Siku hizi ni kawaida “kuongea mwenyewe” .

Siku hizi ni kawaida “kuongea mwenyewe” .

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Sio tu maisha yamekuwa magumu bali pia technolojia imewezesha watu kuonekana kama vile wanaongea wenyewe.

Ukiwa unacheka mwenyewe mbele ya screen ya smartphone yako hakuna atakayekushangaa!

Mtu mmoja aliniona “naongea mwenyewe “ huku nafanya gestures zote baadaye akaniuliza vp bwana imekuwaje sku zi una changamoto gani, nilikuona ukiongea mwenyewe siku flani.

Ambacho hakujua ni kwamba nilikuwa na blue tooth earphones maskioni nikiteta maswala muhimu na watu! Lakini gestures za nini wakati unateta na mtu aliye kilometer 500 mbali?! Acha hizo utajaonekana chizi mkuu!
 
Sio tu maisha yamekuwa magumu bali pia technolojia imewezesha watu kuonekana kama vile wanaongea wenyewe.

Ukiwa unacheka mwenyewe mbele ya screen ya smartphone yako hakuna atakayekushangaa!

Mtu mmoja aliniona “naongea mwenyewe “ huku nafanya gestures zote baadaye akaniuliza vp bwana imekuwaje sku zi una changamoto gani, nilikuona ukiongea mwenyewe siku flani.

Abacho hakujua ni kwamba nilikuwa na blue tooth earphones maskioni nikiteta maswala muhimu na watu! Lakini gestures za nini wakati unateta na mtu aliye kilometer 500 mbali?! Acha hizo utajaonekana chizi.

Kuongea kifaransa bila gesture haiwezekani
 
_20230908_140353.JPG
 
Kuna mwamba nlikuwa namdai hela ndefu siku hyo gafla nikapokea notification kuna mtee umewekwa bank account yangu nikaanza kucheka na kuongea mwenyewe 😁😁
 
Back
Top Bottom