Kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele swala la mahari linaonekana kuwa la kizamani. Sijui kama ndio kustaarabika au ni kuachana na mila na desturi zetu.
Kwa upande mwingine hii ni fursa kwa vijana wa kiume waliokuwa wakiogopa mambo ya mahari kwanza. Siku hizi mambo mbwelele.
Siku za nyuma ili uoe lazima mwanaume uwe umejenga nyumba kwanza. Lakini siku siku hizi geto la chumba kimoja tu jiko unabeba. Kwanza utaanza kuona manzi kila anapokutembelea anaacha kitu kimoja kimoja mara kandambili, mkufu siku zingine brauzi.
Vijana msiogope. kuoa kumerahisishwa.
Mimi nawashtua tu.
asubuhi njema.
Kwa upande mwingine hii ni fursa kwa vijana wa kiume waliokuwa wakiogopa mambo ya mahari kwanza. Siku hizi mambo mbwelele.
Siku za nyuma ili uoe lazima mwanaume uwe umejenga nyumba kwanza. Lakini siku siku hizi geto la chumba kimoja tu jiko unabeba. Kwanza utaanza kuona manzi kila anapokutembelea anaacha kitu kimoja kimoja mara kandambili, mkufu siku zingine brauzi.
Vijana msiogope. kuoa kumerahisishwa.
Mimi nawashtua tu.
asubuhi njema.