Siku hizi Nyimbo za Bongo Fleva Fupi Kinoma

Siku hizi Nyimbo za Bongo Fleva Fupi Kinoma

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Sijui ni mimi tu au, ila naona kama nyimbo nyingi za Bongo Fleva ziku hizi fupi sana. Ni nadra kuona wimbo umezidi dakika 4.

Nyingi zinaishia dakika 3 na nusu na nyingine hadi dakika 2 na sekunde kadhaa. Hapo kuanzia biti la kuanza hadi mwisho kabisa.

Nakumbuka zamani kidogo wimbo kua na dakika 4 kwenda juu ni kawaida. Kukuta verse 3 zilizoshiba ni kawaida kabisa.

Naweka sample ya nyimbo zinazotrend YouTube na urefu wake.

PS: Sijaiweka ya Konde Boy Altitude yenyewe naona imevuka dakika 4.

Tatizo ni Wasanii au Mashabiki tunataka hizi nyimbo fupi?

IMG_20210515_180617.jpg



IMG_20210515_180647.jpg


IMG_20210515_180718.jpg
IMG_20210515_180758.jpg
IMG_20210515_180817.jpg
 
Ni kweli, naona Wanabania sauti zao, na kutaka vifaa tunavyozisikilizia zifanye kazi ya ziada ya kurudiatudia ili tuifaidi.
Unakuta sauti nzuri, maneno mazuri, ila kabla hata hujavuta hisia na kuufurahia, kuko kimya, umeishamalizika!
 
Back
Top Bottom