Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
- Thread starter
- #21
NihatariMimi kwa kweli Ijumaa ni siku moja hata unipe nini siendi Karikoo, si Wahindi, Wapemba wala Wakinga walio na afadhali. Wana makafara ya hajabu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NihatariMimi kwa kweli Ijumaa ni siku moja hata unipe nini siendi Karikoo, si Wahindi, Wapemba wala Wakinga walio na afadhali. Wana makafara ya hajabu sana.
na vipi kiongozi kwa mtu ambaye mwenye nyota ya punda (hamal) ambao kawakib (sayari) yao ni hiyo mirikh na siku yao huwa jumanne ,je na wao siku hii huwa na mkosi kwao?Jumanne, sababu kubwa ya siku hii kuwa mbaya ni kutawaliwa na nyota ya Mirihi ambayo ni moto. Ni siku inayotumika kufanya mambo mabaya hasa ya kishirikina na muda wake m'baya zaidi ni saa moja asubuhi na nane mchana.
walozi hutumia siku hii kutumia watu majini na uchawi kufarakanisha watu, kuwapa watu maradhi, kuwasababishia ajali, ufukara wa maisha nk.
Na bado jumamosi nayo pia hutumika kama siku mbadala kulingana na habari zake.
Yote haya yanabaki kuwa imani ya wenye kuamini kama ilivyo dunia kila mtu na yake.
DuhJumanne hii siku wanasema sio nzuri kusafiri na Alhamisi.
Kabisa kuna watu wanamaisha ya kujitakia hofu.Kila siku ya Bwana ukiliona jua ni njema sana, achaneni na unajimu.Ukiwa mshirikina lažima uamini jumanne ni Siku Ya mikosi.
Ni shidaJumanne ni siku ya ovyo mno niliigundua tangu nipo shule
Hapana, hawa ndiyo siku yao kubwa hivyo ukiwaroga kwa siku hiyo nguvu yao ya utawala inawasaidia.na vipi kiongozi kwa mtu ambaye mwenye nyota ya punda (hamal) ambao kawakib (sayari) yao ni hiyo mirikh na siku yao huwa jumanne ,je na wao siku hii huwa na mkosi kwao?
Ngoja tusubiri majibuSasa kuna wengne tulizaliwa siku ya jumanne. Au ndo mana mikosi haituishi. Kuna kitu mnataka mniaminishe hapo🤔🤔
Pole MkuuNimeanza kuwa na mashaka sanaaa
Mkuu usichezee jina rangu.Nimesiki na nimeona kwa watu, Jumanne.
Tena wenye biashara na wana imani hiyo siku yao ya kupumzika uwa ni Jumanne.
Wewe, lengo nimelijua ila kazana utalipwa ujira wako.Ijumaa ni siku moja mbaya sana. We fika Kariakoo siku ya Ijumaa, utaona wafanyabiashara wengi wanafunga maduka na kutoa sadaka ya damu kwa misukule yao huku wakichoma udi na ubani kabla ya kwenda misikitini kushukuru.
Wewe, lengo nimelijua ila kazana utalipwa ujira wako.
Ametumwa huyoWewe, lengo nimelijua ila kazana utalipwa ujira wako.
Ungesema yangu unakuwa, wengine hatuzijui siku Mbaya Wala nzuri. All day are equal and goodTangu tunakua miaka ile tuliaminishwa siku ya jumanne ni siku ya mikosi na nuksi. Na kweli siku hiyo hatukuruhusiwa kusafiri.
Kwangu binafsi nikipitiaga matukio mabaya hasa ajali karibu zote nimewahi pata siku ya jumanne. Huwa naiangalia hii siku kwa umakini mno.