Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
- Thread starter
-
- #81
Mimi huwa nasema nipo kituo cha polisi nimekamatwa kwa kosa la kutupa takataka bahati mbaya nitumie elf 50 nitoe hapa faini nikiwapigia wanaume 10 haraka haraka nina sh ngapi?
Unakua ushapokea mshahara wa mfanyakaziMimi huwa nasema nipo kituo cha polisi nimekamatwa kwa kosa la kutupa takataka bahati mbaya nitumie elf 50 nitoe hapa faini nikiwapigia wanaume 10 haraka haraka nina sh ngapi?
ha hahaaaa aiseee...Kuna kamoja kadenti kachuo kalinambia eti nimekamatwa sijavaa helment nikakatumia 50K ila huku najua hapa napigwa, kwesho yake tukakutana ndani ya kuta nne pale kwenye uwanja wa fundi seremara game lilipigwa hapo hadi ilibidi nikaongezee 50 tena mana nilihisi nimekadhulumu........., kwa lile game niliamini kweli 50k ina thamani kubwa sana..
Kweli kabisaUnakua ushapokea mshahara wa mfanyakazi
Ngumu kuamini, mtu miaka nenda rudi anatoa pesa tuu halambi asali...hawa wenye roho nzuri wapo badoHahahhaha wengine wa kuchuna tu
Hahahhaha wengine wa kuchuna tu
Hahahah unajikuta una mtaji kabisa.....Mimi huwa nasema nipo kituo cha polisi nimekamatwa kwa kosa la kutupa takataka bahati mbaya nitumie elf 50 nitoe hapa faini nikiwapigia wanaume 10 haraka haraka nina sh ngapi?
HahahahaaaNakushauri tu mkuu siku nyingine kama pesa unayo ni bora utume tu kuliko kwenda kituoni mana unaweza kumkuta kweli yuko ndani lakini ni deal imepigwa kati ya askari na demu.......from experience hii kitu naongea..
Kweli kabisaaaHahahah unajikuta una mtaji kabisa.....
Nampigia classmate wng ambae ni pot amalize msala!Ha haa na yeye anamwambia ambaye yupo mbali kidogo sio wewe wa karibu
Km wewe huko kwenu mapot wengi mi washkajiHa haa na yeye anamwambia ambaye yupo mbali kidogo sio wewe wa karibu