Siku Chief Adam Sapi Mkwawa alipojiunga na TANU mwaka wa 1955

Siku Chief Adam Sapi Mkwawa alipojiunga na TANU mwaka wa 1955

ndo maana nikasema "hili lizee" litakufa kihoro na huo udini wako na hii dhambi itakutafuna wewe na kizazi chako chote mpaka ukamilifu wa dahari!
Mtanganyika wa kweli,
Mbona una hamaki na kutoa jeuri?
Ikiwa mimi unanikiri ni mzee si ndiyo mahali pa kufanya staha?

Kwetu kijana ambae hana heshima kwa wazee anamtukanisha
mama yake.

Nadhani umeelewa kwa nini haikuwa anaetukanishwa ni baba.
Huu ni mjadala wa kawaida na wa kisomi.

Unapambanisha hoja kwa hoja bora zaidi.
Hapa si mahala pa kushindana matusi.
 
Haya tunaungana leo mwaka wa tatu, ulikataa kuwa Mkwawa ni Muislam. Ukabisha, ukasema utaends Iringa kuleta ushahidi. Alama Mohamed Said anaendelea kumwaga historia inayoonesha kuwa Mkwawa ni Muislam, vipi wewe yamekushinda na umeingia "mitini"?

Kijana uliyetamba kuwa utaleta ushahidi si ukiri tu ulikuwa hujui na umejifunza kitu kuhusu Mkwawa kwa kumsoma Alama Mohamed Said.
kwahiyo ulitaka kusema tu kuwa jamaa ni muislam


swissme
 
Mkuu Ngongo kuna kitu hapa kinataka kisiwekwe sawa,Nimemsoma vizuri Mzee wangu Mohamed Said lkn kuna mahali kama anaparuka kupasema:


-Kwanza hapa tujue kuwa Mtwa Mkwawa mwenyewe hakuwa na dini kwa maana ya Muislam au mkristo
Yeye alikuwa mfuasi wa dini ya asili akiamini ktk mizimu na waganga wa kienyeji,baada ya kuwa ameli-
ga jeshi la Mjeruma Mtwa Mkwawa alikimbia na akawa anatafutwa sana na Wajeruma popote alipo.

-Baada ya Wajerumani kumkosa wakaamua kumteka mwanae Mtwa Mkwawa aliykuwa anaitwa Sapi Mkwawa
Wakamchukua na kumpeleka Kilwa,kumbuka Kilwa ndio ilikuwa "Escape area" ya Wajeruman wakati wote
Wa utawala wao.Hata Zelewisky anavyokwenda kupigana na Mkwawa alitokea Kilwa kupitia Usagala

Sapi alipelekwa Kilwa ili kumtumia ujumbe Mkwawa kuwa mtoto wake ametekwa hivyo ajitokeze.Baada ya
Kukaa na Sapi Wajeruman wakampenda kwa aina ya uwezo wake wa kuongoza,wakampeleka Ujerumani na
Baadae wakamfanya kuwa Liwali wa Kilwa,na ili awe Liwali ilibidi aendane na utamaduni wa watu wake,hivyo Sapi akaingia kwenye Uislam na akawa Liwali wa Kilwa.

Kuanzia hapo Sapi na kizazi chake cha kuja chini wakawa Waislam,hivyo hata mwanae Adam Sapi Mkwawa alipozaliwa akawa tu "by default" Muislam.Baada ya hapo wale walio ktk ukoo wa Chief kuanzia Sapi na Adam Sapi wakawa Waislam.Hata baada ya Waingereza kurudisha utawala wa machief,Adam na wasaidizi wakke baadhi walioitwa "Wanzagila" walikuwa waislam

Hivyo sehemu ndogo tu ya Wahehe wa kizazi cha Sapi na mwanae Adam ndio walikuwa Waislam,hata wasaidizi wengine na watu wa karibu na Mkwawa kama kina Mwamgongolwa hawakuwa Waislam na Msikiti Kalenga umekuja kujengwa na Chief Adam Sapi miaka ya 1950's

Muingiliano kati ya Wahehe na Waarabu ilikuwa ni sbb ya biashara,Mtwa Mkwawa alikuwa na "shamba lake la pembe za ndovu" ambazo aliwauzia Waarabu,eneo hilo la "shamba" ndio mbuga ya Ruaha National Park ya sasa(Utakumbuka ndio mbuga yenye tembo wengi kuliko zote)

Walichoinga wahehe kwa Waarabu ni vazi,lkn Muhehe hakutaka liwe kama kanzu,yeye aliita "mgolole" na kichwani alijivika kiremba huku chini akivaa "lubega" nyeupa,hili ndio vazi rasmi la Wahehe mpaka leo

Kumbukumbu za Maandishi ya Kiarabu ya Makumbusho ya Mkwawa,ni yale aliokuwa nayo Sapi wakati akiwa Liwali kule Kilwa,akiwasiliana na wafanyabiashara wa kirabu kwa niaba ya Wajerumani,na Adam ndio aliyejengea kaburi la baba yake Sapi kwa mtindo wa kiislam baada ya kurudi toka Makerere na kukabidhiwa Uchief

Wahehe waliupokea Ukristo Ukatoliki toka kwa Wamisionari,na hasa Wamisionari wa Consolata toka Italia mwaka 1896 eneo la Tosamaganga,baadae Wamisionari hao wakasambaa eneo la Madibira bonde la Ihefu,Rujewa eneo la Usangu,Nyabula,Ilole na Pawaga.Toka mwaka 1896 Vatican ilituma Padre Francesco Caligliero(Mwenye jina la shule ya Cagliero iliyopo Ipogoro Iringa) kueneza Ukristo na kuifanya Iringa kama sehemu ya Metroponia ya Nyanda za Juu za Tanganyika,baadae ilipokomaa ndipo Papa akateua Askofu toka Italy kuja kuwa askofu wa Iringa,huyu Mzungu aliitwa Attilio Betlamino na alifia Tosamaganga na kuzikwa ndani ya kanisa hilo.
Cc barafu UncleBen Ngongo Nyani Ngabu Mimi Mwanakijiji Tangawizi Yericko Nyerere naiman64



gd explanation
 
Mtanganyika wa kweli,
Mbona una hamaki na kutoa jeuri?
Ikiwa mimi unanikiri ni mzee si ndiyo mahali pa kufanya staha?

Kwetu kijana ambae hana heshima kwa wazee anamtukanisha
mama yake.

Nadhani umeelewa kwa nini haikuwa anaetukanishwa ni baba.
Huu ni mjadala wa kawaida na wa kisomi.

Unapambanisha hoja kwa hoja bora zaidi.
Hapa si mahala pa kushindana matusi.

mohamed said

hakuna jeuri my be wewe ndo unamtukanisha mama yako kwasababu hayo sio maadili ya kitanzania
kwanini "jizee"?? hauko kwenye busara na hekima kama mzee atakiwavyo kuwa,umekuwa mtu wa hovyo kabisa sina budi kukuita "jizee"

point iko pale pale,utakufa kihoro na huu udini na hii dhambi itakutafuta wewe na kizazi chako!
 
Waarabu.

Mtu anaeitwa "Rumaliza" hawezi kuwa na "jina halisi" na Kiarabu.

Waarabu na Wazungu wameleta dini zao, majina yao, tamaduni, mavazi, na lugha zao. Tumeyakumbatia kichwa kichwa.

Malcolm X alikuwa anasema ukienda China huwezi kukuta Mchina anaitwa Murphy, au Bunch.

Muafrika ambae hakuelimishwa thamani ya utu wake ndio anasema eti RUMALIZA jina lake halisi ni KHALFANI bin BARWANI.

I mean, kama jina lake halisi ni KHALFANI bin BARWANI amepata wapi jina la RUMALIZA?

Kama sio kumeza mi culture na mi dini ya watu wengine?

Wewe akili yako finyu kweli kweli, si kulaumu sana kwani nnauhakika umetokea shule isiyo na elimu na ukajazwa ujinga.

Hujiulizi kwanini id yako umejiita Kwameh? Jina la ki Akari.
 
mohamed said

hakuna jeuri my be wewe ndo unamtukanisha mama yako kwasababu hayo sio maadili ya kitanzania
kwanini "jizee"?? hauko kwenye busara na hekima kama mzee atakiwavyo kuwa,umekuwa mtu wa hovyo kabisa sina budi kukuita "jizee"

point iko pale pale,utakufa kihoro na huu udini na hii dhambi itakutafuta wewe na kizazi chako!
Mtanganyika wa kweli,
Hili la uzee si tatizo kwa kuwa hiyo ni sifa yangu.
Hakika mimi ni mzee.

Tatizo ni wewe kukosa adabu ndipo nikakuasa.

Wanaokusoma hapa huenda wakadhani mama
yako hakukufunza adabu.
 
mohamed said

hakuna jeuri my be wewe ndo unamtukanisha mama yako kwasababu hayo sio maadili ya kitanzania
kwanini "jizee"?? hauko kwenye busara na hekima kama mzee atakiwavyo kuwa,umekuwa mtu wa hovyo kabisa sina budi kukuita "jizee"

point iko pale pale,utakufa kihoro na huu udini na hii dhambi itakutafuta wewe na kizazi chako!

Wewe itakuwa ni katika wale ambao kila mwanamme anaeingia nyumbani kwenu mama'ko anakwambia mwamkie baba'ko.

Nnauhakika mpaka leo humjui yupi ni wa ukweli.
 
Mtanganyika wa kweli,
Hili la uzee si tatizo kwa kuwa hiyo ni sifa yangu.
Hakika mimi ni mzee.

Tatizo ni wewe kukosa adabu ndipo nikakuasa.

Wanaokusoma hapa huenda wakadhani mama
yako hakukufunza adabu.

unakimbia kwenye mada unaleta maswala ya adabu,still ukweli utabaki pale pale huo udini utakuua kihoro na hiyo dhambi unayoipandikiza itakutafuna wewe na kizazi chako chote!
 
unakimbia kwenye mada unaleta maswala ya adabu,still ukweli utabaki pale pale huo udini utakuua kihoro na hiyo dhambi unayoipandikiza itakutafuna wewe na kizazi chako chote!
Mtanganyika wa kweli,
Mimi siwezi kukukimbia wewe kwenye mada yoyote ile.
Sasa tuingie kwenye udini.

Mwandishi wa kwanza kuandika kuhusu udini Tanzania
alikuwa P van Bergen (1981).

Mwandishi wa pili alikuwa Padri John Sivalon (1992).
Akafuatia Hamza Njozi (2002).

Hawezi mtu yoyote akaeleza tatizo hili na ukubwa wake
mpaka awe amewasoma watafiti hawa.

Je, umewasoma?
 
Mtanganyika wa kweli,
Mimi siwezi kukukimbia wewe kwenye mada yoyote ile.
Sasa tuingie kwenye udini.

Mwandishi wa kwanza kuandika kuhusu udini Tanzania
alikuwa P van Bergen (1981).

Mwandishi wa pili alikuwa Padri John Sivalon (1992).
Akafuatia Hamza Njozi (2002).

Hawezi mtu yoyote akaeleza tatizo hili na ukubwa wake
mpaka awe amewasoma watafiti hawa.

Je, umewasoma?


huo uliowataja juu kabla ya huyo mwalim wak wa litetature mwisho ambaye alikuwa udsm baadae akaj kuwa vc chuo mlichopewa na mkapa hapo moro,wamezingumzia udini lakin so km unavyotak kutuaminisha wewe,wewe chuki ambayo imetengeneza majeraha ndan ya moyo wako lazim itakuua kihoro wewe na kizazi chako!
 
huo uliowataja juu kabla ya huyo mwalim wak wa litetature mwisho ambaye alikuwa udsm baadae akaj kuwa vc chuo mlichopewa na mkapa hapo moro,wamezingumzia udini lakin so km unavyotak kutuaminisha wewe,wewe chuki ambayo imetengeneza majeraha ndan ya moyo wako lazim itakuua kihoro wewe na kizazi chako!
Mtanganyika wa kweli,
Ghadhabu zimekupotozea umakini wa kujadili.
Hujibu nilichokuuliza.

Tulia hasira zipoe kisha rejea tutajadili.

Mwenye vidonda moyoni ni wewe unaetukana
kwa hasira zilizokuzidi.

Mimi nakujibu nikiwa hadhir kabisa.
 
huo uliowataja juu kabla ya huyo mwalim wak wa litetature mwisho ambaye alikuwa udsm baadae akaj kuwa vc chuo mlichopewa na mkapa hapo moro,wamezingumzia udini lakin so km unavyotak kutuaminisha wewe,wewe chuki ambayo imetengeneza majeraha ndan ya moyo wako lazim itakuua kihoro wewe na kizazi chako!

Unatokwa na povu kwa kuwa umeguswa pazuri?

Nnajuwa, Alama Mohamed Said amewagusa wengi kama ulivyoguswa wewe, kwa kuwa mlikuwa mnaaminishwa ujinga miaka yote, sasa mambo yako wazi hamna hoja zaidi ya kuja na mapovu yasiyo na tija.

Kwi kwi kwi teh teh teh.
 
Pitia tena huu uzi utaelewa tu, kuna mahali imewekwa wazi, usingoje kila kitu kufanyiwa.
Mtwa Mkwawa hakuwahi kuitwa Abdalah,hakuwahi kuukubali Ukristo wala Uislam...Wakati mwingine tusingize sana hisia binafsi ktk mambo yenye uhalisia na ukweli wa waliopo eneo husika.Dini ya Uislam ktk ukoo wa Mkwawa ilianza kwa Sapi Mkwawa baada ya baba yake Mtwa Mkwawa kufariki
 
Back
Top Bottom