Siku gani katika juma watu huamini ni siku yenye mikosi au nuksi?

na vipi kiongozi kwa mtu ambaye mwenye nyota ya punda (hamal) ambao kawakib (sayari) yao ni hiyo mirikh na siku yao huwa jumanne ,je na wao siku hii huwa na mkosi kwao?
 
Jumanne ni siku ya ovyo mno niliigundua tangu nipo shule
 
na vipi kiongozi kwa mtu ambaye mwenye nyota ya punda (hamal) ambao kawakib (sayari) yao ni hiyo mirikh na siku yao huwa jumanne ,je na wao siku hii huwa na mkosi kwao?
Hapana, hawa ndiyo siku yao kubwa hivyo ukiwaroga kwa siku hiyo nguvu yao ya utawala inawasaidia.
 
Sasa kuna wengne tulizaliwa siku ya jumanne. Au ndo mana mikosi haituishi. Kuna kitu mnataka mniaminishe hapo🤔🤔
 
Siku zote ni Allah hakuna mbaya ila mipango yako tu basi.
 
Ijumaa ni siku moja mbaya sana. We fika Kariakoo siku ya Ijumaa, utaona wafanyabiashara wengi wanafunga maduka na kutoa sadaka ya damu kwa misukule yao huku wakichoma udi na ubani kabla ya kwenda misikitini kushukuru.
Wewe, lengo nimelijua ila kazana utalipwa ujira wako.
 
Asiyetaka kufuata njia ya M/Mungu basi atafata ya Ibliis 'alayhi la'na!

Na moto unawasubiri!
 
Jumanne aisee

Mabalaa mengi unikuta siku hyo


Na nimezaliwa siku hyo
 
Ungesema yangu unakuwa, wengine hatuzijui siku Mbaya Wala nzuri. All day are equal and good

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…