Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unatukana elimu na akili yangu. Lakini kila ninapokusoma hapa ubaoni huwa sioni kama wewe ni mtu wa upeo ama elimu ya kutisha. Kila unachoandika hapa jamvini for the most part ni kutetea dini yako, ya Waarabu rather, sijawahi kukuhesabu katika wasomi.Wewe akili yako finyu kweli kweli, si kulaumu sana kwani nnauhakika umetokea shule isiyo na elimu na ukajazwa ujinga.
Hujiulizi kwanini id yako umejiita Kwameh? Jina la ki Akari.
Acha kudanganya Alama wako mwenyewe amekiri kuwa alikuwa hajui kama uislam katika ukoo wa Mkwawa umeanzia kwa SapiUnatokwa na povu kwa kuwa umeguswa pazuri?
Nnajuwa, Alama Mohamed Said amewagusa wengi kama ulivyoguswa wewe, kwa kuwa mlikuwa mnaaminishwa ujinga miaka yote, sasa mambo yako wazi hamna hoja zaidi ya kuja na mapovu yasiyo na tija.
Kwi kwi kwi teh teh teh.
Sio kweli! Mkwawa hakujua kuandika, ingawa inawezekana aliweza kuzungumza kiarabu lakini sio kuandika! Hakuwahi kujua kusoma na kuandika!Mkwawa alikuwa anajua kiarabu na alikitumia kama lugha ya mawasiliano na waarabu katika maswala ya kibishara hizo picha ni baaz ya barua alizoziandika chifu mkwawa
Daah afadhali kumbe waliona mbali SanaLusungo,
Wakoloni ndiyo waliokuja kuupa nguvu Ukristo wakishirikiana na Wamishionari.
Janjaweed,NIlipoona Quran tu nikajua mleta mada ni Mohammed Said
What a mdini
Tukipita kwa Isike tukakuta Quran basi kesho tutaikuta humu
Ikija leo kwamba Adam Sapi alibadili dini, basi Mohammed atafuta kila kitu cha chifu
kwikwikwikwikwikwi
Mtwa Mkwawa hakuwahi kuitwa Abdalah,hakuwahi kuukubali Ukristo wala Uislam...Wakati mwingine tusingize sana hisia binafsi ktk mambo yenye uhalisia na ukweli wa waliopo eneo husika.Dini ya Uislam ktk ukoo wa Mkwawa ilianza kwa Sapi Mkwawa baada ya baba yake Mtwa Mkwawa kufariki
Sija fuatilia hii habari inaanzaje , ila naijua familia ya Adam Sapi Mkwawa . Sijui huyo ni mjukuu wa ngapi wa Mkwawa ila ni yule ambaye alikua Speker wa Bunge.
Alikua Muislamu na ana watoto mbaka wajukuu waslamu ninao wajua.Ila sijui huo uislamu wake ulikuaje sababu kubwa ni kwamaba nyumbani kwao ndio kulikua kama club ya maraha kwa vijana , iki wezeshwa na mtoto wake Eddy , kwani ilikua inatokea wazee wote wa Oysterbay waliweza kataza party za vijana ,kuona kama ni uhuni ,lakini Mzee Sapi pekee ndio alikua ana ruhusu party kufanyika nyumbani kwake na yeye akiwa kalala ghorofani ,sikumbuki ilikua sababu ya uzee au ni mke wake ndio alikua hawezi kataza , enzi hizo ma DJ kina Mao Lwanguiza na kuna marehemu Franco Mtui ,Abel Siwale na wengine .
Sasa sijui hao kina Faiza Foxxy huo uislamu ume wasaidiaje .
NIlipoona Quran tu nikajua mleta mada ni Mohammed Said
What a mdini
Tukipita kwa Isike tukakuta Quran basi kesho tutaikuta humu
Ikija leo kwamba Adam Sapi alibadili dini, basi Mohammed atafuta kila kitu cha chifu
kwikwikwikwikwikwi
Siumii chochote,mimi nipo huru dhidi ya dini zote zilizokuja kwa Jahazi na UkoloniUngekuwa unaelewa Kingereza ungesema para ya mwisho kabisa ya post namba moja wala usingebishana.
Vipi, inauma?
naisoma sana na naijua mama... Shida yangu ni bias tu ya huyo kakayoUsiogope Qur'an, Isome hata wewe kuna utayojifunza ndani yake. Ni mafundisho ya wote yale.
Pss. Ujitoharishe tu, usisome ukiwa mwili mchafu.
Usiiogope Qur'an, Isome hata wewe kuna utayojifunza ndani yake. Ni mafundisho ya wote yale.
Pss. Ujitoharishe tu, usisome ukiwa mwili mchafu.
naisoma sana na naijua mama... Shida yangu ni bias tu ya huyo kakayo
Kawa kama kawa.... ncha kali kwa juu, lisione chochote kingine na kuthamini chochote, kumbe kazi kuu ni kutia kivuli tu, mengine yote wanayo wenyewe
Sisi ste messengers, ila messenger akizidi huwa kero kwa messengers wenzake... walijua hilo weye
Sawa dada ntajitahidi... lakini si unajua mdogo wako nilivyo king'ang'aniziWewe kama ana kuudhi si um ignore tu. Wengine wengi anatufurahiaha sana tena sana kwa kuweka mambo bayana.
Sawa dada ntajitahidi... lakini si unajua mdogo wako nilivyo king'ang'anizi