Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Siku hizi ukitembea na mwanamke zikapita siku mbili mwanaume hujaona chochote kwenye uume unamshukuru Mungu

Nijuavyo Me wanaongoza kwa Uti suguuu
Kwamwanaume ni ngumu ila sio kwamba haiwezekani. Hii ni kwasababu maumbile ya mwanaume nitofauti na mwanamke. Hivyo tatizo kidogo tu la njia ya mkojo litamfanya aumie au apate shida kubwa sana kwamuda mfupi tofauti na mwanamke. Mwanamke kupata hayo magonjwa kirahisi na hata kuwanayo sugu ni kwasababu njia yao ya mkojo ni fupi kulinganisha na mwanaume hivyo ugonjwa uingia ndani kuaffect kizazi au kibofu hivyo anaweza kukaa muda mrefu mpaka hayo maeneo yaanze kuonyesha dalili au maumivu.
 
Kwamwanaume ni ngumu ila sio kwamba haiwezekani. Hii ni kwasababu maumbile ya mwanaume nitofauti na mwanamke. Hivyo tatizo kidogo tu la njia ya mkojo litamfanya aumie au apate shida kubwa sana kwamuda mfupi tofauti na mwanamke. Mwanamke kupata hayo magonjwa kirahisi na hata kuwanayo sugu ni kwasababu njia yao ya mkojo ni fupi kulinganisha na mwanaume hivyo ugonjwa uingia ndani kuaffect kizazi au kibofu hivyo anaweza kukaa muda mrefu mpaka hayo maeneo yaanze kuonyesha dalili au maumivu.
Pia nasikia wanawake tunachelewa kuona dalili sabbu pia njia ya mkojo na kuingiliana ni tofautii hivo unaweza kupta UTI na gono na ukachelewa kujua coz kilasehemu huathirika kivyake
 
Wadada wanakagua tu comment za wanaume,kimya kimya

wawajue wale chovya chovya ni akina nani, mimi hata simpingi

mtoa mada,naunga hoja mkono maana hawa shenzi wamenifanya

nikachomwe sindano ya TAKO tena ni 25k sindano 1 imeniuma hiyooooo

yani naiwazie ile hela halafu tako langu kanichungulia yule mama aseee

mimi nimechunguliwa mimi kisa sindano kwa uchafu wa jitu? aiseeee inauma

Mkuu FUNGUA thread ingine koleza wino ili waelewe mi nakuja ku comment
Kaswende hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Duuuh Misha pata mikasa kibao ila mwingine ni mwezi ulopita.alooo hadi nilijuta
 
Wanawake wananuka sana siku hizi wanatoa sana ndogo, hawanyi kabla ya kutoa ndogo, machine zinapoga ndogo na kuhimia Kwa K-Vant bila kunawa, nyesi linaingia Kwa K-Vant, kuoga wavivu, hovyo kbsa shahawa wanamwagiwa na wengi mwanamke anapigwa na watu 10-20, hawachambi Kwa maji hujali tishu hawanawi, hawatembei na lesson, wala kanga siku hizi wanawake ni mabaya tu
 
Pia nasikia wanawake tunachelewa kuona dalili sabbu pia njia ya mkojo na kuingiliana ni tofautii hivo unaweza kupta UTI na gono na ukachelewa kujua coz kilasehemu huathirika kivyake
Hiyo pia kitaalamu pia ni kweli, it's a known fact.
 
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.

Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.

Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.

Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..

Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.

Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.
Achana na michepuko endelea kukaa na mkeo kwa unmindful mkubwa
 
Wanawake sijui siku hizi wamekumbwa na nini aisee yaani UTI na magonjwa mengine haya ya zinaa kwao imekuwa kawaida.

Yaani siku hizi ukilala na mwanamke peku bila kutumia kinga basi zikipita siku mbili bila kuona uchafu au kusikia tofauti wakati wa kukojoa basi unamshukuru Mungu.

Wanaume hawa viumbe watatumaliza na mbaya zaidi magonjwa haya wanakaa nayo kwa muda mrefu bila wao kujijua.

Unaenda kwa daktari anakwambia umlete na mwenzako mtibiwe wote, huo muda mimi nautoa wapi doctor..

Unakuta mwanamke mzuri mrembo shepu zuri msafi ananukia lakini jichanganye wewe mtoto wa kiume kutembea nae peku ukitoka salama mshukuru Mungu.

Wanaume wengi tunakutana na hali kama hii ila huwa ni siri yetu na doctor, hatuwaambii nyie wanawake zaidi ya kukuacha kimya kimya.
Kupanga ni kuchangia, yote maisha kama umeyaridhia! Muda wa kumfukyzia mwanamke unao, wa kuhakikisha anapata matibabu huna, unaishi kwa kubahatisha.
 
Unakuta mwanaume anakula wanawake kibao kwa wakati mmoja na hakumbuki kinga kwa nini usikipate cha moto??? haya bado wale wapita rough roads tena peku alafu unakuta nae yupo hapa kuponda wanawake ebooo badilikeni kwanza nyie.
 
Back
Top Bottom