Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Watu wanatakiwa waanze kufikiria.
Utamu wa madakika au afya yako , kipi cha muhimu. ?

Unaweza kupata utamu bila kudhuru afya yako.
Utamu ni ndoani kwa watu wawili ambao wameamua kuwa life partner... Ila mtindo wa maisha katika nyakati hizi wengi wanaumia na mtandao ni mpana sana wa magonjwa ya ngono.. Hizi condom sio salama kwa usalama wa afya. Swala la watu wawe na akili timamu tu, ya kuhoji mala mbili mbili kabla ya kutenda
 
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.

Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.

Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.

Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..

Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.

Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.
Sipat picha waanandoa ambao kuloeka ni lazima.
 
Utamu ni ndoani kwa watu wawili ambao wameamua kuwa life partner... Ila mtindo wa maisha katika nyakati hizi wengi wanaumia na mtandao ni mpana sana wa magonjwa ya ngono.. Hizi condom sio salama kwa usalama wa afya. Swala la watu wawe na akili timamu tu, ya kuhoji mala mbili mbili kabla ya kutenda
Si lazima kuolewa au kuoa.
Unaweza ukapata mtu ambae mnaelewana na mnaendana vizuri, "you build a good rapport with that person.
 
Wanawake wengi unawaona ni wazuri na warembo kwa nje tu ila ndani hizo mbususu zimeoza.!
Sasa kwa sisi wadau wa radha kamili(dry) lazima uwe tayari kuugua gono, kichocho, UTI nk.
 
Miaka km mitano hiv nyuma tangu hapo hta niwe na homa vip sijawahi pima nikakutwa na UTI
Mara ya mwisho juz tu nilikuwa naumwasana tumbo nikhis huenda yenyew lkn hamna
Chunguza sana dispensary.. katika dispensary 100.. ni 5 tu ndio hutoa majib sahih kwenye vipimo.. weng ni chupli chupli tu wanadanganya majib. Wanakukadiria tu unapowapa diagnosis..

Ukitaka majib yakwel nenda hospital kubwa
 
Wadada wanakagua tu comment za wanaume,kimya kimya

wawajue wale chovya chovya ni akina nani, mimi hata simpingi

mtoa mada,naunga hoja mkono maana hawa shenzi wamenifanya

nikachomwe sindano ya TAKO tena ni 25k sindano 1 imeniuma hiyooooo

yani naiwazie ile hela halafu tako langu kanichungulia yule mama aseee

mimi nimechunguliwa mimi kisa sindano kwa uchafu wa jitu? aiseeee inauma

Mkuu FUNGUA thread ingine koleza wino ili waelewe mi nakuja ku comment
 
Chunguza sana dispensary.. katika dispensary 100.. ni 5 tu ndio hutoa majib sahih kwenye vipimo.. weng ni chupli chupli tu wanadanganya majib. Wanakukadiria tu unapowapa diagnosis..

Ukitaka majib yakwel nenda hospital kubwa
Kwaiyo kaka nitakuwa na UTI
 
Chunguza sana dispensary.. katika dispensary 100.. ni 5 tu ndio hutoa majib sahih kwenye vipimo.. weng ni chupli chupli tu wanadanganya majib. Wanakukadiria tu unapowapa diagnosis..

Ukitaka majib yakwel nenda hospital kubwa
Kuna uchunguzi ulifanywa na gazeti la mwananchi,walichota maji bombani(wakadanganya Ni mkojo) wakapeleka kwny hizi dispensary kwa ajili ya kupima UTI, dispensary 4 walikopeleka hio sample waliambiwa mgonjwa una UTI Kali anza matibabu Mara 1.Kwny hosp. Kubwa ya serikali ndio walisema hamna UTI.

Prof Pale Muhimbili alipohojiwa khs uwezekano wa Maji kupimwa na kukutwa na vijidudu vya UTI,akasema hio Ni Impossible.
 
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.

Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.

Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.

Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..

Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.

Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.

Unatakiwa kumshukuru shetani kwa uzinzi siyo Mungu! Mungu huwa hasimamii uzinzi!
 
Kuna uchunguzi ulifanywa na gazeti la mwananchi,walichota maji bombani(wakadanganya Ni mkojo) wakapeleka kwny hizi dispensary kwa ajili ya kupima UTI, dispensary 4 walikopeleka hio sample waliambiwa mgonjwa una UTI Kali anza matibabu Mara 1.Kwny hosp. Kubwa ya serikali ndio walisema hamna UTI.

Prof Pale Muhimbili alipohojiwa khs uwezekano wa Maji kupimwa na kukutwa na vijidudu vya UTI,akasema hio Ni Impossible.
Wale dispensary wanataka hela hata kama huna ugonjwa watakubambikia ili wakipige hela hilo ndo tatizo la private hospital wao wanaangalia hela kuliko afya ya mtu.
 
Back
Top Bottom