringa tu Afrika ya mashariki yote Uislamu ndo ilikua dini ya kwanza kukua na kuenea... Hata ustaarabu wa kibinadamu uliletwa na uislamu....

Hoja ni je? Ilikuaje ukristo ukaja kuwa nguvu kuliko uislamu?

Hili Mohamed Said anaweza liweka sawa pia....
 
Uzuri wa historia huwa haipingwi... Nawashangaa watu wanaohangaika kupingana nayo.... Si Iringa tu Afrika ya mashariki yote Uislamu ndo ilikua dini ya kwanza kukua na kuenea... Hata ustaarabu wa kibinadamu uliletwa na uislamu....

Hoja ni je? Ilikuaje ukristo ukaja kuwa nguvu kuliko uislamu?

Hili Mohamed Said anaweza liweka sawa pia....
Lusungo,
Wakoloni ndiyo waliokuja kuupa nguvu Ukristo wakishirikiana na Wamishionari.
 
Anayejiita Yericko Nyerere kuna wakati alijidai anaijuwa sana historia ya akina Mkwawa, akaulizwa maswali yakamshinda akaishia kuahidi kuwa akienda Iringa atakuja na majibu, leo takriban miaka mitatu au minne, hajafika tu huko Iringa?
Uko sahihi Faiza ni kweli Mkwawa alikuwa Muislam na ndivyo sote tuliokulia na kuishi maeneno ya karibu kabisa na Kalenga tunajua hivyo na halina ubishi. Hata sasa wanafamilia wa Mkwawa wengi wao ni waislamu.
 
Hahaaaa.. Tosa ndipo nilipofundshwa kupenda ukweli wa fact.. Hata hivyo inahitaji some sort of madness kuwa fisiem kama sio kujitoa ufahamu
Kabisa!!! CCM ni kichefu chefu!!!
 
Haya tunaungana leo mwaka wa tatu, ulikataa kuwa Mkwawa ni Muislam. Ukabisha, ukasema utaends Iringa kuleta ushahidi. Alama Mohamed Said anaendelea kumwaga historia inayoonesha kuwa Mkwawa ni Muislam, vipi wewe yamekushinda na umeingia "mitini"?

Kijana uliyetamba kuwa utaleta ushahidi si ukiri tu ulikuwa hujui na umejifunza kitu kuhusu Mkwawa kwa kumsoma Alama Mohamed Said.
akiwa muislam au mkristo kwetu sio shida sababu ni sehem ya historia yetu sisi watanganyika....tatizo mnaona dini Fulani ni muhimu kuliko maisha ya watu Fulani kwa ntindo huu tusahau maendeleo
 
Aisee,popote ninapo ninapo msoma Mohammed Said,kuna kitu kinapungua ndani yangu
 
Back
Top Bottom