Huyu abdu shirazi atakuwa mjukuu wa afro shiraZi😂wewe Abdu Shiraz nguruwe unakula sana tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu abdu shirazi atakuwa mjukuu wa afro shiraZi😂wewe Abdu Shiraz nguruwe unakula sana tu
Labda kwasababu wakristo tunafundishwa kutowakwaza wengine.Kipindi cha mfungo mauzo ya mbuzi katoliki yanashuka sana 1+1=3 😃
Umebisha tu ila ninachokwambia watu wanaosoma dini hawayumbishwi na hayo mabadiliko kwasababu uislamu unafit zama zote, hao walioamua kufanya dilution wameamua wao ila uislamu wa asili umebaki palepale, na hawatoudhuru uislamu kwa chochote kundi linalosimamia misingi ya uislamu lipo na litaendelea kuwepo.Hapa hoja siyo waislamu wasiosoma au wanaosoma.
Ni hivi;
kukua kwa teknolojia,mitandao na mambo mengi ya kisasa yamepelekea kushusha Imani za watu wengi sana,iwe waislamu au wakristo. Na Huku kwa wakristo hali ni mbaya zaidi,watu wametoka kwenye misingi ya mafundisho ya "ukristo" na kufanya wanavyojisikia.
Huku kwenye uislamu ndiyo unaanza kuwa bleached sasa hivi. Mfano uislamu wa ulaya umekuwa diluted,una umagharibi. Uislamu wa Morocco na uturuki umelegeza vitu vingi kuliko uislamu wa Africa na nchi zingine za kiarabu.
Ukikutana na waislamu wa america hasa waliotoka kwenye dini zingine na kuhamia kwenye uislamu ndiyo utacheka zaidi.
😂anaitwa Musa ila akiwa chimbo la mdudu anajitambulisha kama mosses
Ustaadhat kwa heshima na tahadhima, naomba kifungu toka kwenye quran kinachohalamisha kula nguruwe.Waislam wa majina tu siyo nguruwe tu, pombe wanalewa, uasherati na uzinzi wanafanya, ushoga wanafanya. Kamsri wanacheza.
Wote wanaofanya hayo, wawe au wasiwe Waislam, wanafanya kufuru. Ni makafiri.
Kafiri hana imani kwake, fini au imani fulani kwake ni lebo tu.
Uislam siyo lebo, ni mfumo kamili wa maisha.
Sijaelewa swali lako, labda umekosea kuandika.Ustaadhat kwa heshima na tahadhima, naomba kifungu toka kwenye quran kinachohalamisha kula nguruwe.
Nitashukuru kama nitakipata mkuu wangu.
Lakini kuna siku ulishauri serikali iruhusu matumizi ya bangi na pombe haramu ili kupanua wigo wa kukusanya kodiHao ni "waislam" kwa majina lakini siyo wa Kiislam kwa vitendo.
Bangi nakubali, nimeshauri tena bado nashauri na nalaumu, tumechelewa sana kuhalalisha kilimo cha bangi.Lakini kuna siku ulishauri serikali iruhusu matumizi ya bangi na pombe haramu ili kupanua wigo wa kukusanya kodi
sio siku hizi, ni siku zote. huwa huoni kipindi cha mfungo mauzo yanavyopungua na wakifungua tu mauzo yanaongezeka. shida ni kwamba kwao kula sio dhambi, ndio maana kama umebanwa hakuna chakula kingine unaweza kula tu. kwa wakristo dhambi ikiwa ni dhambi hata ukitakiwa kufa hutakiwi kuitenda kwa sababu inachafua roho. sasa wenzetu hiyo kuna exeptions unaweza kula ndio maana tunasema hiyo sio dhambi saana kwao. though vijana wanasema watakula kila kitu ila sio ile pua na mbichwa.Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.
Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.
Nina hakika kuna shida sehemu.
Ukristo upi ulioruhusu kula nguruwe?sio siku hizi, ni siku zote. huwa huoni kipindi cha mfungo mauzo yanavyopungua na wakifungua tu mauzo yanaongezeka. shida ni kwamba kwao kula sio dhambi, ndio maana kama umebanwa hakuna chakula kingine unaweza kula tu. kwa wakristo dhambi ikiwa ni dhambi hata ukitakiwa kufa hutakiwi kuitenda kwa sababu inachafua roho. sasa wenzetu hiyo kuna exeptions unaweza kula ndio maana tunasema hiyo sio dhambi saana kwao. though vijana wanasema watakula kila kitu ila sio ile pua na mbichwa.
Wale waliokamatwa na bangi kwenyeile habari walikuwa na hiyo pombe pia kama utakumbuka vizuri my dearhilo la pombe haramu, sikubali, umenichomekea.
Na hivi sasa uchumi umebana maisha ni magumu toka bara hadi visiwanishida ni kwamba kwao kula sio dhambi, ndio maana kama umebanwa hakuna chakula kingine unaweza kula tu
kwani we huliHao ni "waislam" kwa majina lakini siyo wa Kiislam kwa vitendo.
Mena na wewe umejiunga na mshamba_hachekwi au sio ?Huyu abdu shirazi atakuwa mjukuu wa afro shiraZi😂
uislam ndio uliruhusu kula nguruwe, na ni waislam huwa wanafunga ramadhani na kipindi cha ramadhani ndio soko la nguruwe linapata shida, halina wateja. unajua kuwa kwa waislam kama umekamatika kabisa hakuna chakula, uanweza tu kutenda dhambi ya kula nguruwe, ila kwa wakristo dhambi yeyote hata kufa ikibidi hautakiwi kuitenda. ndicho nilichomaanisha, though nguruwe kwetu sio dhambi.Ukristo upi ulioruhusu kula nguruwe?