Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
ndio maana hadi visiwani kuna kitimoto safi na tamu.Na hivi sasa uchumi umebana maisha ni magumu toka bara hadi visiwani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio maana hadi visiwani kuna kitimoto safi na tamu.Na hivi sasa uchumi umebana maisha ni magumu toka bara hadi visiwani
“Nguruwe msimle; ana kwato zilizogawanyika lakini hacheui; kwenu ni najisi. Kwa sababu wanyama hao ni najisi msile nyama yao wala msiguse mizoga yao” (Walawi 11: 7 – 8).uislam ndio uliruhusu kula nguruwe, na ni waislam huwa wanafunga ramadhani na kipindi cha ramadhani ndio soko la nguruwe linapata shida, halina wateja. unajua kuwa kwa waislam kama umekamatika kabisa hakuna chakula, uanweza tu kutenda dhambi ya kula nguruwe, ila kwa wakristo dhambi yeyote hata kufa ikibidi hautakiwi kuitenda. ndicho nilichomaanisha, though nguruwe kwetu sio dhambi.
Hata wewe nina mashaka nawe 🤣.Hao ni "waislam" kwa majina lakini siyo wa Kiislam kwa vitendo.
Mashaka yako ndiyo maradhi yako.
Naomba unioneshe kwenye quran sehemu gani wanakataza kula nguruwe? Ndio swali langu hilo sister.Sijaelewa swali lako, labda umekosea kuandika.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kipindi cha mfungo mauzo ya mbuzi katoliki yanashuka sana 1+1=3 [emoji2]
Bibi km bibi.Waislam wa majina tu siyo nguruwe tu, pombe wanalewa, uasherati na uzinzi wanafanya, ushoga wanafanya. Kamsri wanacheza.
Wote wanaofanya hayo, wawe au wasiwe Waislam, wanafanya kufuru. Ni makafiri.
Kafiri hana imani kwake, fini au imani fulani kwake ni lebo tu.
Uislam siyo lebo, ni mfumo kamili wa maisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakristo mnafunga ndoa madhabahuni na mimba kubwa Tu
Uzinzi nje nje mchana kweupe