Neuro
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 1,551
- 1,721
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah! Mungu utunusuru.Kwa hiyo kama ni TIGO tu pekee hakuna UTI, si ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah! Mungu utunusuru.Kwa hiyo kama ni TIGO tu pekee hakuna UTI, si ndio?
Hauko sawaYapi hayo chief??
😂Usijisahaulishe ulivonifokea kwenye comment 😂😂😂😂 mwanaume hachambi tunaongeaga ukweli. Halafu mbona mimi sijawahi kukufanyia hivyo dada yangu.
Kwamwanaume ni ngumu ila sio kwamba haiwezekani. Hii ni kwasababu maumbile ya mwanaume nitofauti na mwanamke. Hivyo tatizo kidogo tu la njia ya mkojo litamfanya aumie au apate shida kubwa sana kwamuda mfupi tofauti na mwanamke. Mwanamke kupata hayo magonjwa kirahisi na hata kuwanayo sugu ni kwasababu njia yao ya mkojo ni fupi kulinganisha na mwanaume hivyo ugonjwa uingia ndani kuaffect kizazi au kibofu hivyo anaweza kukaa muda mrefu mpaka hayo maeneo yaanze kuonyesha dalili au maumivu.Nijuavyo Me wanaongoza kwa Uti suguuu
Pia nasikia wanawake tunachelewa kuona dalili sabbu pia njia ya mkojo na kuingiliana ni tofautii hivo unaweza kupta UTI na gono na ukachelewa kujua coz kilasehemu huathirika kivyakeKwamwanaume ni ngumu ila sio kwamba haiwezekani. Hii ni kwasababu maumbile ya mwanaume nitofauti na mwanamke. Hivyo tatizo kidogo tu la njia ya mkojo litamfanya aumie au apate shida kubwa sana kwamuda mfupi tofauti na mwanamke. Mwanamke kupata hayo magonjwa kirahisi na hata kuwanayo sugu ni kwasababu njia yao ya mkojo ni fupi kulinganisha na mwanaume hivyo ugonjwa uingia ndani kuaffect kizazi au kibofu hivyo anaweza kukaa muda mrefu mpaka hayo maeneo yaanze kuonyesha dalili au maumivu.
Kaswende hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wadada wanakagua tu comment za wanaume,kimya kimya
wawajue wale chovya chovya ni akina nani, mimi hata simpingi
mtoa mada,naunga hoja mkono maana hawa shenzi wamenifanya
nikachomwe sindano ya TAKO tena ni 25k sindano 1 imeniuma hiyooooo
yani naiwazie ile hela halafu tako langu kanichungulia yule mama aseee
mimi nimechunguliwa mimi kisa sindano kwa uchafu wa jitu? aiseeee inauma
Mkuu FUNGUA thread ingine koleza wino ili waelewe mi nakuja ku comment
Hiyo pia kitaalamu pia ni kweli, it's a known fact.Pia nasikia wanawake tunachelewa kuona dalili sabbu pia njia ya mkojo na kuingiliana ni tofautii hivo unaweza kupta UTI na gono na ukachelewa kujua coz kilasehemu huathirika kivyake
Nilikufokea au tulikuwa tunajadili mada Sophy? 😂😂😂😂Usijisahaulishe ulivonifokea kwenye comment 😂
Ulinifokea bhana 😂Nilikufokea au tulikuwa tunajadili mada Sophy? 😂😂😂
😂😂😂 hapana dada yangu, siwezi kumfokea mtu mzima. Mimi kama nani kwanza😂😂, ila ukweli lazima usemwe.Ulinifokea bhana 😂
Uchezee miti mwanzo mwisho mkuu.Unioe Ili unifanye nn
Aya bhna😂😂😂 hapana dada yangu, siwezi kumfokea mtu mzima. Mimi kama nani kwanza😂😂, ila ukweli lazima usemwe.
Achana na michepuko endelea kukaa na mkeo kwa unmindful mkubwaWanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.
Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.
Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.
Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..
Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.
Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.
Haya dada Sophy!Aya bhna
Kupanga ni kuchangia, yote maisha kama umeyaridhia! Muda wa kumfukyzia mwanamke unao, wa kuhakikisha anapata matibabu huna, unaishi kwa kubahatisha.Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.
Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.
Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.
Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..
Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.
Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.