Siku hizi kila nikila maharage tumbo linavurugika

Siku hizi kila nikila maharage tumbo linavurugika

Maharage yakolee nazi ulie wali...halafu kachumbali pembeni... Mama Sabby umenitamanisha ghafla
Uyapike tena,sasa nomaa G wangu anakuja soon siwezi kuyapika sitaki kumjambia jamani nampenda sanaa[emoji23]
 
Hiyo kwa mchicha na mnavu umix na nyama halafu upike uweke nazi.
Mimi dagaa na maharage hata ukiniwekea kuku ntakula dagaa na maharage na ugali.
Wewe nakukubali..unajua vitu vizuri kama wew mwenyewe ulivyo[emoji8]
 
Back
Top Bottom