Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Pole sana mkuu. Sisi wanawake siku hizi hatujatulia kabisa. Mtu haridhiki na mmoja. Tamaa za maisha mazuri ilihali huna uwezo.Wadada wanakagua tu comment za wanaume,kimya kimya
wawajue wale chovya chovya ni akina nani, mimi hata simpingi
mtoa mada,naunga hoja mkono maana hawa shenzi wamenifanya
nikachomwe sindano ya TAKO tena ni 25k sindano 1 imeniuma hiyooooo
yani naiwazie ile hela halafu tako langu kanichungulia yule mama aseee
mimi nimechunguliwa mimi kisa sindano kwa uchafu wa jitu? aiseeee inauma
Mkuu FUNGUA thread ingine koleza wino ili waelewe mi nakuja ku comment