Siku gani ulichacha hutaisahau?

Nyie mnazungunzia ada za St Mary, Sisi hela ya Kula acheni kukufuru Mungu
Na yenyewe ni ada mkuu halafu ni parefu Bora ingekuwa pesa ndogo unaweza chukua kwa mtu ukarudisha. Ndo hivyo tushajicommit huwezi kumtoa kirahisi
 
Na yenyewe ni ada mkuu halafu ni parefu Bora ingekuwa pesa ndogo unaweza chukua kwa mtu ukarudisha. Ndo hivyo tushajicommit huwezi kumtoa kirahisi
Ndio maana nakwambia huko sio kuchacha, nyinyi mko juu. Hapa tunachacha Hadi hela ya Kula buku 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…