Siku hizi vijana wana-date na wamama watu wazima

Sometimes inabidi umuombe Mungu wa Yusuph, ila wa mama kwanza wanajua kukutega wakikutaka mimi 2times nilichomoka, ila moja ndio daah basi ilikuwa kidogo nipige mmama una mshape kama wote.
 
Inakuaje unafahamu habari za wamama wengi hivyo kuchezea koki
 
Tatizo ukosefu wa ajira na kutojithamini/kutojiheshimu japo wapo ambao hawapo kwenye makundi hayo
 
jamaa kaeleza yale aliyoyaona hasa wamama kuliwa na madogo sasa mnalaumu ila kina mama wengi wanapenda kufilwa usiniulize kwann mimi mvuvi tu
 
Ila skuizi wanaume wambea nyie khaaa...lakini hilo swala ni kweli kabisa wamama skuizi wamekoda adabu, kuna mdau mmoja mama ake bidaboda wanammaliza, na sio kwa kificho yani bi mkubwa akiwa anakunywa tu basi mzigo wa wana
 
Unazungumzia kugonga?

Kuna ex classmates wangu wa primary,mmoja kamuoa Mama mzazi wa mwenzie!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…