Siku gani katika juma watu huamini ni siku yenye mikosi au nuksi?

Siku gani katika juma watu huamini ni siku yenye mikosi au nuksi?

Hapo vipi!

Nimeshakutana na watu wenye kuamini baadhi ya siku kwenye juma zina mikosi, hivyo hufunga hata kazi zao.

Je, hizi siku zipo na je kuna ukweli?
Siku ya j4 na j mosi.

Ukumbuke kwamba mungu aliumba dunia kwa siku 6 na ya saba akapumzika.
Na siku zote hizo aliumba viumbe mbalimbali.

Mfano j4 aliumba uchawi na vitu vinavyotisha tisha.
J miso pia aiumba mikosi na matatixo mengine mbali mbali.

Ndy maana ukienda kwa mganga yeyote mzuri kukusafishia nyota yako,,,atakwambiya usije j4 au jmosi..
Njoo siku yeyote ile nikusaidie mambo yako yaende vzr.

Ukitaka kuroga mtu ,basi j4 na jmosi hatoki,,lazima umpate,,

Hizo ndy siku zenyewe za mikosi na uchawi.
 
For some strange reason Jumanne kwangu inakuwaga poa mno hadi nashanga
Kwangu jumatano ndo siku ngumu
 
siku ninayopotezaga pesa ni jumamosi yaani nazisanya week nzima jumamosi nalala kama mbwaa nikiamuka jumapili naaza kuhesabu mabati tu yaani sina hata pesa ya supu afu unakuta jumapili panatuliagaa kama amna watu. aseee.
 
Back
Top Bottom