balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
shekhe keshafungulishwa kapewa kakitu pendwa..😂Mkuu si usubirie ufutulu kwanza😂 mbona ni kama unaandika unasinzia
😂😂😂😂😂😂😂😂shekhe keshafungulishwa kapewa kakitu pendwa..😂
Acha zako mimi siyo mfuasi wa tamaduni za watu wengine.Mkuu si usubirie ufutulu kwanza😂 mbona ni kama unaandika unasinzia
Sasa mbona umesoma?We Ulivyosikia Diamond Hata akiimba Utumbo Watu watasikiliza tu Na wewe Ukaamini Ukiandika Utumbo watu watasoma tu Si ndio?
Kuwa Na Adabu siku nyingine.
Siyo siku zote,zamani mwanamke mzuri alikuwa anagombaniwa na wanaume kibao.Mtu anatoka Dar kwenda Mbeya kumfuata mwanamke.Definition ya uzuri ilikuwa narrow sana sasa hivi imekuwa pana,imepanuliwa ikapanuka.Na unavyopanuwa ndivyo watu wanavyozidi kutamani.Wewe una umeme,mwenzio hana umeme.sio siku hizi ni siku zote
kila mwanamke ana uzuri wake wa kipekee ambao sila kila mwanaume anaweza kuuona
hata sasa hivi mbona wanafanya hivyoSiyo siku zote,zamani mwanamke mzuri alikuwa anagombaniwa na wanaume kibao.Mtu anatoka Dar kwenda Mbeya kumfuata mwanamke.
Siku hizi ni kata mti,panda mti.hata sasa hivi mbona wanafanya hivyo
Ni kweli,nasikia ukikiona kidada cheusi chembambaa,kinakuwa kitamu balaa .Hii nasikia tu lakini.Kuna wale wengine wana uzuri wa internal 😂
JF wanawake wote ni makurumbembe tuu hakuna kitu humuKuna waliozidi asee... Mcheck kama huyu ni mwanajamiiforum mwenzetuView attachment 3259860
Kweli kabisa, wengine uzuri wao umefichwa, hauonekani hadharani.sio siku hizi ni siku zote
kila mwanamke ana uzuri wake wa kipekee ambao sila kila mwanaume anaweza kuuona