Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😋Nikifika 50 now naliwa na vijana wenzangu
Sijawahi kumchunga mama yangu, ila husishangae hata wewe MAMA YAKO HUKO ALIPO hujui ANAGONGWA NA NANI hivi sasa.Mama ako anagongwa na nani?
Jinsia haitokusaidia ila kwa kuwa mtoto wa kike njoo DM utaijua hata ukitaka picha utaliona rungu la kipepe.acha umbea, mbona kama huna kazi ya kufanya? wewe unakuwaga wapi kuyaona matukio yote hayo
pls jinsia tafadhali
Yeah usipojitambua mapema umeisha mzee, naona kuna kundi la wazee wa ajabu sana after 30 years
Nitashangaa kama umri wake ni 24+.Nachangamana sana na watu ila kujua nani kalala na nani kamtongoza nani aisee inabidi ubadili aina ya watu unaochangamana nao mkuu
Toka niamke sijacheka, hapa imebidi nicheke, hahahaa.Mama ako anagongwa na nani?
Hii thread angeandika mwanamke hata nisingeshangaa mkuu, yaani mwanaume kabisa tena inaonesha umri ni zaidi ya 24.Dogo tafuta kazi ili uache kufuatilia vitu visivyo na manufaa kwenye maisha yako binafsi,
Una anika wamama wa watu kwa story za hearsay,wewe unajua tabia za mama zako?
Wanaume tunazidi kupungua tu aisee,hii kazi ya umbea ni aibu kwa mwanaume rijali kua nayo.
Mimi nashangaa kabsa,,,mimi ni Ke lakini cjui yanayoendelea mtaani kwangu,,,nitashangaa kama ni mwanaume ila kama ni mvulana akikua ataache tumsameheNitashangaa kama umri wake ni 24+.
Maisha hayo ni O level, mtu anapata ujasir kabisa ya kuweka wazi humu ndani, akija kuwa mzee si ndo atakuwa hawezi kutunza siri zaidi ya hapa.
Haahaaha wewe jamaa sijui mtu wa wapi aiseeeJinsia haitokusaidia ila kwa kuwa mtoto wa kike njoo DM utaijua hata ukitaka picha utaliona rungu la kipepe.
Kuna sehemu nimesoma imeonesha amemaliza chuo na ana kazi yake kabisa, hata mimi ambae jobless sina maisha ambayo jamaa alivyo aiseeee.mimi nashangaa kabsa,,,mimi ni Ke lakini cjui yanayoendelea mtaani kwangu,,,nitashangaa kama ni mwanaume ila kama ni mvulana akikua ataache tumsamehe
Inabidi abadilike huyu kijana, hii sio salama kwakeNitashangaa kama umri wake ni 24+.
Maisha hayo ni O level, mtu anapata ujasir kabisa ya kuweka wazi humu ndani, akija kuwa mzee si ndo atakuwa hawezi kutunza siri zaidi ya hapa.
mimi nimeshangaa sana, nimemuuliza alivyonijibu inaezekana ni mtu mzima ila ana akili za wavulanaKuna sehemu nimesoma imeonesha amemaliza chuo na ana kazi yake kabisa, hata mimi ambae jobless sina maisha ambayo jamaa alivyo aiseeee.
Hata kama mtu unajua, sasa ndo kuweza kuyamimina kiasi kweli?
Calm down pls🤣 akikua ataacha😂mimi nimeshangaa sana, nimemuuliza alivyonijibu inaezekana ni mtu mzima ila ana akili za wavulana
mtu huwezi move forward na akili za namna hiii
nimesikitika kabisa na ujue sikuweza soma hadi mwisho maana hasira zilianza kunipanda nikajiuliza "what the hell is this"
hahahahahah
kwa kweli, watu wana mambo jamanCalm down pls🤣 akikua ataacha😂
Wana muda mbona! Khakwa kweli, watu wana mambo jaman