Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Wamekua kama mkojani wa bongo movie kwa mwezi anatoa movie kama 7 [emoji3][emoji3]Ukiona role actors hawa kwenye movie za siku hizi,usipoteze muda wako kuiangalia[emoji706]
1. Bruce wills
2. Nicolas Cage
3. Steven Seagal
Hawa ni kama wamechanganyikiwa na uzee...Karibia kila wiki wanatoa cheap budget movies.
Denzel nae sijui imekuaje kwenye hii movie ya 'The Little Things' movie mbovu aiseeTatizo la Nicolas Cage hachagui movie, wakimpa hela nzuri tu anakubali script yoyote.
Si selective kama Denzel Washington.
Hapa tumuweke na Scott Adkins na yule shosti ake Jai White..yani ni huzuni[emoji22]Kwenye hiyo list ya wanaofanya hivyo ongezea na
Bruce wills na
Neil Macdonough- damien darhk
Hahaa!Hapa tumuweke na Scott Adkins na yule shosti ake Jai White..yani ni huzuni[emoji22]
Hizi movie itakuwa zinashutiwa within 2 or 3 days mzigo tayari
Hapa tumuweke na Scott Adkins na yule shosti ake Jai White..yani ni huzuni[emoji22]
Hizi movie itakuwa zinashutiwa within 2 or 3 days mzigo tayari
Mmmmmmmmmmh!Kabisa yaani Matrix ya mwaka huu ilibid iwe kama ya 2030 hao wakatengeneza kitu simple. Keanu kasema hata fight scene hawaku choreograph kwa mda mrefu sana eti
Hapa na ndio wasi wasi unanijia kwa Avatar 2
hata ATTRITION mkuu?Sijawahi kukielewaga hiki kibabu Steven seagal [emoji2]
Didn't boil my bloodNilifikiri peke yangu ndiye nimeona "The Matrix Resurrected" imeboa.
I was like "Where Fishburne at?"
Ila big budget movie makaratee mengi kama kawa.
What do you all think about "No Time To Die"?
Vibabu vimechoka [emoji23]Ukiona role actors hawa kwenye movie za siku hizi,usipoteze muda wako kuiangalia[emoji706]
1. Bruce wills
2. Nicolas Cage
3. Steven Seagal
Hawa ni kama wamechanganyikiwa na uzee...Karibia kila wiki wanatoa cheap budget movies.
100% japo namba 2 sijaiangalia, nitaitafuta.labda muvi pekee kwa mwaka huu nilizocheki na kuzilewa ni:
1.Nobody
2.Ice road
3.No time to die
Jay white is a joke hasa akiwa kwenye action bora acheze kule kwa Tyler Perry.Hapa tumuweke na Scott Adkins na yule shosti ake Jai White..yani ni huzuni[emoji22]
Hizi movie itakuwa zinashutiwa within 2 or 3 days mzigo tayari
100% japo namba 2 sijaiangalia, nitaitafuta.
Hollywood kuna shida mahali, story zimekuwa nyepesi mno and boring!
Huyu Bruce Wills sijui anashida gani saiz anaotoa muvi mbovu sana,na hapumki sijui ndo anawasupport undergroundUkiona role actors hawa kwenye movie za siku hizi,usipoteze muda wako kuiangalia[emoji706]
1. Bruce wills
2. Nicolas Cage
3. Steven Seagal
Hawa ni kama wamechanganyikiwa na uzee...Karibia kila wiki wanatoa cheap budget movies.
Venom 2 ni kali japo ina comedy,Resident evil mm sjaona kama inashida japo story imekuwa ya mdada mwingine japo Kisa ni kile kile cha umbrella coorperationHili suala linazid kukua kila siku movies mbaya zinaongezeka kwa kasi kubwa sana, Movie nyingi siku hizi zina agenda za ajabu hadi unashangaa hivi waliwaza nini kutengeneza huu upuuzi, hapo chini nimekuwekea list ya baadhi ya movies ambazo nimeziona ziko hovyo mwaka huu 2021.. unaweza kuongezea na yako.
Hollywood imeishiwa ideas mpya inaamua kutengeneza remakes ambazo zinaharibu heshima kwa original movies, mtazamo wangu mpaka sasa muhimili wa Hollywood unayumba na uko unatetewa na watu wachache ila nao wakitikisika tu.... basi hamna kitakachosalia na tutabakiwa na movies ambazo sio decent bali ni matatizo tu. Hii inaenda mpaka kwenye Tv- series kwanza huko ndio balaa
List ya Movies ambazo ni disappointing ndani ya huu mwaka 2021
1. Snake Eyes
2. Venom 2
3. Eternals
4. The Matrix 4
5. Resident evil 2021
6. Coming to America 2
7. Suicide Squad 2021
8. Thunder Force
9. Home sweet Home Alone
10. Army of the Dead
11. .......etc
Na kibaya zaidi hapo hizo nyingi ni muendelezo wa Movie za mwanzo ambazo zilikuwa classic
Coming 2 america ni kali sana ww jamaaHili suala linazid kukua kila siku movies mbaya zinaongezeka kwa kasi kubwa sana, Movie nyingi siku hizi zina agenda za ajabu hadi unashangaa hivi waliwaza nini kutengeneza huu upuuzi, hapo chini nimekuwekea list ya baadhi ya movies ambazo nimeziona ziko hovyo mwaka huu 2021.. unaweza kuongezea na yako.
Hollywood imeishiwa ideas mpya inaamua kutengeneza remakes ambazo zinaharibu heshima kwa original movies, mtazamo wangu mpaka sasa muhimili wa Hollywood unayumba na uko unatetewa na watu wachache ila nao wakitikisika tu.... basi hamna kitakachosalia na tutabakiwa na movies ambazo sio decent bali ni matatizo tu. Hii inaenda mpaka kwenye Tv- series kwanza huko ndio balaa
List ya Movies ambazo ni disappointing ndani ya huu mwaka 2021
1. Snake Eyes
2. Venom 2
3. Eternals
4. The Matrix 4
5. Resident evil 2021
6. Coming to America 2
7. Suicide Squad 2021
8. Thunder Force
9. Home sweet Home Alone
10. Army of the Dead
11. .......etc
Na kibaya zaidi hapo hizo nyingi ni muendelezo wa Movie za mwanzo ambazo zilikuwa classic
Matrix ressurection imekuwa ya kawaida Editing sio kali sana lakini Haina tabuHili suala linazid kukua kila siku movies mbaya zinaongezeka kwa kasi kubwa sana, Movie nyingi siku hizi zina agenda za ajabu hadi unashangaa hivi waliwaza nini kutengeneza huu upuuzi, hapo chini nimekuwekea list ya baadhi ya movies ambazo nimeziona ziko hovyo mwaka huu 2021.. unaweza kuongezea na yako.
Hollywood imeishiwa ideas mpya inaamua kutengeneza remakes ambazo zinaharibu heshima kwa original movies, mtazamo wangu mpaka sasa muhimili wa Hollywood unayumba na uko unatetewa na watu wachache ila nao wakitikisika tu.... basi hamna kitakachosalia na tutabakiwa na movies ambazo sio decent bali ni matatizo tu. Hii inaenda mpaka kwenye Tv- series kwanza huko ndio balaa
List ya Movies ambazo ni disappointing ndani ya huu mwaka 2021
1. Snake Eyes
2. Venom 2
3. Eternals
4. The Matrix 4
5. Resident evil 2021
6. Coming to America 2
7. Suicide Squad 2021
8. Thunder Force
9. Home sweet Home Alone
10. Army of the Dead
11. .......etc
Na kibaya zaidi hapo hizo nyingi ni muendelezo wa Movie za mwanzo ambazo zilikuwa classic
Yes sema wamezingua alikufa007 hakoseagi bhana hicho kitu kimetulia