Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Pia matangazo, Azam ikifika mechi ya yanga au simba inatangazwa mno hata kama sio mdau wa mpira utaijua tarehe na saa.
Kwenye bar nyingi wana azam tv na sio dstv kwa sababu za kibiashara.
Na Simba na Yanga kuendelea kujitutumua kimataifa ndo kabisaa wanazidi kuifanya ligi ifuatiliwe sana.
Kipindi tunakua miaka ile ilikua nadra kukuta mtu ana uzi wa simba/yanga badala ya timu za ulaya, ila siku hizi jezi za timu za ndani zinavaliwa mno mtaani.
Tupende vya kwetu.
Kwenye bar nyingi wana azam tv na sio dstv kwa sababu za kibiashara.
Na Simba na Yanga kuendelea kujitutumua kimataifa ndo kabisaa wanazidi kuifanya ligi ifuatiliwe sana.
Kipindi tunakua miaka ile ilikua nadra kukuta mtu ana uzi wa simba/yanga badala ya timu za ulaya, ila siku hizi jezi za timu za ndani zinavaliwa mno mtaani.
Tupende vya kwetu.