Sio tu maisha yamekuwa magumu bali pia technolojia imewezesha watu kuonekana kama vile wanaongea wenyewe.
Ukiwa unacheka mwenyewe mbele ya screen ya smartphone yako hakuna atakayekushangaa!
Mtu mmoja aliniona “naongea mwenyewe “ huku nafanya gestures zote baadaye akaniuliza vp bwana imekuwaje sku zi una changamoto gani, nilikuona ukiongea mwenyewe siku flani.
Abacho hakujua ni kwamba nilikuwa na blue tooth earphones maskioni nikiteta maswala muhimu na watu! Lakini gestures za nini wakati unateta na mtu aliye kilometer 500 mbali?! Acha hizo utajaonekana chizi.
sina wa kuongea nae sasa
wenzako wanawapata wapi😃😃sina wa kuongea nae sasa
nina sonona na upwekewenzako wanawapata wapi😃😃
Mbona hujawahi kuniambia 😃😃😃nina sonona na upweke
Umeachwa tangu lini?sina wa kuongea nae sasa
A u mwchlw? Is it?Kuna mwamba nlikuwa namdai hela ndefu siku hyo gafla nikapokea notification kuna mtee umewekwa bank account yangu nikaanza kucheka na kuongea mwenyewe 😁😁
sasa nikikuambia utanisaidiaje zaidi ya kunichekaMbona hujawahi kuniambia 😃😃😃
nitaachwaje wakati sitakwiUmeachwa tangu lini?
Tatizo unatutaka siye mama zako🥴nitaachwaje wakati sitakwi
Kwahiyo umeona mimi sina msaada🧐🧐.basi sawa😃sasa nikikuambia utanisaidiaje zaidi ya kunicheka
haya nisaidie basi😅Kwahiyo umeona mimi sina msaada🧐🧐.basi sawa😃
Apana Aisee! Ova mayi dedi bodiA u mwchlw? Is it?