Siku hizi vijana wengi wa kiislam wanakula nguruwe bila hata hofu

Siku hizi vijana wengi wa kiislam wanakula nguruwe bila hata hofu

Unajua kuna mambo mtu anaandika wala hujui huwa anakusudia nini

Je ni ajabu sana kwa vijana wa kiislamu wasio jua mafundisho yao kula nguruwe,maana mtu hana elimu kabisa ya dini,kwake yeye chochote ni sawa tu

Sasa mtu kama huyu ndio utauchafua uislamu mzima kwa waislamu majina

Huyu hana tofauti na mkristo ambaye anasema Yesu kahalalisha nguruwe au kahalalisha mambo yote yaliyo haramishwa zamani,wakati Yesu alisema hakuja kutengua torati hata nukta moja bali kuikamilisha

Je mkristo huyu na muislamu jina wana tofauti gani?

Acheni ujinga
 
Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.

Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.

Nina hakika kuna shida sehemu.
Kwa hiyo unataka tusiile? Si ndio??? Unadhani na sisi hatujui vitu vitamu?
 
Unajua kuna mambo mtu anaandika wala hujui huwa anakusudia nini

Je ni ajabu sana kwa vijana wa kiislamu wasio jua mafundisho yao kula nguruwe,maana mtu hana elimu kabisa ya dini,kwake yeye chochote ni sawa tu

Sasa mtu kama huyu ndio utauchafua uislamu mzima kwa waislamu majina

Huyu hana tofauti na mkristo ambaye anasema Yesu kahalalisha nguruwe au kahalalisha mambo yote yaliyo haramishwa zamani,wakati Yesu alisema hakuja kutengua torati hata nukta moja bali kuikamilisha

Je mkristo huyu na muislamu jina wana tofauti gani?

Acheni ujinga
Hawa wanakua kama watoto wa kambo wasiojiheshimu. Kuna muda baasi tu, wanalianzisha halafu thread inaongelea nyama unaona watu unaodhani wana busara wanashangilia. Mambo mengine yapelekwe jukwaa la vichekesho kwa kweli
 
Hawa wanakua kama watoto wa kambo wasiojiheshimu. Kuna muda baasi tu, wanalianzisha halafu thread inaongelea nyama unaona watu unaodhani wana busara wanashangilia. Mambo mengine yapelekwe jukwaa la vichekesho kwa kweli
Waanzilishi wa hizi mada wanajua kuwa ili utrend basi wachokoze waislamu,na.kweli wanafanikiwa kwa lengo lao

Ila siku hizi walau waislamu wanajielewa kiasi flani wanakwepa hii mijadala ya kipuuzi
 
Kuna siku nilisafiri na bosi wangu kwenda Dodoma, tukafika usiku wa Saa Tisa, tukachukua vyumba hotel, bosi kama Kawa kaagiza blanket chapa mtu(wakubwa mmeelewa) kulipokucha tukaelekea kwenye pilika zilizotupeleka huko, baada ya pilika tukaenda kwenye sehemu moja ya nyama choma ili kupata msosi wa mchana, sasa wakati napaki gari vizuri bosi alishatelemka na kuelekea kutoa oda, ghafla alirudi Kwa Kasi! huku akilalama" hawa jamaa washenzi Sana!

Kumbe wanachoma na nyama ya nguruwe! tuondoke hawawezi kutulisha haramu Sisi! Kweli tukaenda sehemu nyingine tukapiga msosi wetu saafi, baada ya hapo tukaelekea tena hotel tuliyolala Kisha akachukua chumba kimoja na kaagiza tena blanket chapa mtu lingine, wakapumzika mpaka jioni ,tukaanza safari kuelekea dar, Kumbuka jamaa ni mwarabu, swala tano hakosi Labda abanwe Sana na Kazi, swali kipi haswa kinachomkera mungu Kati ya hivi viwili, KULA NGURUWE au ZINAA? mtanirekebisha kama nimekosea
 
Maisha mafup kujazana hofu za kipumbav kua ukila kitu flan sjui ni haram, nawasapoti wapige vitu wachanganye na ndizi rosti washushie na bia kabisa
 
Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.

Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.

Nina hakika kuna shida sehemu.
Unawahukumu kuwa ni waislam Kwa sababu ya majiba au uliwauliza wakakwambia dini zao?Vinginevyo majina ya Suleiman,mussa nK ,watu wa mkoa wa mbeya ni kawaida kwao kuyatumia
 
Unajua kuna mambo mtu anaandika wala hujui huwa anakusudia nini

Je ni ajabu sana kwa vijana wa kiislamu wasio jua mafundisho yao kula nguruwe,maana mtu hana elimu kabisa ya dini,kwake yeye chochote ni sawa tu

Sasa mtu kama huyu ndio utauchafua uislamu mzima kwa waislamu majina

Huyu hana tofauti na mkristo ambaye anasema Yesu kahalalisha nguruwe au kahalalisha mambo yote yaliyo haramishwa zamani,wakati Yesu alisema hakuja kutengua torati hata nukta moja bali kuikamilisha

Je mkristo huyu na muislamu jina wana tofauti gani?

Acheni ujinga
Kaa huko gizani
Usije kuonja kitimoto ukaujua utamu wake
Itaadimika
Kitimoto makange tamu uwe na safari lager
Waislamu tuachie kitimoto yetu
 
Back
Top Bottom