Uchaguzi 2020 Siku hazigandi, mwaka 2020 aliotangaza Rais Magufuli kuwa ndiyo mwaka wa kufanya mikutano ya kisiasa, kwa vyama vya upinzani, ndio huo ushafika

Uchaguzi 2020 Siku hazigandi, mwaka 2020 aliotangaza Rais Magufuli kuwa ndiyo mwaka wa kufanya mikutano ya kisiasa, kwa vyama vya upinzani, ndio huo ushafika

Hawaweziruhusu watazidiwa hoja na risasi hazitoshi
 
CCM ndiyo inayowaajiri na kuwadhibiti polisi, kwahiyo hakuna polisi yeyote mwenye ubavu wa kuzuia mikutano ya CCM.

Yaani "boss" aombe kibali kwa kijakazi? Are you insane?

Polisi ni vijakazi wa dola la CCM. Elewa hilo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua kuwa viongozi wa upinzani nchini wamepitia katika kipindi kigumu sana, chini ya utawala huu wa awamu ya tano, kwani kwa kufanya shughuli zao za halali kabisa za siasa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 3(1) wamegeuziwa kibao na Jeshi letu la Polisi kwa kuwakamata na kuwafungulia mashitaka ya uchochezi viongozi hao wa upinzani nchini
UKUTA ULIKOSA TOFALI MKUU?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM ndiyo inayowaajiri polisi kwahiyo hakuna polisi yeyote mwenye ubavu wa kuzuia mikutano ya CCM.

Yaani "boss" aombe kibali kwa kijakazi? Are you insane?

Polisi ni vijakazi wa dola la CCM. Elewa hilo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Mkuu GODZILLA hebu tuangalie Katiba ya nchi inasemaje?

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 3(1) inasema hivi "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa nchi ya kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi" mwisho wa kunukuu

Sasa ni kwanini CCM wawakee vikwazo vyama vya upinzani kufanya mikutano ya kisiasa wakati wao wanafanya?

Ikiwa Jeshi letu la Polisi litafanya kazi kwa weledi, hakika halitazuia mikutano ya vyama ya kisiasa ya vyama vya upinzani
 
Nakubaliana nawe Mkuu shungurui kuwa Rais alidhani kuwa mwaka 2020 hautafika!

Ndiyo maana nikasema kuwa siku hazigandi na mwaka 2020 ndiyo huo ushawadia, kwa hiyo hao Polisi watafute sababu nyingine za kuzuia mikutano ya kisiasa kwa kuwa mwaka aliosema Rais Magufuli wa kufanya mikutano ya kisiasa na kwa kuwa wanachukulia matamko yake kwenye majukwaa ya kisiasa kuwa sheria, sasa mwaka huo wa 2020 ndiyo huo ushafika

Unakubaliana na nani?
 
CCM ndiyo inayowaajiri na kuwadhibiti polisi, kwahiyo hakuna polisi yeyote mwenye ubavu wa kuzuia mikutano ya CCM.

Yaani "boss" aombe kibali kwa kijakazi? Are you insane?

Polisi ni vijakazi wa dola la CCM. Elewa hilo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi wanaajiriwa na serikali ya CCM ili wawatumikie wananchi wote bila kujali itikadi zao za kisiasa

Kwa namna Jeshi la Polisi "linavyotumiwa" na CCM kutenda kazi zake, ni vigumu kulitenganisha na kitengo cha CCM!
 
Wewe unafahamu kuwa siasa ndiyo kila kitu?

Hivi wewe kada wa Lumumba njinjo unasema niachane na siasa, wakati kodi nalipa?

Ni muhimu kwa mwananchi yeyote ndani ya nchi hii ai-discuss siasa, kwa kuwa ndiyo itakayoweza,kumuhakikishia maisha ya kila siku
A brave man can not fight a lost battle! Hivi unadhani Magufuli atang’oka 2020? Ungekuwa unapambana kwa 2025 ningalikuona wa maana sana. By the way mie siyo Lumumba
 
Lakini Mkuu GODZILLA hebu tuangalie Katiba ya nchi inasemaje?

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 3(1) inasema hivi "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itakuwa nchi ya kidemokrasia na ni ya mfumo wa vyama vingi" mwisho wa kunukuu

Sasa ni kwanini CCM wawakee vikwazo vyama vya upinzani kufanya mikutano ya kisiasa wakati wao wanafanya?

Ikiwa Jeshi letu la Polisi litafanya kazi kwa weledi, hakika halitazuia mikutano ya vyama ya kisiasa ya vyama vya upinzani
Kukanyagwa kwa katiba katika serikali hii sio jambo la kushangaza. Ni utaratibu/ada.

Kama katiba inaizuia dola kujiimarisha, inapuuzwa tu.

He is immune to any legal consequences. Anaweza kuamua hata kuwa dikteta tu (kama bado hajawa) na hakuna mtakalomfanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A brave man can not fight a lost battle! Hivi unadhani Magufuli atang’oka 2020? Ungekuwa unapambana kwa 2025 ningalikuona wa maana sana. By the way mie siyo Lumumba
Kwa nini unadhani "hawezi" kung'oka 2020? Walianguka mabingwa wa siasa kama Kaunda itakuwa huyu asiyeweza hata kujieleza?
Kutolewa 2020 kunategemea mazingira ya uchaguzi na kama wewe unadhani kuwa hatoki kwa sababu utatumika ulaghai na nguvu nawe umekubali huo ndio ujinga! Kwanini atumie njia hizo kisha ionekane ni halali?
Kwa kiongozi mwenye nia kama hiyo anahalalisha mapinduzi kwake kutokua uhaini tena, bali afanyacho ndio uhaini
 
Kukanyagwa kwa katiba katika serikali hii sio jambo la kushangaza. Ni utaratibu/ada.

Kama katiba inaizuia dola kujiimarisha, inapuuzwa tu.

He is immune to any legal consequences. Anaweza kuamua hata kuwa dikteta tu (kama bado hajawa) na hakuna mtakalomfanya.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ingelikuwa hivyo Mkuu GODZILLA basi kusingekuwa na haja, kwa mkuu wa nchi kuapa na kuaglhidi kuitii Katiba ya nchi kabla hajaingia madarakani........

Kwa kuamua kuisigina Katiba ya nchi waziwazi, inaonyesha namna watawala wetu walivyoweza kupata kiburi cha madaraka na kuamua ku-abuse power kwa mategemeo kuwa hatuna cha kuwafanya!
 
Kama ingelikuwa hivyo Mkuu GODZILLA basi kusingekuwa na haja, kwa mkuu wa nchi kuapa na kuaglhidi kuitii Katiba ya nchi kabla hajaingia madarakani........

Kwa kuamua kuisigina Katiba ya nchi waziwazi, inaonyesha namna watawala wetu walivyoweza kupata kiburi cha madaraka na kuamua ku-abuse power kwa mategemeo kuwa hatuna cha kuwafanya!
Naam. Kiburi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Najua kuwa viongozi wa upinzani nchini wamepitia katika kipindi kigumu sana, chini ya utawala huu wa awamu ya tano, kwani kwa kufanya shughuli zao za halali kabisa za siasa kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 3(1) wamegeuziwa kibao na Jeshi letu la Polisi kwa kuwakamata na kuwafungulia mashitaka ya uchochezi viongozi hao wa upinzani nchini
Duuh hamkomi tuuu, me nilidhani mmesusia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom